Aibu: Polisi yatuhumiwa kudukua simu ya Wakili Mwabukusi na kumuwekea maudhui Instagram ili impe kesi

Aibu: Polisi yatuhumiwa kudukua simu ya Wakili Mwabukusi na kumuwekea maudhui Instagram ili impe kesi


Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Mbeya, Wakili wa Mwabukusi, Mwakilima, amesema kwamba Maudhui yanayosambaa mtandaoni na kudaiwa kwamba ni ya Boniface Mwabukusi yamewekwa na Polisi wenyewe baada ya kudukua akaunti yake ya Instagram baada ya kumnyang'anya simu yake ya mkononi.

Taarifa zaidi zinaeleza kwamba, ndio maana hakukuwa na taarifa hizo awali, zimeletwa ghafla baada ya udukuzi huo kufanikiwa.

Lengo la jambo hili ni kuudanganya umma ili ijulikane kweli kwamba Mwabukusi na wenzake ni Wahaini.

Ni aibu sana kwa Jeshi letu la Polisi, kugundulika kufanya njama hii ya kijinga, na ni kuidhalilisha nchi nzima kwa manufaa ya DP WORLD na wapambe wake.

Nakala imfikie wakala wa DP WORLD Ritz
Sijawahi kuona serikali yenye mambo yakitoto kama haya...
 
Ni kweli naamini hayo, nia ya polisi ni ovu.

Haiwezekani huu ushahidi wao unatokea wakati huu wakiwa wamewakamata watuhumiwa, wanafanya hivyo kwa lengo la kuudanganya umma kwamba watuhumiwa walikuwa na hiyo mipango, na wale wahuni wanachukua huo uongo wa polisi na kuusambaza.

Utasema vipi simu yangu ilikuwa na mipango ovu dhidi ya serikali ikiwa wewe ndie uliyekuwa ukiishikilia kwa siku zaidi ya tatu? Ni mjinga pekee atakayeamini madai hayo ya polisi.
Eti hawa ndio Polisi wa kulinda uslama wa Raia na mali zao.
 

Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Mbeya, Wakili wa Mwabukusi, Mwakilima, amesema kwamba Maudhui yanayosambaa mtandaoni na kudaiwa kwamba ni ya Boniface Mwabukusi yamewekwa na Polisi wenyewe baada ya kudukua akaunti yake ya Instagram baada ya kumnyang'anya simu yake ya mkononi.

Taarifa zaidi zinaeleza kwamba, ndio maana hakukuwa na taarifa hizo awali, zimeletwa ghafla baada ya udukuzi huo kufanikiwa.

Lengo la jambo hili ni kuudanganya umma ili ijulikane kweli kwamba Mwabukusi na wenzake ni Wahaini.

Ni aibu sana kwa Jeshi letu la Polisi, kugundulika kufanya njama hii ya kijinga, na ni kuidhalilisha nchi nzima kwa manufaa ya DP WORLD na wapambe wake.

Nakala imfikie wakala wa DP WORLD Ritz
Kwani yeye nani asidukuliwe!
 
Shindwaaaaa.... for the name of Jesus Christ
20230816_183637.jpg


Yaani huyo mkuu wa mkoa ni kama anamzomea jamaaa walahi🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom