Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

nmetumiwa picha hii
 

Attachments

  • IMG-20170506-WA0034.jpg
    IMG-20170506-WA0034.jpg
    86.8 KB · Views: 40
My Allaah Subhanaa Wataala rest their souls in peace and perpetual light shine upon them!!
 
Mungu wangu nimejikuta nalia. Sijui wazazi wa hawa watoto masikini watakuwa kwenye hali gani
 
Dah hii ni zaidi ya maumivu kwa kweli,MUNGU haziweke roho zao mahali pema peponi.
 
Very Sad..Laleni salama wanangu.

Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema, atawafufua siku ya Mwisho.
 
dah! very sad Mungu awalaze mahali pema peponi na awape nguvu wafiwa wote katika kipindi hiki kigumu
 
dah ndio maana mimi watoto wakinambiaga maswala ya kwenda ziara nawakataliaga kwa sabab ya vitu kama hivi ila kwakuwa wao hawajui waniita mkoloni yan inafikia hatua wakiwa wananiulizia wanasema"mama,mzee mkuda yupo ndani au bado hajaludi"........dah maumiv ya kupoteza mtoto ni mazito jaman mi yashanikuta !

yan mimi watoto wakinambiaga haya mambo ya ziara nawauliza mchango ni tsh ngap wakishanambia nawapa hiyo pesa nawawambia nendeni mkatembee kuna siku mtoto alijibu jibu flan sitasahau,alinijibu"baba wewe sio mzee ila mbona una mambo ya kikoloni hivo,ungekuwa unatukataza bila kutupa hizi pesa ambazo zingekuwa ghalama ya trip tungehisi m'bahili"
Wewe ni mkoloni kweli wala hawajakosea. Kwani ajali haiwezi kuwakuta kwenye mabasi ya shule au usafiri binafsi au huko wanakoenda kutembea kutumia hizo hela unazowapa? Kwani hili ni tukio la ngapi kama hili hapa Tanzania? Msitake kuwaongezea mzigo wa majonzi wafiwa. Wafariji maana hakuna mtu anayejua kesho yake wala ya mwanae.
 
Back
Top Bottom