Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Natamani msiba ufanyike kwa pamoja na Raisi ahudhurie.
 
Hizi ziara kwa wanafunzi hasa wa shule private ni kitu cha kawaida, huwa tunawakuta Mbuga ya Serengeti, Zanzibar, kwenye viwanja vya ndege watoto wakijifunza. Sasa vibali vinahusikaje!!? Naona kwa mbali mkurupuko wa kufuta hizo ziara kumfurahisha mkuu.
mkuu tena si kitu cha kawaida tu bali hadi kwenye syllabus inaonyesha kuna baadhi ya topic watoto wanajifunza nje ya darasa, mfano mambo ya history mwalimu anapaswa kuwapeleka watoto kwenye historical source hata moja! na walimu wamekuwa wakifanya hivyo mara kwa mara!! hayo mambo ya vibali yanatoka wapi sijui?
wanataka watafute sababu tu ya kuanza kuundama uongozi wa shule utafikiri kama wangepewa hicho kibali kingezuia ajali.
jamani hiyo shule saivi inahitaji faraja kipindi hiki ni kigumu sana kwao.
 
Ila kwa iyo kitu madereva wajifunze kitu na pia wawa kanye real mi had mwili unasisimka an
Watt wadg kama hao wanaenda na ndoto zao mkonon it's so sad kinyamaa
RIP wadg zangu na walim wang i wsh mngekuwepo tena siku ya leo.
 
My God,My God,jamani beautiful souls,as a mother nimelia kabisa.Jamani what a risk 58 kids in a minibus?no security belts.Oooooooh sad sad!Rest in peace beautiful angels.
Security belts=safety belts mkuu.
 
dah ndio maana mimi watoto wakinambiaga maswala ya kwenda ziara nawakataliaga kwa sabab ya vitu kama hivi ila kwakuwa wao hawajui waniita mkoloni yan inafikia hatua wakiwa wananiulizia wanasema"mama,mzee mkuda yupo ndani au bado hajaludi"........dah maumiv ya kupoteza mtoto ni mazito jaman mi yashanikuta !

yan mimi watoto wakinambiaga haya mambo ya ziara nawauliza mchango ni tsh ngap wakishanambia nawapa hiyo pesa nawawambia waituumie kwa kununua kitu au waile ila sio kwenda huko trip kuna siku mtoto alijibu jibu flan sitasahau,alinijibu"baba wewe sio mzee ila mbona una mambo ya kikoloni hivo,ungekuwa unatukataza bila kutupa hizi pesa ambazo zingekuwa ghalama ya trip tungehisi m'bahili"


alafu ilipotokea ajal hapo Rotia ndio pananikumbusha tukio nalojitahidi kulisahau...miaka ming sana imepita,ilikuwa nimetoka pale karatu high school kumchek mtoto wa brother wangu nkapokea simu nikiwa eneo hilo toka kwa wife ambae alikuwa pale mlala hospital ya babati akiwa analia tuu mda huo mtoto alikuwa kalazwa so nkaunganisha dotS nkajua tayal mtoto sina..alikuwa wa kiume nililia sana japo machoz hayakuonekana,nilimpata nikiwa na umri wa 17yrs yan nlikuwa nkikaaa nae watuwalihis mdogo wangu

ushaur wangu kwa wazaz na ndgu waliopoteza watotot wasilie hadi kumkosea mungu maana yatawakuta yaliyonikuta,baada ya kifo cha yule mtoto nilikufulu sana mungu kwann kachukua kidume changu matokeo yake mpaka leo kila mimba ni dume na nishachepuka japo kutafuta wa kumpa jina la mama angu napo naambulia madume!!

WAPUMZIKE KWA AMAN HAO WATOTO.
we mbaba ni mkoloni kwelikweli,wala watoto wako hawatanii kukueleza hilo.suala la ajali,unaweza usiende tour,na bado akabaki shuleni akaangukiwa na mti au shule ikaungua.kikubwa tu ni kuwaombea watoto wetu Mungu awalinde na sio kuwanyima haki zao za msingi
 
Eeeh Mwenyezi Mungu uwapokee watoto hawa.......na majeruhi nakuomba uwaponye haraka.

Correction kwenye heading, hiyo ROSA sio COASTER
 
NI HUZUNI KUBWA KWAKWELI...MUNGU AWALAZE MAHALA PEMA PEPONI WATOTO WETU.

 
Nimesikitika sana kwa msiba huu mzito kwa Taifa letu.

Nawaombea faraja za Mungu kupitia Roho Mtakatifu wazazi na ndugu za marehemu waliofariki.

Roho zao zilale pema peponi. Amen
 
Poleni wafiwa, roho za marehemu zilale mahala pema. Nasikia kuna mama kapata mstuko nae kafariki, watoto wake 3, wamefariki kwenye hiyo ajali, ni wiki moja tu imepita tangu afiwe na mme wake...inauma uchungu!!
 
R.I.P wakusoma wote na walimu wenu.
Ee Mola tunaomba uwape faraja familia za wa wahanga
katika hiki kipindi kigumu wapitiacho.

PSLE 2016 EXAMINATION RESULTS

LUCKY VICENT PRIMARY SCHOOL - PS0102080

WALIOSAJILIWA : 101
WALIOFANYA MTIHANI : 101
WASTANI WA SHULE : 214.6139
KUNDI LA SHULE : Watahiniwa 40 au zaidi
NAFASI YA SHULE KWENYE KUNDI LAKE KIWILAYA: 1 kati ya 68
NAFASI YA SHULE KWENYE KUNDI LAKE KIMKOA : 1 kati ya 331
NAFASI YA SHULE KWENYE KUNDI LAKE KITAIFA : 20 kati ya 8109
View attachment 505196

DAAH AISEE KUMBE SHULE NZURI NAMNA HII, ALAFU NIMEONA KWENYE AZAM WALIKUA DARASA LA 7 THAT MEANS TUMEPOTEZA HAZINA KUBWA SANA, MUNGU AWAREHEMU KWAKWELI...WANASEMA KAZI YA MOLA HAINA MAKOSA...POLE NYINGI KWA WAZAZI NA WALIMU. DAAAH AM SPEACHLESS.

 
Back
Top Bottom