Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Sisi hatuna identity, ni watu wa matukio. Tutupie hata mikoti ya misso misondo haina shida.Na hivyo next time kinapigiwa kwetu.
Mashabiki tutakaokwenda tutajitahidi kuwaonyesha watu kama na sisi tuna Identity japo sio official.
Mamtu yamefutantamaduni zao za asili na kufuata tamaduni za Mavazi ya waarabu na wazungu waliowaletea dini. Sasa inapotokea ulazima wa kuonyesha utamaduni Kila kabila linajifanya mmasai wakati awali walikuwa na mfumo wao wa uvaaji. Hata hivyo wamasai sio utambulisho wa Tanzania kwani Kenya wapo wengi na well organized kuliko bongo. Bora ungesema angalau vazi la wa Handzabe ambao ndio habari ya mjini Sasa hivi kwenye sekta ya utalii na kuitangaza nchi na mavazi Yao ya ngoziza nyaniImagine wangeingia na vazi la Kimasai pale Cote D'Ivoire.
wangetisha sanaaa...
Huo ni utamaduni wa WaarabuWangepiga kanzu ingependeza zaidi
"A Man without his Culture is like a Tree without its roots"Mzee acha uzee, sio kila mahali pa utamaduni, pale ni AFCON sio tamasha la utamaduni, kama mnataka utamaduni nendeni sauti za busara
Una hoja nzuri ila umeileta vibaya. Shida siyo Taifa Stars ila nchi kwa ujumla, zaidi ya Kiswahili hakuna kingine ambacho ni common kwa wote. Hivi unakumbuka ulipoishia mchakato wa kuandaa vazi la taifa?. Unakumbuka siku Diamond alivaa nguo za Kimasai kwenye utoaji zawadi za mziki mamtoni huko akataniwa sana kwenye mitandao mpaka kupewa jina la "Morani"?.Kuelekea AFCON 2024.
Vikosi vya mataifa mbali mbali vinawasili Cote D'Ivoire (Ivory Coast).
Kila Nchi inajitahidi sana kunadi utamaduni wa mavazi yao, kitu kinachopendeza sana.
Sisi Taifa Stars wameingia wakiwa wamevaa T-shirt za Sandaland
Kikosi cha Taifa Stars Kikiwasili
View attachment 2867583
View attachment 2867584
View attachment 2867587
Hivi wameshindwa hata kuvaa kimasai?
At least ni utamaduni unaojulikana zaidi Afrika Mashariki. Ikiwa sisi ndio wawakilishi pekee kutoka Afrika Mashariki Kuu (Tanzania, Kenya na Uganda).
Nimesema (kuu) kwasababu kwa sasa hata DRC ni Afrika Mashariki.
Tumezidiwa hadi na The Mambas(Mozambique).
MOZAMBIQUE
View attachment 2867560
View attachment 2867563
Wizara ya Michezo na Utamaduni tujifunze kitu kutoka kwenye hii michuano zaidi ya kuchangishana tu.
Angalia Nchi Mbalimbali zilivyoingia Ivory Coast.
NIGERIA.
View attachment 2867556
View attachment 2867557
GHANA
View attachment 2867558
View attachment 2867559
Ile ilikuwa safi sana.Una hoja nzuri ila umeileta vibaya. Shida siyo Taifa Stars ila nchi kwa ujumla, zaidi ya Kiswahili hakuna kingine ambacho ni common kwa wote. Hivi unakumbuka ulipoishia mchakato wa kuandaa vazi la taifa?. Unakumbuka siku Diamond alivaa nguo za Kimasai kwenye utoaji zawadi za mziki mamtoni huko akataniwa sana kwenye mitandao mpaka kupewa jina la "Morani"?.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Walikuwa wanawaza Maokoto.Hiyo kamati ya uhamasishaji yenye kila aina ya watu ina maana hakuna mwenye akili hata mmoja aliyeliona hili? Wizara za utamaduni, sanaa na michezo na ile ya utalii hawakuona hii ndiyo fursa ya kutangaza nchi ?
Kindly share a picture mkuuMamtu yamefutantamaduni zao za asili na kufuata tamaduni za Mavazi ya waarabu na wazungu waliowaletea dini. Sasa inapotokea ulazima wa kuonyesha utamaduni Kila kabila linajifanya mmasai wakati awali walikuwa na mfumo wao wa uvaaji. Hata hivyo wamasai sio utambulisho wa Tanzania kwani Kenya wapo wengi na well organized kuliko bongo. Bora ungesema angalau vazi la wa Handzabe ambao ndio habari ya mjini Sasa hivi kwenye sekta ya utalii na kuitangaza nchi na mavazi Yao ya ngoziza nyani
shame on themWalikuwa wanawaza Maokoto.
10B
Sisi tumefanya kila kitu siasaTumewasili kinyonge sana.
Angalia Namibia.
Wame capture attention ya watu balaa
Wangevaa hata Kimasai ingekuwa kivutio hata cha kutangaza utalii wetu sio kuachia MTU mmoja mmoja kama Yule Rais WA timu Fulani anaevamia shughuli za watu.Atuna vazi la taifa,tupotupo tu.
Kwahiyo ilibidi washuke kwenye ndege wakiwa wanaongea ongea tuHatuna Utamaduni wowote kimataifa zaidi ya Lugha ya Kiswahili.
Next tym sio kwetu, kwetu ni hadi 2027Na hivyo next time kinapigiwa kwetu.
Mashabiki tutakaokwenda tutajitahidi kuwaonyesha watu kama na sisi tuna Identity japo sio official.