Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Umeeleweka mkuu, asante kwa ufafanuzi.Ni kwel mafegi yalinikwaza sanaa
Ila sio official office kama anavyotangaza hapa hata kama atakuajiri inawezekana ikawa kakuajiri kama housegirl ni sehemu ambayo hamna mfumo wowote ... Hapo anapokuambia mnafanya orietation week hapo ndo anapokufukuza kwani
1. Jamaa ni mjuaji balaa kila kitu anajua halafu halafu apo yy sio kila kitu kuna mfadhil msomali mwenziwe yupo njee yy ndo ana support
2. Mshikaj ana Gubu balaa kias kwamba mkipishana kidogo anakutoa
Halafu anavyoongea kama na fustrustion hiv
Sidhani kama ashajiri mfanyakaz akadum hata mwaka mmoja
Wahi fursa hizo cocastic, ujanja kuwahi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ataishia kutafunwa tu na huyo babu.Wahi fursa hizo cocastic, ujanja kuwahi.
You are right.Kuua kwa kutaka pesa sio imani kali, huo ni uhalifu tu.
Imani kali ni kuua kwa kudhani kuwa unatetea dini na kwamba utaenda peponi.
Hey Abdul, hapo umeshamwacha kweye mataa huyo poyoyo. Haelewi hata maana ya "performance" ni ini.Sisi hatulipi kwa kuwa tu anaitwa mhasibu, tunalipa kwa uwezo wa kazi yako, nidhamu yako ya kazi, ujuzi na ueledi wako wa kutatua changamoto za kazini, miiko ya kazi yako, ubunifu wa kazi zako"performance-based not title based", the better earnings for the better performers, the poor earnings for the poor performers.
Ulitaka ukatafunwe wewe? Kheee! unanshangaza! ni wale wale nini?Ataishia kutafunwa tu na huyo babu.
Labda husomi izuri tu au ukisemacho hukielewi au ukisomacho hukipendi., ameandika mara chungu nzima rudia post za ke vizzuri. Hajaanza kuandika au kuandikwa habari zake humu JF leo wala jana. Yeye tunamsoma humu, mkewe " Bi Mrembo" tunamsoma humu na "udongo" wao wa tiba uliowasaidia na unaendelea kuwasaidia watu wengi sana.Hujaandika hiyo ni kampuni au kiwanda gani? Hujaweka address yenu yaani ni namba ya whatsapp tu watu watumie kuombea kazi.... Mbona kama kuna harufu ya utapeli mkubwa hapa
Nataka nikutafune weweUlitaka ukatafunwe wewe? Kheee! unashangza, ni wale wale nini?
Itoshe tu kusema umeandika upumbavuLabda husomi izuri tu au ukisemacho hukielewi au ukisomacho hukipendi., ameandika mara chungu nzima rudia post za ke vizzuri. Hajaanza kuandika au kuandikwa habari zake humu JF leo wala jana. Yeye tunamsoma humu, mkewe " Bi Mrembo" tunamsoma humu na "udongo" wao wa tiba uliowasaidia na unaendelea kuwasaidia watu wengi sana.
Roho tu zinawauma, mzee wa Madrassatul Abraar anafanya mambo yake kitaalam.
Nimjuayo huyo ni mtu asiyekuwa na longo longo, ni ndio au hapana. Kama hujamuelewa utamuelewa tu na ukienda na porojo anakupa live, hakucheleweshi.
Badala ya kuuliza 3rd party, kwanini kama una lako humuulizi mwenyewe direct?
Au ni ndio wale wale? wa shule za kusomea ujinga?
Hey Abdul, hapo umeshamwacha kweye mataa huyo poyoyo. Haelewi hata maana ya "performance" ni ini.
Umerudi Faiza, Vindictive like never before!Ulitaka ukatafunwe wewe? Kheee! unashangza, ni wale wale nini?
Not really, just being pedagogic.Umerudi Faiza, Vindictive like never before!
Ukweli upi uliomwambia?Anakuona poyoyo, kila unachosema anakujibu "upo sahihi". Jifikirie.Duh..ila mkuu,unaonekana una majivuno sana, nisamehe kama ntakua nimekukwaza kwa kukuambia ukweli.
Hata kuandika vizuri huelewi. Nnavyomjua Abdul, wewe hata kuwa "house boy" wake hakubali. Wewe labda, kwa nimjuavyo, ukawe mwanafunzi wa wanafunzi wake, tena wale wa kiwango cha chini.Uzur mkuu mimi sisemi uongoo naongea nilichokiona " Kwa mtizamo wangu ww ni Msomali "KANJANJA"
nasikia alisema mtoto ukimpa uji hataki,unamenya yai hataki basi mzabue kofi😂Jiwe Alisema Unamzabua Kofi Mtoto Utaona Atakavyobugia Uji
Kaa Vizuri Wasiwasi Ndiyo Akili
Kile Chuma Kilikuwa Na Hotuba Kama Vichekeshonasikia alisema mtoto ukimpa uji hataki,unamenya yai hataki basi mzabue kofi😂
Kwa ulienda shule za kusomea ujinga kama wewe lazima uone hivyo. Sikushangai.Itoshe tu kusema umeandika upumbavu
Wewe ni kipoyoyo kimoja kinachong'ang'ania kuusukuma mbuyu na kuishia kutingisha makalio tu. Huku jasho linakutoka unajidanya kuwa mbuyu umesogea.Nataka nikutafune wewe
Hayo utayakuta hapa: Argentina: Kiongozi wa Kanisa mahakamani kwa kuwanyanyasa kijinsia wanaumeAtaishia kutafunwa tu na huyo babu.
Alikuvutisha?Ni kwel mafegi yalinikwaza sanaa
Ila sio official office kama anavyotangaza hapa hata kama atakuajiri inawezekana ikawa kakuajiri kama housegirl ni sehemu ambayo hamna mfumo wowote ... Hapo anapokuambia mnafanya orietation week hapo ndo anapokufukuza kwani
1. Jamaa ni mjuaji balaa kila kitu anajua halafu halafu apo yy sio kila kitu kuna mfadhil msomali mwenziwe yupo njee yy ndo ana support
2. Mshikaj ana Gubu balaa kias kwamba mkipishana kidogo anakutoa
Halafu anavyoongea kama na fustrustion hiv
Sidhani kama ashajiri mfanyakaz akadum hata mwaka mmoja
Huyo ujuwe alishindwa standard za Abdul. Ile kichwa ni aina nyingine kabisa, haina longo longo wala chuki na binaadam yeyote. Akikuona hujui kazi anakwambia baki hapa ufundishwe, akikuona unajua kazi anakwambia baki hapa ufundishe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]