Aisee, wanawake mtatunyoosha, hii clip imenifikirisha sana, naenda kupima DNA watoto wangu wote

Huyo ni wewe, kuna mijitoto ya ajabu aidha imeua baba walezi wao au imewafanyia mambo yaliowaletea presha.

Nakazia siwezi lea bao lisilo langu bila ridhaa yangu. Labda nijue sio wa kwangu lkn niendelee.

Af unauliza ili inisaidie nn? Hv wewe una akili kweli? Pitia commenta zangu huko juu utaona nnachomaanisha
 
Hawawezi na hawataweza kusema hivyo, nimesimamia DNA tatu tofauti na zote wanaume walipigwa na vitu vizito tena vizito kweli.
Mwanamke akifungua madai kuwe Mume sio baba Wa mtoto anasikilizwa lakini Mwanaume inakua ishu ngumu sana mana ikifanyika hivyo ndo nyingi zitakua na migogoro.
 
Ni Kweli Hawa wanawake wanaozaa Nje ya Ndoa wengi hua wale watoto wakishakua wakubwa wakawa na maendeleo makubwa mama ZAO wanafanya juhudi ya kuwaua Akina baba mana Watoto wanajua baba halisi Wa watoto yupo na Watoto HAWANA Shida Tena ya malezi.

Hili ni tatizo kubwa sana. Lakini pia Mwanaume anapomzalisha MKE Wa MTU ni kutafuta majanga kwenye ndoa za watu bila sababu.
 
Exactly chief..

Ni watu wazima tu ndo wanaweza kuona madhara ya hicho kitu, hawa watoto wa juzijuzi hawaelewi mambo yanavoenda, wazee wengi wamepata presha uzeen na kuishi uzee wao kwa tabu sana sababu ya mijitoto isio kuwa na shukran na mara nyingi unakuta sio watoto zao wa damu, maskin mzee wa watu aliletewa tu akakubali kulea
 

Mkuu hii nakataa mpaka nafukiwa hakuna kitu ukaona hicho ukielewa tafsiri ya damu nzito ndio utajua kwann hata ukifanana na wajomba zako Ila kuna kitu kitakutbulisha wewe ni mtoto wa Baba fulani
 
Ndo utalea Sasa bila kujua
 

Sahihi kabisa mimi nazaidi ya ushahidi mwingi kuhusu hayo
 
Kama anataka kuishi kwa Amani Bora aache tu
Amani gani ya kujidanganya?

Simple and clear, mtoto sio wangu huyo mwanamke akatafute babaake.

Nachukua likizo mwaka huu kwa ajili ya hayo mambo tu, na kizuri wakili yumo humuhumu jf, na lazima nitawapa mrejesho
 
Naona Duniani kote Iko hivyo.

Hawawezi kukupa majibu ya kweli

Tumia njia za asili kutambua hao watoto kama ni wako.

DNA za maabara labda ucheze na afisa husika.

Otherwise watakuambua ni wako tu utake usitake hata kama sio wako.
 
Mkuu hii nakataa mpaka nafukiwa hakuna kitu ukaona hicho ukielewa tafsiri ya damu nzito ndio utajua kwann hata ukifanana na wajomba zako Ila kuna kitu kitakutbulisha wewe ni mtoto wa Baba fulani
Unakataa kwa sababu ndio umeshajenga imani sawa na mababu zako.
 
Naona Duniani kote Iko hivyo.

Hawawezi kukupa majibu ya kweli

Tumia njia za asili kutambua hao watoto kama ni wako.

DNA za maabara labda ucheze na afisa husika.

Otherwise watakuambua ni wako tu utake usitake hata kama sio wako.
Watu mmeshaathiriwa na hadaa za mitaani. Hivi mnajua Ethics za maabara?
 
Kama anataka kuishi kwa Amani Bora aache tu
Pima ujue ni wako ulee kwa amani, ukijua si wako basi Baba yake apate haki ya kulea mwanaye. Hapo shida iko wapi.
Mawazo na stress zinakuja zaidi pale unapolea mtoto ambaye una mashaka naye. Bora uondoe wasi wasi
 
pole sana mkuu...ulichukua hatua gani baada ya kubaini kwamba mmoja sio wako?
 
Ukafanyaje sasa Mkuu baada ya kukuta sio wako? Hatua gani ulizochukua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…