Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanawazaje kufa aseeePole sana, weka weka kambi humu upunguze stress
Pole sana kwa changamoto zote unazopitia lakini naomba uchukue muda na utafakari jinsi uhai ulivyokua ni zawadi kutoka kwa Mungu na pia jiulize je mama yako atafurahi huko akiona unawaza mambo ya kufa, jitahidi kujichanganya na watu avoid kutumia muda mwingi peke ako na jaribu kujiweka busy na kazi au kitu chochote usiwe idle
NakaziaBinadamu yeyote yule lazima uelewe kifo kipo na kufa kupo.
Whether you like it or not. Death is a Must for everyone and you can't control nature, Thats the way it is.
Forget the past.Wewe sio wa kwanza kufiwa na mama.
Kuna watu wana shida zaidi yako na wanakaza.
Stress ni nyingi K....aache mawazo aje achati na sisi watoto wazuri wa jf😁Watu wanawazaje kufa aseee
Mmmmh kumne na ww ni pisi kali mambo dear 😊😊😊😊☺️☺️☺️Stress ni nyingi K....aache mawazo aje achati na sisi watoto wazuri wa jf😁
.Mi binafsi hali kama iyo umekua ikinisumbua sana j4 nikifikia mungu mkubwa
Madeni na mikopo ya kausha damuWatu wanawazaje kufa aseee
Hili nalo nenoPesa pesa kama haikupi furaha basi tafuta wenye uhitaji wasaidie wakifurahi basi nawe utapata furaha trust me, safiri enjoy nawatu wapya jichanganye kwa watu wa hali ya chini,
Kitoto kidogo dogo kizuri kibichi kabisa 🤣 ukiniomba picha tu umenipotezaMmmmh kumne na ww ni pisi kali mambo dear 😊😊😊😊☺️☺️☺️
Stress ni nyingi K....aache mawazo aje achati na sisi watoto wazuri wa jf😁
Umeona eee tupo busy JF tuna relaaaaax..tuna ups and downs kibaoo..yeye anasema ana hela ila sisi wengine tuna daiwa vikoba.. tunadaiwa bank... saccos..etc ila wala hatuwazi kufa... 😆 😆 😆Stress ni nyingi K....aache mawazo aje achati na sisi watoto wazuri wa jf😁
Tunawaza mbinu mpya za kukimbia madeni🤣🤣🤣Umeona eee tupo busy JF tuna relaaaaax..tuna ups and downs kibaoo..yeye anasema ana hela ila sisi wengine tuna daiwa vikoba.. tunadaiwa bank... saccos..etc ila wala hatuwazi kufa... 😆 😆 😆