Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Inasikitisha sana watu kutotomiza wajibu wao halafu kuwabebesha wengine mzigo.
Suala la ajali kubwa za kutisha nchi hii limeshakuwa kama jambo la kawaida na waliopaswa kuwajibika zisitokee hawatekelezi wajibu wao ipasavyo badala yake wanatafutwa mbuzi wa kafara tu.
Suala la ajali kubwa za kutisha nchi hii limeshakuwa kama jambo la kawaida na waliopaswa kuwajibika zisitokee hawatekelezi wajibu wao ipasavyo badala yake wanatafutwa mbuzi wa kafara tu.
Nyie mnaacha mnauana huko barabarani, mnataka kuwatwika watu wa watu mizigo mkiwa mizoga.