Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

So sad, so sad, so sad. Ni msiba mzito mno. Rip marehemu.
Poleni mliofiwa.
 
Pole ndugu,ajali hii inasikitisha jmn watoto wawili!Hapo ndo nakumbuka ule wimbo.Mungu roho mtakatifu akutie nguvu ya kuweza kumfariji kakako ngoja tujifariji ya kwamba Mungu kaliona hilo jaribu analiweza.Ni hakika atalivuka salama.Dah huzuni jamani.
Hakika mkuu. Mungu yu mwema.
 
mwanga wa milele uwangaazie ee bwana na raha ya milele uwapatie
wapumzike kwa amani
 
Mkuu hayo ni madhara ya kutokufunga mikanda pia kama ajali ikitokea na ikacrush kwa impact kubwa hata siti za nyuma hungoka
kweli mkuu, mimi niliwahi kupata ajali ya basi, siti za nyuma zilitoka zote tukaja mbele. ni magari yaligongana uso kwa uso.
hii ajali imesikitisha sana na wapumzike kwa amani.
 
Nakupinga .....
 
What do u mean by saying....hakuna damu eneo la tukio wakati gari iliingia kwa korongo lenye maji? I stand to be corrected.
 
Kwa hiyo inawezekana hawakufunga mikanda, gari ilipojibamiza kwa mbele, backbenchers woote wakarushwa kwenda mbele!!
Ila ndo yameshatokea

Mkuu hata kama sio kwa kiwango hicho cha wote kufa
Wale wa mbele inaeleweka huwa hawaponi kwenye ajali
Ila back benchers wote kufa najaribu fikiria zaidi
 
Lord have mercy.. Imeniharibia siku yangu..so sad..nakosa maneno mazuri ya kuwafariji ..
 
Mungu Mkuu awajalie uvumilivu wazazi,walezi na ndugu wengine katika kipindi hiki kigumu sana. Uchunguzi wa kutosha ufanyike,isije ikawa hujuma
 
Ehh Mwenye Enzi Mungu ehh! Uchungu haswa! RIP malaika!
 
Very sad,ajali utata mtupu ama kweli Tz uchawi upo,pumzikeni mahala pema peponi our loved Angeles
 
Tuepushe na majanga kama haya, eh Mola wangu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…