Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Kuendelea na safari ni kukosa utu in my view. Mnafanyeje mitihani ambayo siyo ya kitaifa huku wenzenu wakiwa wamepata ajali

Ikiwa ni kweli aliyeruhusu anastahili achukuliwe shelia na atengwe katika jamii
 
b3aad0707bd68839502ed059ff00de80.jpg

Picha ya watoto waliofariki leo, ilipigwa wakati wanasubiria magari ili waondoke. Tunaweza kuitumia kama profile picha zetu kwa mda huu wa maombolezo.
RIP OUR SONS AND DAUGHTERS
 
Watoto 29 na watu wazima 3, hakika ni msiba wa taifa!
Serikali hata kusema tuomboleze hata siku moja kitaifa ili tuweze kutafakari usalama wa watoto wengine lakini wewe fungua Tv ngoma tu tutasemaje msiba wa Taifa. Ndio kila siku watu wanafariki lakini hii ni kama fundisho la kesho na ni innocent children 30 kwa wakati mmoja.
 
Mungu Awape Moyo Wa Uvumilivu Wafiwa Ktk Kipindi Hiki Kigumu.
 
AFU MBONA SIJAONA HATA MADAMU KUMWAGIKA JAMAN. [emoji15] [emoji15] [emoji15] Au nyi wenzang mmeona.??
 
Serikali hata kusema tuomboleze hata siku moja kitaifa ili tuweze kutafakari usalama wa watoto wengine lakini wewe fungua Tv ngoma tu tutasemaje msiba wa Taifa. Ndio kila siku watu wanafariki lakini hii ni kama fundisho la kesho na ni innocent children 30 kwa wakati mmoja.
Mpaka wangefiwa na ndugu zao wa karibu, ndio ungesikia hayo.
 
Back
Top Bottom