Dah, mie nilikuwa mnazi sana wa Kiss FM ya kina Dee7, DJ Malis huku RFA marehemu nanii akiwa anakimbiza sanaMkuu wafanyakazi zaidi ya 400 wa sahara media wanadai mishahara tangia mwaka 2018.
Mwenyekiti na katibu wa maridhiano Wambura mtani na Alyoce Nyanda ndio wanaongoza kwasasa kwenye vikao kati ya wafanyakazi na mwajiri....Mgomo umeanza Jana baada ya kutofikia makubaliano.
Mna muda aiiseee kwa kweli nina miaka 6 au 7 sijaangalia huo ujingaKumbe ndio maana FUTUHI haieleweki sikuizi
Kwel kabisaSahara ilichangia pakubwa kumnadi Magufuri kwenye kampeini za mwaka 2015 na ndo ilikuwa ikutumika na CCM kumchafua Lowasa.
Kingine sahara ilianza kuyumba baada ya Magufuri kiingia madarakani.
Hao EATV baada ya kupitia hiyo hali wakafanya nini kijikwamua? Mbona naona ndo wamepotea mazima!Eatv walipitia hiyo hali... kama una wadau una weza kuwa uliza zaidi...
Ni hali ya kawaida ktk kampuni pale inapoyumba...
magufuli alikuja kuifilisi kabisa alipoingia ndo mana alipokufa jamaa alimtukana sasaSahara ilifilisika 2013 magufuli alikuja kuikoa
Jana nimeweka star tv nichek tarifa ya habari sa2 uck nakuta miziki ya dini tu sikuelewa.View attachment 2467673
Miaka mitatu iliyopita tuliweka hili bandiko kwa kinachoendelea pale Mwanza kuhusu RFA, Kiss FM na StarTV palipokuwa na mgomo baridi.
Week hii kabla ya kufunga mwaka nashangaa tena, ni full gospel na muziki aina nyingine ukipigwa non stop na hakuna matangazo, nilimpigia simu mdau wangu pale akanitonya kuwa ni mgomo umeamka tena, wafanyakazi hawana mshahara miezi kadhaa sasa.Maskini RFA, ndiyo kwaheri hivyo
Kinachoendelea kwenye radio Free Afrika ni huzuni kwa kweli, watangazaji wanabadilishana kutwa hao hao. Cha ajabu jioni hii nahisi wamefanya mgomo, mara baada ya matangazo kutoka DW Radio hakuna aliyebadiri station au kuingia hewani, ni ule mlio wa DW radio ndiyo unaendelea mpaka muda huu...www.jamiiforums.com
Muite huyu mzee kijana
Pascal Mayalla atakuendeshea kwa ufanisi, kazi yako itakuwa kusuburi mrejesho kila mwisho wa mwaka.
Dialo anaogopa nini kuuza hivi vyombo au kuingia mkataba na wawekezaji?.
Wajifunze kulipa kodi, shortcut is a longcut.mg
magufuli alikuja kuifilisi kabisa alipoingia ndo mana alipokufa jamaa alimtukana sasa
Wangeweka ya parapanda kabisa na picha ya diallo pembeni.Jana nimeweka star tv nichek tarifa ya habari sa2 uck nakuta miziki ya dini tu sikuelewa.
anadaiwa kodi sh ngapi? amelipa sh ngapi bado ngapi ,kama huna hizo data vyote vitakua ni porojo tu za vijiwe vya kahawaWajifunze kulipa kodi, shortcut is a longcut.
Kumtukana marehemu haimsaidii kuondokana na msongo wa mawazo.
Malizia na wasafi fm na tv zilianzishwa na kustawi Magufuli akiwa madarakaniSahara ilichangia pakubwa kumnadi Magufuri kwenye kampeini za mwaka 2015 na ndo ilikuwa ikutumika na CCM kumchafua Lowasa.
Kingine sahara ilianza kuyumba baada ya Magufuri kiingia madarakani.
Alikuwa anadaiwa kodi(mkwepa kodi)mg
magufuli alikuja kuifilisi kabisa alipoingia ndo mana alipokufa jamaa alimtukana sasa
alikua anadaiwa sh ngapi?? kuna documents yoyote TRA wamewahi kukuonyesha kuhusu hayo madai?Alikuwa anadaiwa kodi(mkwepa kodi)
Alifurahia mwenye nyumba kufa..mrithi akasema kazi iendelee!
Dawa ya deni ni kulipa, hakuna mba mba mba.
TRA wanapaswa kukuonyesha kila anaedaiwa? Diamond na wasafi wanavyodaiwa umewahi kuonyeshwa hilo Deni na TRA?a
alikua anadaiwa sh ngapi?? kuna documents yoyote TRA wamewahi kukuonyesha kuhusu hayo madai?
Acha ubaguzi, huyo ni mzinza. Usidamganyike na jina la dialo, majina mengi afrika yanafananaDiallo alijipendekeza mwenyewe, mwaka 2015, hakutumwa na Magufuli, Magufuli never had any promise or kind of agreement with diallo, Kwanza diallo sio mtanzania, ni Mamluki, apotelee mbali huko
Mtangazaji Elibariki yuko wapi?Sahara imefilisika 2013 huu ndio mwaka watangazaji karibu wote walikimbia
Sahihi kabisa.Kwahiyo mna maana Skywalker wa sns kwa sasa kiuchumi anakula maisha kuliko alipokua Radio Free Africa.