Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Hakuna anaye walazimisha kuwa mapadre, wanafahamu kabla ya kuwa padre hakuna kuoa ndani ya upadreWawaruhusu waoe kuwaokoa asilimia kubwa walio na wanaopenda kuwa na wanawake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna anaye walazimisha kuwa mapadre, wanafahamu kabla ya kuwa padre hakuna kuoa ndani ya upadreWawaruhusu waoe kuwaokoa asilimia kubwa walio na wanaopenda kuwa na wanawake.
Wewe ni mke au mtoto wao ?Mapadri wanawatoto wao sio mmoja kama hujui labda wanenda kufunga serikalini
Kama unataka ushahidi sema uonyeshwe ila ni huku arusha na moshiWewe ni mke au mtoto wao ?
Sema wewe Atoto, nikisema mie naambiwa nina chuki....Wengi kama sio wote wako na ndoa zisizo rasmi.
Sasa wewe mbona unakuwa mkali for nothing? Una maslahi gani na ndoa ya padre au wewe ndiye mke wake nini? You are so emotional for no good reason....calm down!Kwamba wewe ndio wa kunifundisha mimi maana ya ndoa ?
Kwa sababu wewe ni malaya basi unafikiri kila mtu humu ni malaya kama wewe ?
Ungekutana na kile kisa cha ustaadh aliyelawiti watoto wa madrasa ishirini na mbili si ungekufa kabisa?Ukistaajabu ya Musa hujaona ya Firauni. Hivi majuzi nilikuwa mitaa fulani nikapita karibu na maskani ya padre mmoja wa kanisa katoliki. Kwa mbali nikamuona mwanamke wa makamo anafanya usafi na kulisha mifugo. Haujapita muda mrefu nikakutana na kijana na kumuuliza kama padre yupo akanijibu padre katoka ila mke wake yupo. Nikamuuliza je, mke wake ni yule niliyemuona anafanya usafi pale nyumbani? Akajibu: NDIYO! Nilihisi kushikwa ganzi na kushindwa kusimama wima. Nikajifanya sijisikii vizuri nikawa nimechuchumaa chini nimeinamisha kichwa. Yule kijana kaniuliza: Vipi unaumwa? Nikamjibu najisikia vibaya.
Kwa mshtuko wangu nilihisi kabisa yule kijana ameunganisha hali yangu na tukio la mke wa padre kwa kuwa alikuwa akiniangalia kwa hofu iliyochanganyikana na wasiwasi. Kijana alionesha hofu ya kutoa siri za watu. Nikaanza kujilaumu kimoyomoyo kwanini nilishindwa kujikaza hadi kijana wa watu akahisi labda nitaenda kuvujisha hizi taarifa kwa viongozi wa kanisa. Nami wala sina nia hiyo na sijamwambia mtu yeyote hadi leo ninapoandika kuhusu jambo hili hapa JF.
Siku za nyuma kidogo (takribani miaka 3 iliyopita) niliwahi kumshuhudia padre mwingine wa kanisa katoliki akivuta sigara kali. Nikashangaa sana. Wavutaji wa sigra kali wanafahamu aina hii ya sigara. Hii sio sigara ya kawaida ndio maana ikapewa hili jina la kipekee. Tangu siku hiyo nikagundua kwamba kumbe upadre wakati mwingine ni kazi tu kama kazi nyingine wala haina koneksheni na utakatifu au matendo mema. Kuna mapadre genuine ambao kweli wamejitoa kumtumikia Mungu kwa hali na mali na wengine ni wachumiatumbo tu.
MAONI YANGU
Ifike wakati sasa kanisa litambue umuhimu wa matamanio ya mwili kwa wanadamu na kusitisha mpango wake wa muda mrefu wa kuwazuia mapadri kuoa na kutumia vilevi vingine kama watu wa kawaida ilmradi hawavunji amri 10 za Mungu. Kitendo cha kulazimisha mapadri wasioe na kushiriki matendo mengine mema ya dunia sio jambo zuri.
ANGALIZO
Hii sio mada ya kidini bali ni habari mchanganyiko inayohusu maisha ya binadamu bila kujali imani, dini, rangi, jinsia, kabila au ukanda. Mods msiingie mkenge kuhamisha hii mada kwenda jukwaa la dini tafadhali.
Nawasilisha.
Nipo kisongo Arusha leta hiyo mimba uliyo pewa na padre niione ?Kama unataka ushahidi sema uonyeshwe ila ni huku arusha na moshi
Uliona huyo mwanamke ana faidi sana ulitaka ubatuliwe wewe ? Toto la kiume linakuwa mbea kama binti jilinde utakuja tolewa mahariSasa wewe mbona unakuwa mkali for nothing? Una maslahi gani na ndoa ya padre au wewe ndiye mke wake nini? You are so emotional for no good reason....calm down!
Ma padri ni binadam wa kawaida tu...Sema wewe Atoto, nikisema mie naambiwa nina chuki....
Du! Hauko sawa mkuu......inawezekana una shida kwenye afya ya akili. Tulia kwanza akili yako ipoe kidogo!Uliona huyo mwanamke ana faidi sana ulitaka ubatuliwe wewe ? Toto la kiume linakuwa mbea kama binti jilinde utakuja tolewa mahari
Yaweza kuwa wewe ni mnaa ndio maana unajihami.Ukistaajabu ya Musa hujaona ya Firauni. Hivi majuzi nilikuwa mitaa fulani nikapita karibu na maskani ya padre mmoja wa kanisa katoliki. Kwa mbali nikamuona mwanamke wa makamo anafanya usafi na kulisha mifugo. Haujapita muda mrefu nikakutana na kijana na kumuuliza kama padre yupo akanijibu padre katoka ila mke wake yupo. Nikamuuliza je, mke wake ni yule niliyemuona anafanya usafi pale nyumbani? Akajibu: NDIYO! Nilihisi kushikwa ganzi na kushindwa kusimama wima. Nikajifanya sijisikii vizuri nikawa nimechuchumaa chini nimeinamisha kichwa. Yule kijana kaniuliza: Vipi unaumwa? Nikamjibu najisikia vibaya.
Kwa mshtuko wangu nilihisi kabisa yule kijana ameunganisha hali yangu na tukio la mke wa padre kwa kuwa alikuwa akiniangalia kwa hofu iliyochanganyikana na wasiwasi. Kijana alionesha hofu ya kutoa siri za watu. Nikaanza kujilaumu kimoyomoyo kwanini nilishindwa kujikaza hadi kijana wa watu akahisi labda nitaenda kuvujisha hizi taarifa kwa viongozi wa kanisa. Nami wala sina nia hiyo na sijamwambia mtu yeyote hadi leo ninapoandika kuhusu jambo hili hapa JF.
Siku za nyuma kidogo (takribani miaka 3 iliyopita) niliwahi kumshuhudia padre mwingine wa kanisa katoliki akivuta sigara kali. Nikashangaa sana. Wavutaji wa sigra kali wanafahamu aina hii ya sigara. Hii sio sigara ya kawaida ndio maana ikapewa hili jina la kipekee. Tangu siku hiyo nikagundua kwamba kumbe upadre wakati mwingine ni kazi tu kama kazi nyingine wala haina koneksheni na utakatifu au matendo mema. Kuna mapadre genuine ambao kweli wamejitoa kumtumikia Mungu kwa hali na mali na wengine ni wachumiatumbo tu.
MAONI YANGU
Ifike wakati sasa kanisa litambue umuhimu wa matamanio ya mwili kwa wanadamu na kusitisha mpango wake wa muda mrefu wa kuwazuia mapadri kuoa na kutumia vilevi vingine kama watu wa kawaida ilmradi hawavunji amri 10 za Mungu. Kitendo cha kulazimisha mapadri wasioe na kushiriki matendo mengine mema ya dunia sio jambo zuri.
ANGALIZO
Hii sio mada ya kidini bali ni habari mchanganyiko inayohusu maisha ya binadamu bila kujali imani, dini, rangi, jinsia, kabila au ukanda. Mods msiingie mkenge kuhamisha hii mada kwenda jukwaa la dini tafadhali.
Nawasilisha.
Mwanaume kuwa mbea ni zaidi ya tatizo la afya ya akili. Chunga wanaume siku hizi wana olewa wewe endekeza hizo pigoDu! Hauko sawa mkuu......inawezekana una shida kwenye afya ya akili. Tulia kwanza akili yako ipoe kidogo!
Najua ni bange.Sigara kali ni kama bange tu mkuu. Wewe unaona vema mtumishi wa Mungu kuvuta vitu vya ajabu kama hivyo?
Padri kuoa sio dhambi kiimani, ila tu anakua amekiuka kiapo chake kwa Kanisa.Kwani kitendo cha padre kuoa wewe unakichulia kwa wepesi mkuu? Wewe ni dhehebu gani?