Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

nmetumiwa picha hii
 

Attachments

  • IMG-20170506-WA0034.jpg
    86.8 KB · Views: 40
My Allaah Subhanaa Wataala rest their souls in peace and perpetual light shine upon them!!
 
Mungu wangu nimejikuta nalia. Sijui wazazi wa hawa watoto masikini watakuwa kwenye hali gani
 
Dah hii ni zaidi ya maumivu kwa kweli,MUNGU haziweke roho zao mahali pema peponi.
 
Very Sad..Laleni salama wanangu.

Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema, atawafufua siku ya Mwisho.
 
dah! very sad Mungu awalaze mahali pema peponi na awape nguvu wafiwa wote katika kipindi hiki kigumu
 
Wewe ni mkoloni kweli wala hawajakosea. Kwani ajali haiwezi kuwakuta kwenye mabasi ya shule au usafiri binafsi au huko wanakoenda kutembea kutumia hizo hela unazowapa? Kwani hili ni tukio la ngapi kama hili hapa Tanzania? Msitake kuwaongezea mzigo wa majonzi wafiwa. Wafariji maana hakuna mtu anayejua kesho yake wala ya mwanae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…