Akili yangu inawaza kufa kufa tu, nafikiri nina siku chache kwenye hii dunia

Akili yangu inawaza kufa kufa tu, nafikiri nina siku chache kwenye hii dunia

Mkuu pole sana kwa unayopitia ungetushirikisha japo kidogo tu ili upate ushauri wa watu wengi

Ebu acha mawazo mabaya jichanganye na watu wa karibu

Naamini una shida ingine ambayo huwezi kusema, Mungu akusaidie
 
Nimekuja kuamini pesa sio kila kitu kabisa kwenye haya maisha jamani nahisi kukata tamaa ya kuishi althrough i have money japo si nyingi ila inaniwezesha kupata chochote kile gari, nyumba nzuri na vitu vyote ambavyo mwanadamu ana wish kuvipata lakini roho ya kukata tamaa ya kuishi inaninyemelea

After death of lovely mother 2017 nikiwa kijana sana mdogo sijakaa sawa, post traumatic stress kwangu ni shida nakosa mtu wa kumuambia what my heart feel about only mother alikuwa mtu pekee aambaye nilikuwa naweza kumuambia kitu chochote kile

Jamii forum member mkiona kimya wala mshishangae napitia changamoto kubwa mno( post traumatic stress)/inaniadhiri mno japo nina pesa ya kufanyia au kupata chochote ila nakosa peace of mind najikiluta

" bye bye"
Kijana tafuta mwanamke akutoe stress pata na watoto. Wewe ushakua mama ashaenda jenga familia yako na wao waje wakulilie siku moja.

Hapo unamlilia mke wa baba ako. Tafuta na wewe mke wako watoto wako waje wamlilie.
 
Nimekuja kuamini pesa sio kila kitu kabisa kwenye haya maisha jamani nahisi kukata tamaa ya kuishi althrough i have money japo si nyingi ila inaniwezesha kupata chochote kile gari, nyumba nzuri na vitu vyote ambavyo mwanadamu ana wish kuvipata lakini roho ya kukata tamaa ya kuishi inaninyemelea

After death of lovely mother 2017 nikiwa kijana sana mdogo sijakaa sawa, post traumatic stress kwangu ni shida nakosa mtu wa kumuambia what my heart feel about only mother alikuwa mtu pekee aambaye nilikuwa naweza kumuambia kitu chochote kile

Jamii forum member mkiona kimya wala mshishangae napitia changamoto kubwa mno( post traumatic stress)/inaniadhiri mno japo nina pesa ya kufanyia au kupata chochote ila nakosa peace of mind najikiluta

" bye bye"
Mkuu Phobia wewe ni wa thamani sana mbele za Mungu. Usijiwazie mabaya pitia huu uzi wangu nadhani utakisaidia na chini ya huu uzi utaziona na thread zingine zitakusaidia na kukupa hamasa na tumaini jipya
 
Umeamua kuacha ugali,,,kitimoto,,beer na watoto wazuri wa kike wenye mikia yao??huo ni Utovu wa nidhamu Kaka,,,,kauze hata figo moja kabla hujafariki umsaidie mwenye uhitaji ili apate kuishi utabarikiwa mnoo!!
 
Tafuta mwenza akupe kampani,
Hayo madhara ya kuwa singo
 
Kwanini umejiita Phobia?
Ni kama unafurahia jinsi ulivyo nisamehe kama nitakukwaza.
Halafu umeshajua tatizo ni nini unapaswa kukubali kwamba mama hayupo tena.. Kuna watu wema sana hapa duniani ukiishi vizuri na watu hutakosa wa kumwambia mambo yako.
Tambua ya kwamba kifo kipo tu...jifunze kukubaliana na hali.
Pole ndugu.
 
Nimekuja kuamini pesa sio kila kitu kabisa kwenye haya maisha jamani nahisi kukata tamaa ya kuishi althrough i have money japo si nyingi ila inaniwezesha kupata chochote kile gari, nyumba nzuri na vitu vyote ambavyo mwanadamu ana wish kuvipata lakini roho ya kukata tamaa ya kuishi inaninyemelea

After death of lovely mother 2017 nikiwa kijana sana mdogo sijakaa sawa, post traumatic stress kwangu ni shida nakosa mtu wa kumuambia what my heart feel about only mother alikuwa mtu pekee aambaye nilikuwa naweza kumuambia kitu chochote kile

Jamii forum member mkiona kimya wala mshishangae napitia changamoto kubwa mno( post traumatic stress)/inaniadhiri mno japo nina pesa ya kufanyia au kupata chochote ila nakosa peace of mind najikiluta

" bye bye"
SOMA KITABU KINAITWA THE POWER OF SUBCONDCIOUS MIND naamin utapata utulivu wa akili.
 
sema ukwel tu kinacho kusumbua, mwanaume akiwa na pesa mara nyingi kitakacho msumbua ni mapenzi au umeachwa😂😂😂 ukajua kumbe mapenzi sio pesa ndo ivo jamaa kaboba kakuibia jimbo na hana kiti😂😂
 
Nimekuja kuamini pesa sio kila kitu kabisa kwenye haya maisha jamani nahisi kukata tamaa ya kuishi althrough i have money japo si nyingi ila inaniwezesha kupata chochote kile gari, nyumba nzuri na vitu vyote ambavyo mwanadamu ana wish kuvipata lakini roho ya kukata tamaa ya kuishi inaninyemelea

After death of lovely mother 2017 nikiwa kijana sana mdogo sijakaa sawa, post traumatic stress kwangu ni shida nakosa mtu wa kumuambia what my heart feel about only mother alikuwa mtu pekee aambaye nilikuwa naweza kumuambia kitu chochote kile

Jamii forum member mkiona kimya wala mshishangae napitia changamoto kubwa mno( post traumatic stress)/inaniadhiri mno japo nina pesa ya kufanyia au kupata chochote ila nakosa peace of mind najikiluta

" bye bye"
Mwambie Hudson na Elizabeth wa Uingereza ulikokwenda mapumziko wakufariji lakini pia si ulioa demu wa Kisukuma Mnyamtuzu? Vipi yule demu wako ulimkuta home anamegwa na Mbena taka? Vipi kuhusu maisha ya ughaibuni?


Wewe jamaa ni muongo na unatatizo la kisaikolojia muone Dr wa Saikolojia, mathead yako ni ya uongo uwongo tu.
 
Back
Top Bottom