Huyo ni wewe, kuna mijitoto ya ajabu aidha imeua baba walezi wao au imewafanyia mambo yaliowaletea presha.Ili ikusaidie nini? Wewe Lea katika hao Watoto wote wawe wa Nje au vinginevyo hawawezi fanana akili..
Mfano Mimi mama aniambie huyo sio baba Yako na kanilea Sasa baba yangu Mimi awe hai au kafa atakuwa na maana gani ikiwa hajanilea? Yupi wa maana aliyenilea au baba yangu wa damu aliyenipotezea?
Mwanamke akifungua madai kuwe Mume sio baba Wa mtoto anasikilizwa lakini Mwanaume inakua ishu ngumu sana mana ikifanyika hivyo ndo nyingi zitakua na migogoro.Hawawezi na hawataweza kusema hivyo, nimesimamia DNA tatu tofauti na zote wanaume walipigwa na vitu vizito tena vizito kweli.
Ni Kweli Hawa wanawake wanaozaa Nje ya Ndoa wengi hua wale watoto wakishakua wakubwa wakawa na maendeleo makubwa mama ZAO wanafanya juhudi ya kuwaua Akina baba mana Watoto wanajua baba halisi Wa watoto yupo na Watoto HAWANA Shida Tena ya malezi.Huyo ni wewe, kuna mijitoto ya ajabu aidha imeua baba walezi wao au imewafanyia mambo yaliowaletea presha.
Nakazia siwezi lea bao lisilo langu bila ridhaa yangu. Labda nijue sio wa kwangu lkn niendelee.
Af unauliza ili inisaidie nn? Hv wewe una akili kweli? Pitia commenta zangu huko juu utaona nnachomaanisha
Exactly chief..Ni Kweli Hawa wanawake wanaozaa Nje ya Ndoa wengi hua wale watoto wakishakua wakubwa wakawa na maendeleo makubwa mama ZAO wanafanya juhudi ya kuwaua Akina baba mana Watoto wanajua baba halisi Wa watoto yupo na Watoto HAWANA Shida Tena ya malezi.
Hili ni tatizo kubwa sana. Lakini pia Mwanaume anapomzalisha MKE Wa MTU ni kutafuta majanga kwenye ndoa za watu bila sababu.
Kama anataka kuishi kwa Amani Bora aache tuKwa hiyo bora aache?
Huo ujinga mie siwezi fanya. Kulea mtoto siyo wangu bila ridhaa yangu?
Hao ndio wanapigwa na kuleta migogoro kwa kutambua DNA kupitia hisia na maoni binafsi ya watu.
Ikumbukwe kuna uwezekano mkubwa wa kuzaa mtoto asiyefanana na Baba wala Mama kutokana na muungano wa Genes. Sasa kama unatumia hisia za mfanano hasa kwa hao wazee ni hatari sana
Ndo utalea Sasa bila kujuaHuyo ni wewe, kuna mijitoto ya ajabu aidha imeua baba walezi wao au imewafanyia mambo yaliowaletea presha.
Nakazia siwezi lea bao lisilo langu bila ridhaa yangu. Labda nijue sio wa kwangu lkn niendelee.
Af unauliza ili inisaidie nn? Hv wewe una akili kweli? Pitia commenta zangu huko juu utaona nnachomaanisha
Ndio haya nnayowaambia hawa wanaosema kitanda hakizai haramu.
Mimi nmeshuhudia familia kama mbili unakuta watoto ni wanne ila kuna limoja halijachukua kabisa tabia za baba yake.
Kuna mzee tuliwahi fanya nae kazi Barrick kule kakola, alikua na watoto wa kiume watatu, wiwili (wakwanza na wa mwisho) wameiga kila kitu kuanzia heshima hadi akili. Ila yule wa katikati sasa aiseee ni muhutu kabisa, kwanza ana kiburi, yaan unaweza kwenda kumtembelea baba ake hata lisikusalimie japo wenzake wote wanakusalimia.
Baadae huyo dogo alikuja kumuibia hela mzee wake zaidi ya 5M akatokomea asikojulikana na sijawah sikia story zake tena...
Waache waendeleee kusema kitanda hakizai haramu
Amani gani ya kujidanganya?Kama anataka kuishi kwa Amani Bora aache tu
Unakataa kwa sababu ndio umeshajenga imani sawa na mababu zako.Mkuu hii nakataa mpaka nafukiwa hakuna kitu ukaona hicho ukielewa tafsiri ya damu nzito ndio utajua kwann hata ukifanana na wajomba zako Ila kuna kitu kitakutbulisha wewe ni mtoto wa Baba fulani
Sawa kila la heri.Unamaanisha kuvumilia majibu kivipi?
Kama sio wa kwangu nitafanya decision kwa logic yangu nilioiandaa
Watu mmeshaathiriwa na hadaa za mitaani. Hivi mnajua Ethics za maabara?Naona Duniani kote Iko hivyo.
Hawawezi kukupa majibu ya kweli
Tumia njia za asili kutambua hao watoto kama ni wako.
DNA za maabara labda ucheze na afisa husika.
Otherwise watakuambua ni wako tu utake usitake hata kama sio wako.
Pima ujue ni wako ulee kwa amani, ukijua si wako basi Baba yake apate haki ya kulea mwanaye. Hapo shida iko wapi.Kama anataka kuishi kwa Amani Bora aache tu
Wala hawataki Watoto wa mitaani.Dna yenyewe mpaka south ndo zipo fresh huku bongo eti hawataki kuvunja ndoa za watu 🤣🤣🤣🤣 ama kweli ngoja nikue tu yaani 👿
😶Wala hawataki Watoto wa mitaani.
pole sana mkuu...ulichukua hatua gani baada ya kubaini kwamba mmoja sio wako?Hivi haya mawazo huwa mnayatoa wapi? Unajua sheria ya mtoto inasemaje? Mtoto ana haki ya kumjua biological parents wake! Tatizo mnapenda kuzungumzia vitu hamna experience navyo. Mimi Watoto wamepimwa na kuna Niliyepima jibu akawa si wangu.
Kwanza mtu anayepima ni tofauti na mtoa majibu.
Ukafanyaje sasa Mkuu baada ya kukuta sio wako? Hatua gani ulizochukua?Hivi haya mawazo huwa mnayatoa wapi? Unajua sheria ya mtoto inasemaje? Mtoto ana haki ya kumjua biological parents wake! Tatizo mnapenda kuzungumzia vitu hamna experience navyo. Mimi Watoto wamepimwa na kuna Niliyepima jibu akawa si wangu.
Kwanza mtu anayepima ni tofauti na mtoa majibu.
🤣🤣🤣🤣🤣Ipo haja ya kutembelea eneo la kazin kwa Mkeo uangalie tu watoto wanafanana na Nani ?