Aisee, wanawake mtatunyoosha, hii clip imenifikirisha sana, naenda kupima DNA watoto wangu wote

Aisee, wanawake mtatunyoosha, hii clip imenifikirisha sana, naenda kupima DNA watoto wangu wote

Utaratibu ni rahisi kabisa, tafuta wakili (unaweza nitafuta mimi pia) kisha mtaenda ofisi za mkemia kanda kama hamuishi Dar es salaam.

Kule kwa mkemia mtapewa semina fupijuu ya swala zima la DNA, kisha mtachukuliwa sampuli zitakazohifadhiwa na kwenda kupimwa.

Hii michakato inahusisha watu tofauti tofauti hapo kwa mkemia hivyo kuchakachua sio rahisi kiasi hicho. Majibu ya DNA atapewa Wakili na yeye wakili ndio atakayekuja kuwapatia ninyi majibu ila hatawapa muondoke nayo sababu yeye ndiye mwenye dhamana ya kuyahifadhi (sio mali yenu)

MUHIMU KUFAHAMU:
1. Hautaweza kupima na kupatiwa majibu bila ama amri ya Mahakama au Wakili, ukienda wewe binafsi hutofanikiwa

2. Majibu ya DNA Testatapatiwa wakili wenu na yeye ndiye atakayewasomea na kubaki nayo ili ayahifadhi

3. Malipo ya kwa mkemia ni 100,000/= kwa kila sampuli malipo ya wakili itategemea na wakili husika akizingatia heria ya malipo ya mawakili.

Kama kuna swali nitajibu kulingana na uzoefu na ufahamu wangu.
Aiseee.... Shukran sana chief

Sasa kwa nini majibu iwe ni mali ya wakili tena wakati kuanzia sampuli hadi malipo nafanya mimi? Na umesema wakili ndo anaewasomea wahusika majibu, je mimi sitaruhusiwa hata kuyaona ili kuhakikisha uhalali wake?
 
Nisiseme mengi, kuna clip inazagaa mwanamke mmoja anajisifia kalea mtoto kwa kutumia baba watatu na hawajuani. Yaan anamaanisha mababa watatu wamelea na kuhudumia mtoto kila mmoja akijua huyo mtoto ni wake, mchezo mzima kacheza huyo mwanamke.

Najua hapo alikua anaigiza tu ila hio clip imenifikirisha sana sababu inaonekana inaakisi uhalisia. Hapa nikipata likizo ntafanya juu chini nipime DNA watoto wangu wote, wataalam toeni muongozo namna ya kupima DNA Tafadhari

View attachment 2495130
Jiandae kufa kwa presha
 
Aiseee.... Shukran sana chief

Sasa kwa nini majibu iwe ni mali ya wakili tena wakati kuanzia sampuli hadi malipo nafanya mimi? Na umesema wakili ndo anaewasomea wahusika majibu, je mimi siruhusiwa hata kuyaona ili kuhakikisha uhalali wake?
Kuyaona unaweza kuyaona ila kuondoka nayo hapana sababu wewe sio mhifadhi wa hayo majibu. Na majibu hayo hayo yakikutwa mtaani huko ni kosa kabisa. Hili nadhani ni kwa ajili ya kuwalinda watoto sana sana.

Mengine ni mambo ya kisera, sitakuwa na mengi ya kuyazungumzia Mkuu.
 
Nisiseme mengi, kuna clip inazagaa mwanamke mmoja anajisifia kalea mtoto kwa kutumia baba watatu na hawajuani. Yaan anamaanisha mababa watatu wamelea na kuhudumia mtoto kila mmoja akijua huyo mtoto ni wake, mchezo mzima kacheza huyo mwanamke.

Najua hapo alikua anaigiza tu ila hio clip imenifikirisha sana sababu inaonekana inaakisi uhalisia. Hapa nikipata likizo ntafanya juu chini nipime DNA watoto wangu wote, wataalam toeni muongozo namna ya kupima DNA Tafadhari

View attachment 2495130
Kama wanafanana na wewe achana na hayo mambo ila kama hawafanani na wewe umeumia
 
Kuyaona unaweza kuyaona ila kuondoka nayo hapana sababu wewe sio mhifadhi wa hayo majibu. Na majibu hayo hayo yakikutwa mtaani huko ni kosa kabisa. Hili nadhani ni kwa ajili ya kuwalinda watoto sana sana.

Mengine ni mambo ya kisera, sitakuwa na mengi ya kuyazungumzia Mkuu.
Asante sana chief, hii kitu ina theories nyingi sana mtaani, watu wengi hawajui ukweli sababu elimu hii haitolewi
 
Serikali ina siasa kaka. Haiko tayari kuona the big effect. Inajua kwamba waweza m-abandon mke na watoto lets say wawili kisa imekwambia watt sio wako. Inajua fika watt wa mitaani na uhalifu vitaongezeka. So sio rahisi kupata majibu ya ukweli unless wewe ni kibopa wa gvt.
Hivi haya mawazo huwa mnayatoa wapi? Unajua sheria ya mtoto inasemaje? Mtoto ana haki ya kumjua biological parents wake! Tatizo mnapenda kuzungumzia vitu hamna experience navyo. Mimi Watoto wamepimwa na kuna Niliyepima jibu akawa si wangu.

Kwanza mtu anayepima ni tofauti na mtoa majibu.
 
Tulee tu wala sio inshu sana,chukulia kama umemuadapt tu

Mtoto ni mtoto tu,mzigo aubadiliki ndo ulele
Kwangu hapana aisee...

Priority inaanza kwa wa kwangu, hao wengine watapata kama wa kwangu damu damu akiridhika, na sio ubinafsi huo bali ndivyo mambo yalivyo. Yaan bao langu liteseke halafu nilee mtoto wa alionilia mke wangu? Huwezi lea mtoto wako wa damu sawa sawa na unaempa msaada.
 
Hivi haya mawazo huwa mnayatoa wapi? Unajua sheria ya mtoto inasemaje? Mtoto ana haki ya kumjua biological parents wake! Tatizo mnapenda kuzungumzia vitu hamna experience navyo. Mimi Watoto wamepimwa na kuna Niliyepima jibu akawa si wangu.

Kwanza mtu anayepima ni tofauti na mtoa majibu.
Hii mada ina theories nyingi sana mitaani, ukizisikia utashangaa. Ni bora hapa wenye ufahamu muendelee kutujulisha
 
Hii mada ina theories nyingi sana mitaani, ukizisikia utashangaa. Ni bora hapa wenye ufahamu muendelee kutujulisha
Iamini DNA test! Huwa inatoa ukweli ila pengine mtoa taarifa. Mfano Hakimu akitaka DNA lazima majibu yaende kwake na yeye ndiye anayasoma mbele yenu! Unajua mahakimu huwa hawawaoneshi ile form toka kwa Mkemia mkuu. Lakini nakuhakikishia hata kuhonga kwa Mkemia si rahisi. Ila tupo mbioni kuleta Vifaa Tiba vya kupima DNA majumbani hapa Dar. Kwa mtaji huo unachukua sample na kujipima!
 
Nisiseme mengi, kuna clip inazagaa mwanamke mmoja anajisifia kalea mtoto kwa kutumia baba watatu na hawajuani. Yaan anamaanisha mababa watatu wamelea na kuhudumia mtoto kila mmoja akijua huyo mtoto ni wake, mchezo mzima kacheza huyo mwanamke.

Najua hapo alikua anaigiza tu ila hio clip imenifikirisha sana sababu inaonekana inaakisi uhalisia. Hapa nikipata likizo ntafanya juu chini nipime DNA watoto wangu wote, wataalam toeni muongozo namna ya kupima DNA Tafadhari

View attachment 2495130
Unachokitafuta utakipata

Nimemaliza
 
Nisiseme mengi, kuna clip inazagaa mwanamke mmoja anajisifia kalea mtoto kwa kutumia baba watatu na hawajuani. Yaan anamaanisha mababa watatu wamelea na kuhudumia mtoto kila mmoja akijua huyo mtoto ni wake, mchezo mzima kacheza huyo mwanamke.

Najua hapo alikua anaigiza tu ila hio clip imenifikirisha sana sababu inaonekana inaakisi uhalisia. Hapa nikipata likizo ntafanya juu chini nipime DNA watoto wangu wote, wataalam toeni muongozo namna ya kupima DNA Tafadhari

View attachment 2495130
hahahaha !
 
Kwa hali hiyo nianzishe kautaratibu. 😁
Before sex, namfungia ndani kama two weeks then ndio nasex naye. After sex namfungia tena ndani hadi nione kama kashapata tumba! 😂 Hapo ndio ntajua ni ya kwangu!

(Jokes) 🤣
 
Utaratibu ni rahisi kabisa, tafuta wakili (unaweza nitafuta mimi pia) kisha mtaenda ofisi za mkemia kanda kama hamuishi Dar es salaam.

Kule kwa mkemia mtapewa semina fupijuu ya swala zima la DNA, kisha mtachukuliwa sampuli zitakazohifadhiwa na kwenda kupimwa.

Hii michakato inahusisha watu tofauti tofauti hapo kwa mkemia hivyo kuchakachua sio rahisi kiasi hicho. Majibu ya DNA atapewa Wakili na yeye wakili ndio atakayekuja kuwapatia ninyi majibu ila hatawapa muondoke nayo sababu yeye ndiye mwenye dhamana ya kuyahifadhi (sio mali yenu)

MUHIMU KUFAHAMU:
1. Hautaweza kupima na kupatiwa majibu bila ama amri ya Mahakama au Wakili, ukienda wewe binafsi hutofanikiwa

2. Majibu ya DNA Testatapatiwa wakili wenu na yeye ndiye atakayewasomea na kubaki nayo ili ayahifadhi

3. Malipo ya kwa mkemia ni 100,000/= kwa kila sampuli malipo ya wakili itategemea na wakili husika akizingatia heria ya malipo ya mawakili.

Kama kuna swali nitajibu kulingana na uzoefu na ufahamu wangu.
Ngoja nisave hii comment!
 
Back
Top Bottom