Ajabu na kweli: Padri wa kanisa katoliki kaoa mke na anavuta sigara kali!

Halafu ameenda kwa Padri?? Padri huyo bado analitumikia kanisa? Na kama analitumikia kanisa anaishi kwake kivipi amepanga au? Hebu fafanua hili kwanza la sivyo ni umbea ulokosa ladha..
 
Kijana alikuwa mpita njia tu lakini anaishi jirani na maskani ya padre....so anafahamu kila kitu kinachoendelea ndio maana hakusita kuniambia ukweli hadharani.
Huyo padri anaishi peke yake kivipi? Au ni kigango hiko so padri ni mmoja tuu? Au ni amepanga uraiani...maskani ya padri ni mazingira ya kanisa..hebu tuelezee vzr
 
What to say is :

Mathayo 13:30
Acheni ngano na magugu vikue vyote pamoja mpaka wakati wa mavuno. Wakati huo nitawaambia wavunaji wayakusanye magugu kwanza, wayafunge matita matita ili yachomwe moto; kisha wakusanye ngano na kuileta ghalani mwangu.’ ”
 
Ukute wewe ni mbaba unafamilia inakutegemea, inajua umeenda kazini kumbe upo jf unaandika mashudu, et umeishiwa nguvu uliposikia mwanaume mwenzio ameoa, WHAT THE FVCK YOU TALK
Kama hujui jambo ni bora ukae kimya kuliko kuonesha udhaifu wako hadharani. Unafahamu sheria za kanisa katoliki au unakuja hapa kumwaga mipovu yako ya bia za maokoto bila kufikiri? Kama mm hili jambo limenishtua wewe kinakuuma nini? Wewe hapa JF ni kazini kwako? Usinipangie maisha mkuu.
 
Na wewe ulikuwa unapita kwa padri ukakuta mwanamke ukashangaa? Au ndiyo walewale? Umekuta mambo yamebadilika ukazimia?
Na wewe hebu niache na hizo hekaya zako za mapapai. Kama nyie huko kwenu mmezoea mambo ya mapapai sio kila mahali mapapai yanafanya kazi. Tulia sindako zikuingie bibi mkubwa!
 
Halafu ameenda kwa Padri?? Padri huyo bado analitumikia kanisa? Na kama analitumikia kanisa anaishi kwake kivipi amepanga au? Hebu fafanua hili kwanza la sivyo ni umbea ulokosa ladha..
Yupo kwenye maskani yake. Kama huelewi rudi shule ukasome Kiswahili lugha yako ya taifa.
 
Jiandae na mashambulizi kutoka kwa wanafunzi na waumini wao.... ila ukweli mchungu, mapadre wanaishi maisha ya kidunia mnoooo.
Tokea asbh mada za kuwashambulia mapdri imeshamiri na wee ukaenda mbali ukasema padri amekuonga pesa Kiasi fln


Pia uko Happ kukazia kuwa.mapdri wanaishi maisha ya kidunia inaonekana unajuwa kitu fln juu ya watu hawa
 
Kamripoti basi usiendelee kulegea hapo chini ulipochuchumaa na kushika kichwa...
Wewe kinachokuuma nini mke wa padre? Acha kumpotosha padri wa watu......mwache aende akatumikie watu wa Mungu. Tamaa za mwili zitakuua. Wanaume wote waliotapakaa hapa mtaani ukawaacha ukaenda kumrubuni padre aache kazi ya Mungu aaanze kukushughulikia wewe tu? Mungu anakuona.
 
...padri akivuta sigara anapondwa... Au maandiko yanasema padri asivute wengine wavute?
 
Huyo padri anaishi peke yake kivipi? Au ni kigango hiko so padri ni mmoja tuu? Au ni amepanga uraiani...maskani ya padri ni mazingira ya kanisa..hebu tuelezee vzr
Haishi peke yake....anaishi na mke wake. Ngoja nikuwekee highlight kabisa maana watu wengine mu wagumu wa kuelewa.
 
8.USISEME UONGO
 
Wewe nawe una wenge...
 
Kuingia Upadre ni hiari hivyo hawalazimishi tena wanakuwa watu wazima, hata Yuda Iskariote mpaka leo anaitwa mtume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…