Aina za wanawake wanaodumu kwenye ndoa Tanzania




Hapo namba 20 mmekosea nini maana nawasikiaga ni wavumilivu sana
 




Hapo sawa na pole sana
Vipi kuhusu msambaa mwenye kuijua vizuri wadau..
 
Kwa mikoa ya pwani swala la kuachana ni sifa kwao kwa mwanamke na mwanaume mwanamke Kama hajaachika bado hajakamilika paka ahesabu kuanzia ndoa mbili na kuendelea ukitaka mwanamke wa kudumu nae owa alie achika kuanzia mara mbili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikweli kabisa mkuu , sikulijua before mpka aliponibwagia watoto wa 2 kasepa zake bila sababu ya msingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…