Ajira za Uhasibu (Accountant), Store Keeper na Personal Assistant

Ajira za Uhasibu (Accountant), Store Keeper na Personal Assistant

Ni kwel mafegi yalinikwaza sanaa
Ila sio official office kama anavyotangaza hapa hata kama atakuajiri inawezekana ikawa kakuajiri kama housegirl ni sehemu ambayo hamna mfumo wowote ... Hapo anapokuambia mnafanya orietation week hapo ndo anapokufukuza kwani
1. Jamaa ni mjuaji balaa kila kitu anajua halafu halafu apo yy sio kila kitu kuna mfadhil msomali mwenziwe yupo njee yy ndo ana support
2. Mshikaj ana Gubu balaa kias kwamba mkipishana kidogo anakutoa
Halafu anavyoongea kama na fustrustion hiv
Sidhani kama ashajiri mfanyakaz akadum hata mwaka mmoja
Umeeleweka mkuu, asante kwa ufafanuzi.
 
Sisi hatulipi kwa kuwa tu anaitwa mhasibu, tunalipa kwa uwezo wa kazi yako, nidhamu yako ya kazi, ujuzi na ueledi wako wa kutatua changamoto za kazini, miiko ya kazi yako, ubunifu wa kazi zako"performance-based not title based", the better earnings for the better performers, the poor earnings for the poor performers.
Hey Abdul, hapo umeshamwacha kweye mataa huyo poyoyo. Haelewi hata maana ya "performance" ni ini.
 
Hujaandika hiyo ni kampuni au kiwanda gani? Hujaweka address yenu yaani ni namba ya whatsapp tu watu watumie kuombea kazi.... Mbona kama kuna harufu ya utapeli mkubwa hapa
Labda husomi izuri tu au ukisemacho hukielewi au ukisomacho hukipendi., ameandika mara chungu nzima rudia post za ke vizzuri. Hajaanza kuandika au kuandikwa habari zake humu JF leo wala jana. Yeye tunamsoma humu, mkewe " Bi Mrembo" tunamsoma humu na "udongo" wao wa tiba uliowasaidia na unaendelea kuwasaidia watu wengi sana.

Roho tu zinawauma, mzee wa Madrassatul Abraar anafanya mambo yake kitaalam.

Nimjuayo huyo ni mtu asiyekuwa na longo longo, ni ndio au hapana. Kama hujamuelewa utamuelewa tu na ukienda na porojo anakupa live, hakucheleweshi.

Badala ya kuuliza 3rd party, kwanini kama una lako humuulizi mwenyewe direct?

Au ni ndio wale wale? wa shule za kusomea ujinga?
 
Labda husomi izuri tu au ukisemacho hukielewi au ukisomacho hukipendi., ameandika mara chungu nzima rudia post za ke vizzuri. Hajaanza kuandika au kuandikwa habari zake humu JF leo wala jana. Yeye tunamsoma humu, mkewe " Bi Mrembo" tunamsoma humu na "udongo" wao wa tiba uliowasaidia na unaendelea kuwasaidia watu wengi sana.

Roho tu zinawauma, mzee wa Madrassatul Abraar anafanya mambo yake kitaalam.

Nimjuayo huyo ni mtu asiyekuwa na longo longo, ni ndio au hapana. Kama hujamuelewa utamuelewa tu na ukienda na porojo anakupa live, hakucheleweshi.

Badala ya kuuliza 3rd party, kwanini kama una lako humuulizi mwenyewe direct?

Au ni ndio wale wale? wa shule za kusomea ujinga?
Itoshe tu kusema umeandika upumbavu
 
Duh..ila mkuu,unaonekana una majivuno sana, nisamehe kama ntakua nimekukwaza kwa kukuambia ukweli.
Ukweli upi uliomwambia?Anakuona poyoyo, kila unachosema anakujibu "upo sahihi". Jifikirie.

Unaelewa maana yake?
 
Uzur mkuu mimi sisemi uongoo naongea nilichokiona " Kwa mtizamo wangu ww ni Msomali "KANJANJA"
Hata kuandika vizuri huelewi. Nnavyomjua Abdul, wewe hata kuwa "house boy" wake hakubali. Wewe labda, kwa nimjuavyo, ukawe mwanafunzi wa wanafunzi wake, tena wale wa kiwango cha chini.
 
Ni kwel mafegi yalinikwaza sanaa
Ila sio official office kama anavyotangaza hapa hata kama atakuajiri inawezekana ikawa kakuajiri kama housegirl ni sehemu ambayo hamna mfumo wowote ... Hapo anapokuambia mnafanya orietation week hapo ndo anapokufukuza kwani
1. Jamaa ni mjuaji balaa kila kitu anajua halafu halafu apo yy sio kila kitu kuna mfadhil msomali mwenziwe yupo njee yy ndo ana support
2. Mshikaj ana Gubu balaa kias kwamba mkipishana kidogo anakutoa
Halafu anavyoongea kama na fustrustion hiv
Sidhani kama ashajiri mfanyakaz akadum hata mwaka mmoja
Alikuvutisha?

Duniani watu ndio kwanza wanaruhusu bangi, wewe eti "mafegi" yake yalikukwaza.

Ukwazike wewe, anaevuta yeye halafu umlaumu yeye? Hujioni kuwa u poyoyo? Labda ungesema alikulazimisha uvute fegi. Lakini, hola.

Waambie serikali basi wasiuze na wasitishe kilimo cha tumbaku. Abdul anachoma mafegi yake kwa raha zake, wewe yanakuhusu nini?

Halafu hilo la kusema "mkipishana Kidogo basi anakutoa". Hilo ni uongo mkubwa usio na mfano. Hivi wewe haswaa, una nini cha "kupishana" na Abdul? Mwenyewe kila siku anasema yeye anawapenda zaidi wasiojua ili apate kuwafundisha kwa vitendo na anawapenda wanaojuwa ili wafundishe wengine. Sijawahi kusikia mtu kapishana nae, labda uwe umeshakaa kwake zaidi ya miezi sita halafu uwasaliti wanafunzi wake. Hapo atakuambia "straight forward" kwaheri. Lakini hiyo ya kwenda tu mara moja au mbili, atakupa ukweli tu, ambao kama huupendi ukweli, mwenyewe utatafuta pakutokea.

Wadanganye wasiomjuwa.

Tena wewe labda ulienda hujamkuta katoka kula, maana akitoka kula tu, utamkuta na cigar na black cofee yake, sio "mafegi", anaipuliza taratiiibu kama Fidel Castro, huku anamezea na kahawa yake. Tena ukimshangaa anakwambia" usishangae, ukija usiku utanikuta napiga Nduum". Utajaza mwenyewe.



Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ujuwe alishindwa standard za Abdul. Ile kichwa ni aina nyingine kabisa, haina longo longo wala chuki na binaadam yeyote. Akikuona hujui kazi anakwambia baki hapa ufundishwe, akikuona unajua kazi anakwambia baki hapa ufundishe.

Ukiwa huna kazi, hata kama kazi uitakayo hana kwake, akijua umechoka huna kitu, unapiga misele tafuta kazi, basi anakupa kazi yoyote ili pressure zikupungukie mpaka utapopata kazi. Yule ni mtu wa ajabu sana, sijapata kuona mfano wake. Ukienda kwenye site yake utakuta kina mama, kina dada, wazee, vijana, wengi wao ni wale ambao wameshakata tamaa ya maisha na hawana pa kuelekea.

Yaani, sijaona mwengine Tanzania anayoyafanya yule mzee, ni mtu anaetoa sadaka bila hata wewe anaekupa sadaka kujuwa kuwa unapewa sadaka.

Allah amzidishie Abdul Ghafur na mkewe maisha marefu, ni faraja kunbwa kuwa na watu kama wale duniani.
 
Back
Top Bottom