Ajari kama hizo ni za kutatanisha tena arusha usiseme. 2012 pale makumira ukitoka chuo pale darajani kabla hujafika usa ilikuwa ni asubuhi mapema basi la ngorika na haice kuelekea dar lilitafuna watu sijawahi kuona almost wote walikufa tulivyofika mda huo huo police wanatoa maiti zilizokuwa kama nyama buchani hapakuwepo na damu hata kidogo.
Yule dereva alikufa vibaya sitosahau alivyokuwa anapiga kelele ajari ilikuwa ni asubuhi saa 1 hadi saa 4 asubuhi gari la kuvuta basi lilikuwa halijafika. Chuo kizima tulikwenda kuvuta ile basi walau dereva aokoke, tulivuta tukashindwa konda alioloka alikuwa anapiga kelele akimuita kwa jina chilo chiloo nakufaaa, mida ya saa nne na nusu gari la kunyanyua basi likafika likaanza kuvuta amenatia kwenye vyuma mara kunyanyua tu juu gafla likarudi chini likammalizia tulisogea karibu ila hakukua na damu jamani sijui kwann.
Wapumzike kwa amani.