Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Kila nafsi itaonja umauti.

Maskini watoto hawa wameenda wakiwa wadogo mno..pole kwa wazazi ndugu na jamaa pamoja na majeruhi.Mungu awatie nguvu kipindi hiki kigumu na awapumzishe watoto mahala salama.
 
Mungu wangu Mungu wangu Mungu wangu jamaniii maana ahaaaa a na mama mama
Eeeeehhhh Mungu.
 
Nimepata habari isiyo na shaka kuwa gari aina ya coaster limeua watoto karibu wote waliokuwa wanaelekea mjini Karatu kwa ziara ya kimasomo, taarifa zinasema wamebaki watoto wawili tu wengine wamefariki, shule inaitwa Lucky Vincent Nursery & Primary School ipo Arusha ni medium schools,kwa wenye updates tunaomba mtupe

Picha: Soon ntaziapload ni ajali ya mda huu
Mungu awalaze mahali pema peponi
----------------------

UPDATE: Coaster ina jumla ya abiria 58 na wote wanasadikiwa wamefariki,maiti zimepelekwa hospitalini na watu wameondoka eneo la tukio,mvua inanyesha

UPDATE: Picha zinakuja soon ripota yuko eneo la tukio..

19a4fcd1c935e4c031670cd880a46bc5.jpg

.........................
UPDATES:Magari ya polisi yametanda kila kona na maiti zimebebwa na magari ya polisi
Tayari kuhifadhiwa
...................
UPDATES:Ni watoto wanne(4) wanasadikiwa wako hai ila wako mahututi kabisa na kuna wasi wasi vifo vikaongezeka
UPDATES:Lucky vincent nursery school bus
62d62ef75dec257e496254f5cfb2808e.jpg

UPDATES:Shughuli za uokozi
a198eaa3cab45eec73b51943888b0a63.jpg
Masikini binadamu hawa. Mungu azirehemu nafsi zao. Eeh Mungu tusaidie
 
Dah RIP na pole kwa wafiwa wote .

Habari mbaya sana, mpaka sasa hakuna chombo cha habari chochote kilicholipa jambo hili uzito .[HASHTAG]#OnlyInTanzania[/HASHTAG]
 
Habari mbaya sana, poleni wazazi mm ni mmoja wa wazazi ambaye sipendi kabisa vi trip vya pamoja iwe ni kwa watu wazima au watoto i prefer private transport
Ajali ni ajali,uwe mwenyewe au kundi. Kinachotakiwa ni kumwomba Mungu tu. Kila mtu ataondoka kwa njia yake,uwe kwenye gari au la.

Mwenyezi Mungu awape faraja wafiwa na majeruhi
 
  • Thanks
Reactions: 7ve
hiki ni kilio na kusaga meno.. MUngu uendee kulinda watoto wako.

R.I.P engels
 
Wadogo sana maskini. Raha ya milele uwape eeh bwana na mwanga wa milele uwaangazie wapumzike kwa amani.
Mungu awape nguvu wazazi wa hawa watoto.
 
Mungu saidia ninachokisikia iwe ni ndoto tuu.
Mungu asaidiee niamshwe kwenye hii ndoto..
 
Dah RIP na pole kwa wafiwa wote .

Habari mbaya sana, mpaka sasa hakuna chombo cha habari chochote kilicholipa jambo hili uzito .[HASHTAG]#OnlyInTanzania[/HASHTAG]
Tbc wanaonesha Bongo muvi! Polen sana wafiwa
 
Back
Top Bottom