Nyie mnaacha mnauana huko barabarani, mnataka kuwatwika watu wa watu mizigo mkiwa mizoga.
Ingekuwa si yao wangepigiwa?
Ujue simu inapigwa ya hospital ya mtu ya mkononiArusha: Hii imekaaje ya kiongozi wa CCM kutaka kuwa juu ya watumishi, Daktari afukuzwa na kiongozi wa CCM
Ifike mahali tutenganishe siasa na kazi, nimechukizwa sana na Hawa watu wanaojifanya ni viongozi wa Chama cha kijani kuingilia majukumu ya watumishi. Tena nitoe Kongole la nguvu kwa huyu daktari kamjibu vizuri, ifike mahali tuheshimiane, kuwa katibu mwenezi wa chama cha kijani (CCM) haina maana...www.jamiiforums.com
Africa 90% ya vifo husababishwa na hao jamaa.Trust me.Angekuwa Magufuli haya yasingetokea trust me uzembe umekuwa mkubwa sana ofisini siku hizi:
Nipo natazama ITV super brand mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya na wananchi wa lijitokeza wakati wa ajari mbaya iliyouwa Watanzania 20 watatu wakifua hospitalini wanathibitisha kuwa madaktari walipigiwa simu na mkuu wa wilaya ya korogwe wakaitikia na kusema wao walishapata taarifa mapema kabla hawajapigiwa simu muda wa saa nne na nusu usiku ila cha ajabu wakatokea saa kumi na moja asubuhi.
Wananchi wenye hasira walikuwa wakitaka hatua kali zaidi maana huo ni uzembe na uuwaji kabisa kwa kuwa kama wagonjwa wangepata huduma wasingekufa wengi zazi hasa walipelekwa usiku hospitalini.
"Uzembe kazini ilikuwa ni kutumbua papo kwa hapo kipindi cha jemedari Magufuli"
USSR
Africa 90% ya vifo husababishwa na hao jamaa.Trust me.
Ndio uko sahihi hawasomi hawa wao ni kuandika tu tena hao madaktari wanaishi kotaSijui ni mimi ndio nimeielewa hii habari vibaya au kuna watu wana matatizo ya akili
Nahisi nimemsikia RC anadai Doctors waliitwa Hospital sio eneo la accident
Wewe unambiwa hospitalini wewe unasema nje ya hospitali nje wapi mbona huwa mnakwenda vichochoroni kutibuBro, wewe si wa kwanza kuishi nje. Sasa sijui wazungumzia nje ipi. Madaktari hawahusiki na tiba ya ajali nje ya hospitali. Huko kuna paramedics, ambao si madaktari. Mna paramedics hapa bongo?
Wewe ni daktari?Ww mbona unaongea ujinga, sasa kama huyo Dc sio mtaalam wa afya hiyo referral form kaandika kitu Gani? Acheni kuingiza siasa kwenye taaluma za watu hilo ni jukumu la zimamoto na vikosi vya ulinzi kazi ya ma Dr ni kuwasubiri hao wagonjwa hospitali wawatie huduma.
Unafahamu daktari akiwa zamu, anakuwa zamu siku nzima(24hrs).Ni upuuzi tu !! Kwani masaa ya kazi hayajulikani? Hata uwapigie simu siyo lazima waje muda huo, kwani hawana shughuli nyingine waliyokuwa wanafanya? Eti asingekuwa Magufuli wasingefanya hivyo? UJINGA MTUPU.
Mbona yeye mwenyewe KAFA akiwa Rais? Kwa nini watu hawakumuogopa kuwa atakufa.
Hiyo Hospitali ina madaktari wangapi?Asilimia kubwa ya Watu humu hawajafuatilia kilichotokea kuhusu hao madaktari.
Madaktari hao hawakuitwa eneo la Ajari bali ni hospitalini. Na hawakufika kwa wakati na zaidi .
Na zaidi mmoja wao anaishi eneo hilo hilo la Hospitali.
Iko hivi Hospitalini, hasa hizi za huku chini, mara nyingi wakati wa Usiku huwa kuna Daktari mmoja au wawiliHiyo Hospitali ina madaktari wangapi?
Ina Emergency Operation Plan/mpango wa dharura?
Kwa nini hao waliitwa? Ndio ilikuwa zamu yao kwa matukio ya dharura siku hiyo au wao ndio wahusika wa kila tukio la dharura?
Kama kungekuwa na ajali nyingine dharura sehemu nyingine hilo tukio lingeshughulikiwaje?
yaani kusema ukweli, kwa wale waliowahi kuishi nje kidogo, madaktari wa kibongo wanaboa sana. wana kiburi, wapenda rushwa na vinajifanya vitaalaamuuuu wakati kutibu haviwezi. kuna wakati huwa naviangalia naviacha tu. kwamba tusiwaseme ati wanatutibu wakati tunawaona wazi kabisa wanazingua tukiwalinganisha na madoctor wenzao? walevi, malaya na kiufupi hakuna kitu yaani. watz wengi wanapona kwa kudra za Mungu tu ila majority ni incompetent, hawana ari ya kutibu wanafanya tu kwa mshahara. (though sio wote, wapo wale wazoefu wanajitahidi ila majority ni vuruvuru tu). binafsi nikikuta asehemu doctor au polisi anafumuliwa na wenye madaraka, hata huwa siumizi moyo kufikiria. wengi wanastahili.
Hawa barvicha siku wakipewa huu nchi tumekwisha
USSR