Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Inavyosemekana watoto washulee walikuwa wanakwenda ngorongoro katika msafar wa coaster iliyopata ajali ilikuwa yamwisho na dereva sio mzoefu wa njia hiyoo akawa anawahi ili kuwafkia wenzake walio mtangulia kufika eneo linaitwa rotya cna uhakika sanaa sababu nmesimuliwa kuna kona kona nyingi na korongo sasa jamaa akalaza kwenye konaa ikamshinda ndo ikatumbukia korongon

Kama mtu ni mgeni pale ROTIA kwa kweli pana kona ndefu ... kuanguka ni rahisi ukichanganya na issue za mvua ... ni kona za surprise
 
b3aad0707bd68839502ed059ff00de80.jpg

Picha ya watoto waliofariki leo, ilipigwa wakati wanasubiria magari ili waondoke. Tunaweza kuitumia kama profile picha zetu kwa mda huu wa maombolezo.
RIP OUR SONS AND DAUGHTERS
Ukiangalia hii picha kwa makini.....utagundua jambo....wamekaa kiuzuni mno...Mungu baba walaze pema
 
Poleni wazazi na jamaa wote wa waliofariki katika ajali hii. Mungu awatie nguvu. Tumshukuru kwa walionusurika.
 
Dunia nzima imeripoti hii ajali. RIP to all victims
 
Kristo aliye rafiki mwema awape pumziko la amani watoto wetu wazuri!
 
Nimepata habari isiyo na shaka kuwa gari aina ya coaster limeua watoto karibu wote waliokuwa wanaelekea mjini Karatu kwa ziara ya kimasomo including(joint examinations), taarifa zinasema wamebaki watoto(3) tu wengine wamefariki,

shule inaitwa Lucky Vincent Nursery & Primary School ipo Arusha ni medium schools,kwa wenye updates tunaomba mtupe
.............
UPDATES:Ajali imetokea mlima marera kijiji cha rhotia,km chache sana kutoka Karatu mjini,mlima huo una mteremko mkali na daraja na pia kulikuwa na ukungu

Picha: Soon nitaziapload ni ajali ya muda huu
Mungu awalaze mahali pema peponi
----------------------

UPDATE: Coaster inasadikiwa kuwa na zaidi ya abiria 30 na wote wanasadikiwa wamefariki,maiti zimepelekwa hospitalini na watu wameondoka eneo la tukio,mvua inanyesha

UPDATE: Picha zinakuja soon ripota yuko eneo la tukio..

19a4fcd1c935e4c031670cd880a46bc5.jpg

.........................
UPDATES:Magari ya polisi yametanda kila kona na maiti zimebebwa na magari ya polisi
Tayari kuhifadhiwa
...................
UPDATES:Ni watoto watatu (3) wanasadikiwa wako hai ila wako mahututi kabisa na kuna wasiwasi vifo vikaongezeka
UPDATES:Lucky vincent nursery school bus
62d62ef75dec257e496254f5cfb2808e.jpg

UPDATES:Shughuli za uokozi
a198eaa3cab45eec73b51943888b0a63.jpg

UPDATES:Gari lilikuwa na zaidi ya abiria 30 wanafunzi 25,waalimu (4) wote wa kiume na dereva 1
................
UPDATES:Kati ya majeruhi watoto watatu(3) wawili wako mahututi kabisa na mmoja amepasuka kichwa
................
UPDATES:Maajabu ya ajali hakuna damu zozote zilizotapakaa licha ya watu wengi sana kufa!
..................
UPDATES:Majeruhi mmoja kati ya( 3) amefariki kabla ya kufikishwa hospitali,kwa hiyo taarifa zinasema wamebaki majeruhi wawili walioko ICU
...............
UPDATES:Kuna mkanganyiko mwingi kuhusu chanzo cha ajali ila nature ya eneo la ajali ni mteremko mkali na kuna daraja,ni eneo ambalo dereva anatakiwa kuwa makini kabisa,kwa dareva asiyemwangalifu inaweza tokea lolote,hebu angalia hapo gari lilipotumbukia na haikuwa ina over take ,u can diagnose the nature of an accident
efc42e9814d84a123b6aa5a8a92fed7c.jpg

UPDATES:Mwonekano wa gari kwa mbele baada ya kupata ajali
1b9b2ef92a5648b20c71d3e04a5e5f65.jpg

UPDATES:RPC Wa arusha amethibitisha jumla ya vifo 31 vya waalimu na wanafunzi
...................
UPDATES:Taarifa kutoka mjini Karatu zinasema kuwa majeruhi hali zao ni mbaya zaidi na wanakimbizwa hispitali ya rufaa ila mtoto mmoja ni mzima
6d688744c79e95ed10fb0d0ea09e695e.jpg

...............

UPDATES:Mtoto pekee alienusurika amesimulia chanzo cha ajali na amesema kuwa gari lilifeli break tokea mwanzo wa kushuka mlima hali iliyopelekea watoto na waalimu kupiga makelele na kilichofuata ni gari kupaa na kupinduka kwani nature yake sio slope kivile kuna miinuko kidogo

My take:Kulingana na maelezo hayo inaonekana gari lilifeli break,kupoteza mwelekeo na kupinduka ingawa bado polisi hawajatoa taarifa za chanzo cha ajali Bali walitaja idadi ya vifo 31 tu
...............
UPDATES:Majina ya waliofariki
470862a5c10126e56155ee706126acdd.jpg

fbf2939173eaa07ff41af774c40b5eed.jpg


MUNGU AWALINDE NA KUWAREHEMU ITS SO SAD
d60caf7575f56820b6c8c35459ed5a35.jpg


R.I.P all

Client:Jf member
Very sad indeed.Pole kwa wafiwa wote.Hii ni kazi ya Shetani through his agents,no question about it,na litakuwa ni kafara of some sort.The only way ya kuepuka ajali za namna hii ni kumkataa Shetani,vinginevyo ataendelea kututesa.We must be smart.Neno la Mungu linasema, ''Mkataeni Shetani,naye atawakimbia.''
 
Hii ni kazi ya Shetani through his agents,hakuna swali.The only way ya kuepuka ajali za namna hii ni kumkataa,vinginevyo ataendelea kututesa.We must be smart.Neno la Mungu linasema, ''Mkataeni Shetani,naye atawakimbia.''
Acha kumsingizia shetani wewe

Ni Mungu aliyeamua hao wafe kwa namna hiyo..
 
Sasa safari hiyo ukute hawana kibali. Shule itakuwa matatani. Vijipesa hivi walimu tuangalie coster ni watu 25.unaweka zaidi YA 30 shídaa
Kama kuna uzembe ni adhab kali,af hiz shule bas tuu,yan nalipa mil2 kwa mwaka primary af mniwekee mwanangu kwenye gar imejaa namna hii,akat hela ya transport nalipa,ni ajali ila kama kuna uzembe anyhow,lazma wawajibishwe,china kule tunanyonga uzembe kama huu...asee idad ni kubwa asee,sio kawaida,lazma sheria ionyeshe makucha hapa,hatutak us...nge kabsaa
 
Acha kumsingizia shetani wewe

Ni Mungu aliyeamua hao wafe kwa namna hiyo..
Hivi kwa nini unampigia Shetani kifua kiasi hicho,au ni agent wake?Mkuu Mungu hawezi kufanya upuuzi wa namna hii.God is so loving,infact God is love.It's only the Devil who can do this nonsense.Kumbuka kwamba Mungu ndiye aliyetuumba kwa hiyo hana sababu yeyote ya kutuvizia na kutuua so mercilessly.He can take your soul or my soul when you are asleep,it is his after all.On the other hand,Satan does not own our souls kwa hiyo lazima atuvizie.

Lastly,be very careful mkuu,kusema kwamba Mungu ndiye aliyeamua wafe namna hii while it is not true is an abomination.
 
Mkuu kifo hakikimbiwi

Hata uende wapi kama siku yako ya kufa imefika imefika tu

Kitendo cha kuwanyima fursa ya kwenda kutembelea sehemu mbalimbali kwa ajili ya mafunzo ni kuwanyima haki yao ya msingi .
Fikra za kimaskin sana hiz,et kifo hakikimbiw,..uzembw upo kokote kule,mfano,hutumii neti or kinga af upate gonjwa useme nin?mbona kuna nchi viwango vyao vya kuishi ni miaka zaid ya 80,..n y africa ni below 40 kiwastan,so utasema ni kudra hzo au ni mapenz ya Mungu?..tuelimike asee
 
Back
Top Bottom