Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
😂😂 dah aka kapichaMsalimie Dem wako Kaka 🤓🤓, Ume pata chombo aisee🤓🤣🤣
View attachment 2932048
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 dah aka kapichaMsalimie Dem wako Kaka 🤓🤓, Ume pata chombo aisee🤓🤣🤣
View attachment 2932048
Huyu mbwa namkubali sana
Kaka Dem Wako ni chombo sana 😂🤣,😂😂 dah aka kapicha
Kwasababu ni mbwa mwenzio 🤓🤣Huyu mbwa namkubali sana
😂 mbwa weweKwasababu ni mbwa mwenzio 🤓🤣
Huyu Si Manunu huyu?
Hamzidi yule wako shem wangu yuleKaka Dem Wako ni chombo sana 😂🤣,
Hao Mbwa wa Kazi ukisikia kazini kwangu kuna kaziGerman shepherd na Cane corso hao wengine ni mapambo ya Nyumba sio mbwa
My favourite huyu naona tumefanana mpaka Sura
Hivi Hawa wakwetu wa kienyeji hapa hawana majina au umaarufu?View attachment 2931913mimi nawakubali sana hawa wa kiswahili
Ndio ukijichanganya wanakuuaNawaogopa sehemu nyingi ni wauaji
Tangu nione mbwa fulani wameua familia nzima, aisee hawa viumbe sina hamu nao hasa hao wa kizungu
Pole sana mkuu Pole sana hio kilio ya ndani nimei-feel accept my condolences, RIP MbwaSITA SAHAU SIKU NILIYOSHUHUDIA MBWA WANGU ANAGONGWA NA GARI (AMBULANCE) AKAVUNJIKA MGUU NA AKAWA KILEMA MPKA KUFA KWAKE.
NILIUMIA SANA SANA SANA SANA. 😭😭😭😭
Thanks Mkuu 🥲🥲Pole sana mkuu Pole sana hio kilio ya ndani nimei-feel accept my condolences, RIP Mbwa
Bc tuu mbwa aliamua kufyeka familia huko Mwanza, mume kuja akashindwa kuwazuia ikabidi watu wa maliasili waje na silaha na kuwaua hao mbwa ila mke na watoto wawili walienda kwa baba huko juu mbinguniIlikuje
Wanawagonga kwa njia ya kulamba nyuchiHebu ongeza nyama nyama kidogo.
My favourite huyu naona tumefanana mpaka Sura kabisa
Kwikwikwi mijibwa koko pulpUkifika kwenye ile mimbwa yetu ya afu tatu unishtue 🤣🤣🤣🤣