I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
- Thread starter
- #81
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo ni Umbwa sasaView attachment 2931913mimi nawakubali sana hawa wa kiswahili
Nawapenda sana hawa,hasa ukiwaona kwenye borders na wafugaji wa kondoo au ng'ombe wanapowatumia to control wanyama hawa...hasa zile lugha zaView attachment 2931927
Yes..! sheepdogs
Hawa nawakubali sana hasa kwenye shughuli za kulinda borders na kusaidia uchungaji wa mifugo na zile lugha zao za wiiiiii, stand up, push push back, wiiiiii,View attachment 2931927
Yes..! sheepdogs
Hapa unyama mwingi shepherd mwenyewe
😂 kwetu sisi tunakulaga nyongo ya mamba sasa we jichanganyeMchezo mbaya wa mboga, hiyo ni mboga kwa kina nusu albino Half american 😆😃
Kumbe sumu ili kuathiri ndo mana ukawa nusu albinoo 😃🤣😂 kwetu sisi tunakulaga nyongo ya mamba sasa we jichanganye
Sumu kwetu ndio uhaiKumbe sumu ili kuathiri ndo mana ukawa nusu albinoo 😃🤣
Nawaogopa sehemu nyingi ni wauaji
Nso maana upo Kama nyoka 🤓😆Sumu kwetu ndio uhai
Hata kwa macho ukikaangalia unaona kinadeka 😂😂
😂 we si kenge majiNso maana upo Kama nyoka 🤓😆
Hili si ndio lile huwa likikamata haliachii
Msalimie Dem wako Kaka 🤓🤓, Ume pata chombo aisee🤓🤣🤣😂 we si kenge maji
Huyu ndio Mbwa kichaa Namba 1 nasikia kawatafuna watu 26 maeneo ya Kigogo katiririsha Mtaa mzima