Akili gani hii mtu ananunua costa milion 100 kwa ajili ya kupewa laki 1 kwa siku

Vipi ikipiga mzinga
 
ChiefGodlove,ChristopherPaul15,
Football,bora uje na hizo ID zako tu ili uendeleze matusi kuwatukana watu na kujifanya wewe ni tajiri,

Kwa akili hizo,wewe huwezi kufanya hata biashara ya Genge kuuza Nazi.
Unacosta ngapi mkuu mbona hasira 🤣🤣🤣🤣🤣
 
mipango ya Mungu. ambayo kwenye biashara huwa hatuwazi haya.
Sawa mkuu unaonaje hiyo milion 100 nikaibetia nikampa man u wanifanyie kazi yangu Mimi nikiwa nimekaa sebuleni kwenye kochi Ili ikiliwa iwe mipango ya mungu
 
Kama unanunua gari ili uuze sio bora ukafanya biashara ya kununua na kuuza magari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…