Kuendelea na safari ni kukosa utu in my view. Mnafanyeje mitihani ambayo siyo ya kitaifa huku wenzenu wakiwa wamepata ajali
Ikiwa ni kweli aliyeruhusu anastahili achukuliwe shelia na atengwe katika jamii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuendelea na safari ni kukosa utu in my view. Mnafanyeje mitihani ambayo siyo ya kitaifa huku wenzenu wakiwa wamepata ajali
Serikali hata kusema tuomboleze hata siku moja kitaifa ili tuweze kutafakari usalama wa watoto wengine lakini wewe fungua Tv ngoma tu tutasemaje msiba wa Taifa. Ndio kila siku watu wanafariki lakini hii ni kama fundisho la kesho na ni innocent children 30 kwa wakati mmoja.Watoto 29 na watu wazima 3, hakika ni msiba wa taifa!
Ooooh my God. Shit [emoji26] [emoji26] [emoji25] [emoji24]![]()
Inadaiwa hapa ni kabla ya safari. [emoji25][emoji24][emoji24]
MOD, ondoa hii picha inatutoa machozi, kwa sura zao tu hawa watoto hawakuwa tayari kwenda hii safari![]()
Inadaiwa hapa ni kabla ya safari. [emoji25][emoji24][emoji24]
Mungu awalaze mahali pema peponi, Amen,God forbid!
Unaniliza sana! Uwiiii jamani, duh! RIP![]()
Inadaiwa hapa ni kabla ya safari. [emoji25][emoji24][emoji24]
![]()
Inadaiwa hapa ni kabla ya safari. [emoji25][emoji24][emoji24]
Mpaka wangefiwa na ndugu zao wa karibu, ndio ungesikia hayo.Serikali hata kusema tuomboleze hata siku moja kitaifa ili tuweze kutafakari usalama wa watoto wengine lakini wewe fungua Tv ngoma tu tutasemaje msiba wa Taifa. Ndio kila siku watu wanafariki lakini hii ni kama fundisho la kesho na ni innocent children 30 kwa wakati mmoja.