Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee mama alikuwa na roho ngumu sana dadek!Napenda Mbwa Ila Mama yangu hapendi Mbwa tulipokua wadogo tulikua tunachukua Mbwa tunafuga Mama akirudi Safari akiwakuta mkirudi Shule hamuwakuti mnakuta Mama kawashughulikia wote anaua mmoja mmoja mpaka anawamaliza wote na kauli yake ilikua ni moja tu "hakuna kufunga Mbwa nyumbani kwangu"
😂😂😂😂 bina mbona umecheka sana???Kwikwikwi mijibwa koko pulp
😍😍😍
Basi tu bina😂😂😂😂 bina mbona umecheka sana???
Pole sana mwambaSITA SAHAU SIKU NILIYOSHUHUDIA MBWA WANGU ANAGONGWA NA GARI (AMBULANCE) AKAVUNJIKA MGUU NA AKAWA KILEMA MPKA KUFA KWAKE.
NILIUMIA SANA SANA SANA SANA. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kitu cha kazi!Shepherd
Asante MkuuPole sana mwamba
Au umelikumbuka lile jibwa koko la mtaani 🤣🤣🤣Basi tu bina
Eeeeh kabisa lile jipya butu😂😂😂Au umelikumbuka lile jibwa koko la mtaani 🤣🤣🤣
Kwangu mbwa hua ni huyu tu. Amekaa ki special force sana
Hii mashineKwangu mbwa hua ni huyu tu. Amekaa ki special force sana
Wazuri wamekosa matunzo 😁View attachment 2931913mimi nawakubali sana hawa wa kiswahili
Mm nahisi kwa ule muonekano wao na watu wanavyowachukulia poa ndio maana huwa vikorofi sana😀Bila Chihuahua uzi haujakamilika....hawa siyo mbwa wakubwa lakini vina hasira sana na VuruguView attachment 2931956