Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmh[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]Nimeangalia picha za bus linaonekana halijaumia sana. Yani usingetegemea vifo viwe vingi kiasi hicho kiasi kwamba nahisi kuna kitu kiko nyuma ya ajali hii ambacho sisi binadamu wa kawaida hatuwezi kukielewa.
Huu siyo muda wakulaumiana mkuu.Habari mbaya sana, poleni wazazi mm ni mmoja wa wazazi ambaye sipendi kabisa vi trip vya pamoja iwe ni kwa watu wazima au watoto i prefer private transport
Mmmh Aisee vijana wadogo kabisa masikini wamepoteza uhai kwa uzembe wa Dereva. Mungu awalaze mahala salama amiiinJamani madereva kuweni makini hata kidogo basi.
Mkuu client kwa heshima ya wafiwa na wahanga kwa ujumla.
Nilikuwa nina ombi ubadili Avatar yako japo kwa siku hii moja tu (hii ya leo) kisha![]()
utairudisha tena, maana umeleta uzi wa majonzi makubw aila avatar
yako ina umiza sana ukiiangalia na aina ya habari uliyoeleta hapa jamvini.
View attachment 505198
NB: ni ombi tu sio lazima.
Pole sana mkuu!Niko njiani kuelekea Arusha. Nimefiwa na watoto wa kaka yangu wawili katika hiyo ajali. Mungu atupatie wepesi.
Pole sana mkuuNiko njiani kuelekea Arusha. Nimefiwa na watoto wa kaka yangu wawili katika hiyo ajali. Mungu atupatie wepesi.
Mleta taarifa kasema mvua inanyesha!!!Kafara.
Nafikiri utakuwa ni mwendo kasi.Chanzo cha ajali nini jamani?
Pole sana mkuu. Tunaomba Mungu akupe nguvu kwenye kipindi hiki kigumu.Niko njiani kuelekea Arusha. Nimefiwa na watoto wa kaka yangu wawili katika hiyo ajali. Mungu atupatie wepesi.
Asante sana ndugu.Pole san
Poleni sana. Mungu awape faraja [emoji22] [emoji22] [emoji22]Niko njiani kuelekea Arusha. Nimefiwa na watoto wa kaka yangu wawili katika hiyo ajali. Mungu atupatie wepesi.