Huna akili ww mpumbavu,watu wapo kwenye issue seriouz unaleta ujinga wako,mpumbavu ww mpk mzazi wako aliekuzaa,kazaa mpumbavu.sio kila sehemu unaleta chuki zako za kisiasa.mjingaaaDunia inajua na Chadema wanajua huwezi Kutenganisha Ufisadi na Lowassa.
kwa ajali ilivyoua wenzake. lazima atashikwa na bumbuazi.Huyu ni moja ya majeruhi, haamini na wala hawezi kuongea chochote
Angekuwepo mwanao hapo usingepata muda wa umbea. Kilicho kufanya usipost kama ilivyo nini. Hovyoo.Mods mtarekebisha baada ya Vilio vingi heading ya Mwananchi ni hii hapa chini
"Lowassa awalilia wanafunzi, maiti 32 zapelekwa mochwari''
Mods piga ban huyu kahaba,asirudie tena ujinga wakeDunia inajua na Chadema wanajua huwezi Kutenganisha Ufisadi na Lowassa.
Yani wewe tukio la kusikitisha na kuhuzunisha la kupoteza watoto wetu hawa unasimama kumuunga mkono mpuuzi anayeingiza siasa za kijinga?Troll umewapata leo, aibu hii....umegonga kwenzi la utosi, kwa!!
Kwa nini asifurahie wakati hayo ndio makafara ya ccm? Huu ndio muda wao kuuza sura, Bashite anatamani hao wanafunzi wangepata hiyo ajali Dar ili avimbishe bichwa lake kwenye runinga.hivi kweli unaripoti habari ya vifo halafu unaweka ushabiki wa kisiasa mbele namna hiyo..
We baba we muogope Mungu..... kaanzishe post nyingine ya lowasa huko. Wape watu muda wa kuomboleza. Acha mzahaDunia inajua na Chadema wanajua huwezi Kutenganisha Ufisadi na Lowassa.