Aisee, wanawake mtatunyoosha, hii clip imenifikirisha sana, naenda kupima DNA watoto wangu wote

Aisee, wanawake mtatunyoosha, hii clip imenifikirisha sana, naenda kupima DNA watoto wangu wote

Sijawahi kupima DNA wala bado sina familia kwa sasa (sijaoa ) ila stori zinavyoenda huku mtaani ni kwamba ukienda kupima DNA hasa hapa bongo ukisema uende direct basi atahitajika mkeo pia awepo .

Na ili kulinda maslahi ya mtoto/watoto basi itakapogundulika kuwa hao watoto si wa kwako watamuita mke wako kwa siri na watamwambia uhalisia, kisha ndiyo mtaitwa wote sasa halafu utaambiwa uongo kwamba hao watoto wakwako kabisa ila wamefuata upande wa mke sana ndiyo maanaa hawana hata feature moja ya kwako 😂.

Kuna wadau wanasema labda uchukue nywele au mate kisha uende hapo kenya utapata kila kitu au uingie mfukoni uhonge kweli kweli kwa hapa bongo(sipo na wewe kwenye dhambi hii).

N.b
Ni stori tu za mtaa.
 
Nisiseme mengi, kuna clip inazagaa mwanamke mmoja anajisifia kalea mtoto kwa kutumia baba watatu na hawajuani. Yaan anamaanisha mababa watatu wamelea na kuhudumia mtoto kila mmoja akijua huyo mtoto ni wake, mchezo mzima kacheza huyo mwanamke.

Najua hapo alikua anaigiza tu ila hio clip imenifikirisha sana sababu inaonekana inaakisi uhalisia. Hapa nikipata likizo ntafanya juu chini nipime DNA watoto wangu wote, wataalam toeni muongozo namna ya kupima DNA Tafadhari

View attachment 2495130

Mbona kama anaigiza?

Anyway alichokizungumza kipo na kinafanywa...
 
Nisiseme mengi, kuna clip inazagaa mwanamke mmoja anajisifia kalea mtoto kwa kutumia baba watatu na hawajuani. Yaan anamaanisha mababa watatu wamelea na kuhudumia mtoto kila mmoja akijua huyo mtoto ni wake, mchezo mzima kacheza huyo mwanamke.

Najua hapo alikua anaigiza tu ila hio clip imenifikirisha sana sababu inaonekana inaakisi uhalisia. Hapa nikipata likizo ntafanya juu chini nipime DNA watoto wangu wote, wataalam toeni muongozo namna ya kupima DNA Tafadhari

View attachment 2495130
Andaa bajeti ya kwenda kupima nje ya nchi, kwa bongo DNA ni mchakato mrefu maana wanajua kinachofata ni ugomvi kama sio kuwadhulu watoto labda ufanye mchongo wa siri na dokta
 
Sijawahi kupima DNA wala bado sina familia kwa sasa (sijaoa ) ila stori zinavyoenda huku mtaani ni kwamba ukienda kupima DNA hasa hapa bongo ukisema uende direct basi atahitajika mkeo pia awepo .

Na ili kulinda maslahi ya mtoto/watoto basi itakapogundulika kuwa hao watoto si wa kwako watamuita mke wako kwa siri na watamwambia uhalisia, kisha ndiyo mtaitwa wote sasa halafu utaambiwa uongo kwamba hao watoto wakwako kabisa ila wamefuata upande wa mke sana ndiyo maanaa hawana hata feature moja ya kwako 😂.

Kuna wadau wanasema labda uchukue nywele au mate kisha uende hapo kenya utapata kila kitu au uingie mfukoni uhonge kweli kweli kwa hapa bongo(sipo na wewe kwenye dhambi hii).

N.b
Ni stori tu za mtaa.
Hii ni reality
 
Nisiseme mengi, kuna clip inazagaa mwanamke mmoja anajisifia kalea mtoto kwa kutumia baba watatu na hawajuani. Yaan anamaanisha mababa watatu wamelea na kuhudumia mtoto kila mmoja akijua huyo mtoto ni wake, mchezo mzima kacheza huyo mwanamke.

Najua hapo alikua anaigiza tu ila hio clip imenifikirisha sana sababu inaonekana inaakisi uhalisia. Hapa nikipata likizo ntafanya juu chini nipime DNA watoto wangu wote, wataalam toeni muongozo namna ya kupima DNA Tafadhari

View attachment 2495130
Huyo sio mke ni malaya mdangaji.. Kwani matundu yameisha mpaka ukaingie la uzazi? Huo ni uboya brother!
 
Mwa
ikali ina siasa kaka. Haiko tayari kuona the big effect. Inajua kwamba waweza m-abandon mke na watoto lets say wawili kisa imekwambia watt sio wako. Inajua fika watt wa mitaani na uhalifu vitaongezeka. So sio rahisi kupata majibu ya ukweli unless wewe ni kibopa wa gvt.
Mwanzo kipimo Cha DNA kilipokuja,walikua wanatoa majibu ya kweli,ndoa zikavunjika,watoto wakakosa malezi,siku hizi unabambikwa tu,mwisho wa mwaka mkemia mkuu utasikia 50% ya waluopima DNA watoto siyo wao
 
Kwa hali hiyo nianzishe kautaratibu. 😁
Before sex, namfungia ndani kama two weeks then ndio nasex naye. After sex namfungia tena ndani hadi nione kama kashapata tumba! 😂 Hapo ndio ntajua ni ya kwangu!

(Jokes) 🤣
Ulichokiandika kama joke kiukweli kabila la wahaya wamekuwa wakifanya hivyo sema muingiliano na mabadiriko ya tabia nchi vimeharib.
Ili kujihakikishia firstborn ni wa ukoo hakika.
Mwali anakaa ndan bila kutoka nje mwaka mzima(kwalika).
Kutoka kwake chumban ni uani maalum wake tu (RUHUBA) ili aone jua au kufua na huduma ya choo.
Hafanyi kazi yoyote ya ndan zaid ya kukaa bila chupi kwa shughuli iliyomleta hadi mimba ya first born ya ukweli ipatikane, labda usafi binafs tu.
sasa Kuanzia mtoto wa pili haijarishi sana ni mbegu ya nani, ndo hayo ya kitanda hakizai haramu.
Nadhan kuokoteza wanyamahanga ndo leo tunajadiri mambo ya DNA.
 
Watoto kwa kuwaangalia kuna vitu vyako utaviona kama hakuna nenda kapine dna haraka
 
Ulichokiandika kama joke kiukweli kabila la wahaya wamekuwa wakifanya hivyo sema muingiliano na mabadiriko ya tabia nchi vimeharib.
Ili kujihakikishia firstborn ni wa ukoo hakika.
Mwali anakaa ndan bila kutoka nje mwaka mzima(kwalika).
Kutoka kwake chumban ni uani maalum wake tu (RUHUBA) ili aone jua au kufua na huduma ya choo.
Hafanyi kazi yoyote ya ndan zaid ya kukaa bila chupi kwa shughuli iliyomleta hadi mimba ya first born ya ukweli ipatikane, labda usafi binafs tu.
sasa Kuanzia mtoto wa pili haijarishi sana ni mbegu ya nani, ndo hayo ya kitanda hakizai haramu.
Nadhan kuokoteza wanyamahanga ndo leo tunajadiri mambo ya DNA.
Wahaya hamnazo🤣🤣🤣
 
Wahaya hamnazo🤣🤣🤣
Zimo sema utandawazi na uchumi wa kuhangaika vimeathiri huo utaratibu.
ilikuwa ni katika kutetea DNA ya uzao wa kwanza.
Siku hizi mtu anaolewa asubuhi anaamkia job, jion yuko na ex mara paap mnaletewa uzao wa kwanza la kibiyongo, akili hamna kila kitu plus magonjwa ya kurithi!
Mnapoteza traits zenu.
Pia ilikuwa inamheshimisha sana muolewaji. Mwaka mzima ni kula na kulala tu! Anatoka humo amenona haswa had kwao wanafurahi yupo in safe hands.
Je, kwa sasa dada zetu wakiolewa hujivunia nini?
 
Nisiseme mengi, kuna clip inazagaa mwanamke mmoja anajisifia kalea mtoto kwa kutumia baba watatu na hawajuani. Yaan anamaanisha mababa watatu wamelea na kuhudumia mtoto kila mmoja akijua huyo mtoto ni wake, mchezo mzima kacheza huyo mwanamke.

Najua hapo alikua anaigiza tu ila hio clip imenifikirisha sana sababu inaonekana inaakisi uhalisia. Hapa nikipata likizo ntafanya juu chini nipime DNA watoto wangu wote, wataalam toeni muongozo namna ya kupima DNA Tafadhari

View attachment 2495130
Naona unataka kufa mapema. Kitanda hakizai haramu chifu. Wewe lea tu. Haya mengine achana nayo.
 
Hii nadhan ilikua zamani, ukiwa na court order inawezekana ukapima.

Naenda mahakamani nawaambia nataka kuandika wosia hivo nataka kujua kina nani ni watoto wangu halali
Kitanda hakizai haram [emoji23][emoji1787]
 
Sisi tulio zaliwa Kaskazini mwa Tanzania hasa K’njaro tuna DNA asili yani Bibi yako au Babu Na Babana Mama huwa kinavitu wa note tu kwa Mtoto simple sana na wanakwambia huyu mtoto mkeo alikuja na Mimba au alichepuka

Mimi na mfano kuna dogo moja kwenye Familia fulani kuanzia wakat wamakuzi yake baada tu ya kuzaliwa Wazee wayule mzazi wa Dogo walimwambia mwenetu hapa umepigwa jamaa kutokan na kumpenda mkewe akavaa pamba masikioni hakutaka kusikia

Sasa wakati anakua ule umri wa kutumwa akawa jeur kibur mtata sana lkn babake alikua na watoto wawili kabla ya kimuoa ***** na walikua wana haiba zote za pale japo moja wakiume alifanana na Mamake ila kunavitu km vidole vya miguu na mikono ni dingi mtupu



Wazee waliendelea kumsihi kijana wao huyu mtoto atakuuwa siku mtafute Babae kwanjia ya mamake akutaje atakua alikuja na mimba hata ya wiki3 huyu

Kufupisha story wazee wayule dingi wakafariki kilichotokea miaka miwili nyuma kutoka mwaka huu yule dogo alimpiga vibaya Babake na babake alikua akimpenfa sana

Babake aliita ndugu wakamfukuza Dogo na Dogo akasepa kumbe Mamake kabla yakufa alimwambia Baabako yupo sehem fulan mana wadogo zake baada ya yy wote wana tabia sawa na Wale wakubwa zake wawili ambao Mama yao aliwakuta
 
Back
Top Bottom