Kigger
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 850
- 772
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeongea kinyumeDialo sikujua km ni mpuuzi kiasi kile
Magufuli alimsaidia kwenye mkwamo kuokoa sahara media isifilisike
Magufuli alivyofariki akaitisha Sahara media kumtukana magufuli
Alijua kumtukana magufuli kutamfanya apendwe na samia
Samia amelitupa mbali lipambane na hali yake na limepokonywa uenyekiti wa ccm mkoa
Hivi hii kitu bado ipoBack in days Kiss FM nilikuwa shabiki wa the weekend top 30 countdown na the weekend top 40
Wananchi hawajawahi kuua media, ni waongeaji tuAlikuwa mpiga debe mzuri wa ccm na ni kama wananchi wamesusa hiyo sahara,, wananchi wakiamua kukupoteza unapotea vibaya mno japo inaweza kuonekana ni km hawana nguvu hiyo
Tbc inamilikiwa na serikali nikukumbusheWananchi hawajawahi kuua media, ni waongeaji tu
Wanasemaga wanasusia TBC, duru zinaonyesha inatazamwa zaidi
Huwezi kuacha kupata kitu unachopenda kupata kisa siasa...
Diallo madeni yake binafsi tu
Nimepita pale mwaka 2013 mambo hayakuwa mazuri.Sahara ilichangia pakubwa kumnadi Magufuri kwenye kampeini za mwaka 2015 na ndo ilikuwa ikutumika na CCM kumchafua Lowasa.
Kingine sahara ilianza kuyumba baada ya Magufuri kiingia madarakani.
Ktk hata maisha ukimtenda mtu ubaya aliyekupa wema utalipwa vzr tu Sasa acha alipweDialo sikujua km ni mpuuzi kiasi kile
Magufuli alimsaidia kwenye mkwamo kuokoa sahara media isifilisike
Magufuli alivyofariki akaitisha Sahara media kumtukana magufuli
Alijua kumtukana magufuli kutamfanya apendwe na samia
Samia amelitupa mbali lipambane na hali yake na limepokonywa uenyekiti wa ccm mkoa
[emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji4]Wangeweka ya parapanda kabisa na picha ya diallo pembeni.
Ati sio mbongo? Wa nchi gani? Au muafrika magharibi? Maana Dialo ndugu zetu wa WestDiallo alijipendekeza mwenyewe, mwaka 2015, hakutumwa na Magufuli, Magufuli never had any promise or kind of agreement with diallo, Kwanza diallo sio mtanzania, ni Mamluki, apotelee mbali huko
Hahaha nnazo mkuu.Mwenye namba ya Mwajuma Abdul amcheki amwambie anitafute nina ujumbe wake. Hapaswi kupata shida kwa alivo mzuri vile
Maradufu. Na ni muajili pia kwa sasa.Kwahiyo mna maana Skywalker wa sns kwa sasa kiuchumi anakula maisha kuliko alipokua Radio Free Africa.
Sizani Kama ipoHivi hii kitu bado ipo
Jmosi nilikuwa sikosi top30 ya hamilton
Ntafurahi sana nikizipata😀Hahaha nnazo mkuu.
Matangazo ya uhakika ni ya serikali ambayo pia huyatoa kwenye vyombo vyake. Mtangazo mengine no machahe ukilinganisha na wingi w vyombo vya habari ndio maana vyombo binafsi vinakosa hela. Labda wafanye kazi ya kuandika miradi wapate hela za wafadhili.Sasa hizi Media si huwa wanapewa tender za matangazo na makampuni. Ina maana Media kama Wasafi ilivyo na matangazo ama Clouds Media group halafu waseme hela za kulipa wafanyakazi hawana si vituko hivyo.
Nawewe ni lishenziUnamshauri kuuza, wewe au baba yako alimsaidia kuanzisha!?
Bazil mbakile Kiss FmSema redio ikiwa haina maajabu na wasikilizaji wengi inakuwa hovyo ila nashangaa ilikuwaje maana jamaa waliiteka kanda ya ziwa. Kiss FM ilikuwa yamoto sana miaka ile 2004-2009 huku RFA ndio balaa zaidi katika majiji yote nchini kuanzia MZA, DAR na hata Arachuga