Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Nimeangalia picha za bus linaonekana halijaumia sana. Yani usingetegemea vifo viwe vingi kiasi hicho kiasi kwamba nahisi kuna kitu kiko nyuma ya ajali hii ambacho sisi binadamu wa kawaida hatuwezi kukielewa.
Mmmmh[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
Asante sana mkuu client kwa kulifanyia kazi ombi langu
walau sasa avatar yako iko njema.
asante sana kwa kunielewa, kwa pamoja tuijenge JF.

upload_2017-5-6_12-41-43.jpeg


Mkuu client kwa heshima ya wafiwa na wahanga kwa ujumla.
Nilikuwa nina ombi ubadili Avatar yako japo kwa si
upload_2017-5-6_12-41-43.jpeg
ku hii moja tu (hii ya leo) kisha
utairudisha tena, maana umeleta uzi wa majonzi makubw aila avatar
yako ina umiza sana ukiiangalia na aina ya habari uliyoeleta hapa jamvini.

View attachment 505198
NB: ni ombi tu sio lazima.
 
Mleta taarifa kasema mvua inanyesha!!!
Sasa maji ya mvua hayawezi kuosha hizo damu?

Ila wanaadamu tunapenda kusimulia na kushuhudia maajabu na miujiza.
 
Dah!!!.....hii ajali mbaya sana pole kwa wafiwa.....R.I.P. all who died
 
Daaah.Poleni wazazi wa malaika hawa na shule kwa ujumla.Ajali haina kinga ila madereva kuweni mnapokuwa na abiria na hasa watoto wadogo.kama.hawa.
 
Back
Top Bottom