Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina enda sana churchAisee , serious?
You need Jesus, hizo spirit zinawasumbua.
Km ni mkristo,pls nenda church yenye deliverence
Mkuu pole sana kwa unayopitia ungetushirikisha japo kidogo tu ili upate ushauri wa watu wengi
Ebu acha mawazo mabaya jichanganye na watu wa karibu
Kijana tafuta mwanamke akutoe stress pata na watoto. Wewe ushakua mama ashaenda jenga familia yako na wao waje wakulilie siku moja.Nimekuja kuamini pesa sio kila kitu kabisa kwenye haya maisha jamani nahisi kukata tamaa ya kuishi althrough i have money japo si nyingi ila inaniwezesha kupata chochote kile gari, nyumba nzuri na vitu vyote ambavyo mwanadamu ana wish kuvipata lakini roho ya kukata tamaa ya kuishi inaninyemelea
After death of lovely mother 2017 nikiwa kijana sana mdogo sijakaa sawa, post traumatic stress kwangu ni shida nakosa mtu wa kumuambia what my heart feel about only mother alikuwa mtu pekee aambaye nilikuwa naweza kumuambia kitu chochote kile
Jamii forum member mkiona kimya wala mshishangae napitia changamoto kubwa mno( post traumatic stress)/inaniadhiri mno japo nina pesa ya kufanyia au kupata chochote ila nakosa peace of mind najikiluta
" bye bye"
Namimi naomba iyo nambaNikupatie namba ya mtaalamu wa therapy umuelezee akusaiidie?
Mkuu Phobia wewe ni wa thamani sana mbele za Mungu. Usijiwazie mabaya pitia huu uzi wangu nadhani utakisaidia na chini ya huu uzi utaziona na thread zingine zitakusaidia na kukupa hamasa na tumaini jipyaNimekuja kuamini pesa sio kila kitu kabisa kwenye haya maisha jamani nahisi kukata tamaa ya kuishi althrough i have money japo si nyingi ila inaniwezesha kupata chochote kile gari, nyumba nzuri na vitu vyote ambavyo mwanadamu ana wish kuvipata lakini roho ya kukata tamaa ya kuishi inaninyemelea
After death of lovely mother 2017 nikiwa kijana sana mdogo sijakaa sawa, post traumatic stress kwangu ni shida nakosa mtu wa kumuambia what my heart feel about only mother alikuwa mtu pekee aambaye nilikuwa naweza kumuambia kitu chochote kile
Jamii forum member mkiona kimya wala mshishangae napitia changamoto kubwa mno( post traumatic stress)/inaniadhiri mno japo nina pesa ya kufanyia au kupata chochote ila nakosa peace of mind najikiluta
" bye bye"
🙃🙃🙃🙃 Mmmh mbona kuna ukakasi hapo 😁😁😁😁😁😁😁😁 kwann picha ntakuwa nimekupoteza mkuuu 🤔Kitoto kidogo dogo kizuri kibichi kabisa 🤣 ukiniomba picha tu umenipoteza
SOMA KITABU KINAITWA THE POWER OF SUBCONDCIOUS MIND naamin utapata utulivu wa akili.Nimekuja kuamini pesa sio kila kitu kabisa kwenye haya maisha jamani nahisi kukata tamaa ya kuishi althrough i have money japo si nyingi ila inaniwezesha kupata chochote kile gari, nyumba nzuri na vitu vyote ambavyo mwanadamu ana wish kuvipata lakini roho ya kukata tamaa ya kuishi inaninyemelea
After death of lovely mother 2017 nikiwa kijana sana mdogo sijakaa sawa, post traumatic stress kwangu ni shida nakosa mtu wa kumuambia what my heart feel about only mother alikuwa mtu pekee aambaye nilikuwa naweza kumuambia kitu chochote kile
Jamii forum member mkiona kimya wala mshishangae napitia changamoto kubwa mno( post traumatic stress)/inaniadhiri mno japo nina pesa ya kufanyia au kupata chochote ila nakosa peace of mind najikiluta
" bye bye"
Hayo sio maradhi za kuwa single...ni magonjwa ya akiliTafuta mwenza akupe kampani,
Hayo madhara ya kuwa singo
Mwambie Hudson na Elizabeth wa Uingereza ulikokwenda mapumziko wakufariji lakini pia si ulioa demu wa Kisukuma Mnyamtuzu? Vipi yule demu wako ulimkuta home anamegwa na Mbena taka? Vipi kuhusu maisha ya ughaibuni?Nimekuja kuamini pesa sio kila kitu kabisa kwenye haya maisha jamani nahisi kukata tamaa ya kuishi althrough i have money japo si nyingi ila inaniwezesha kupata chochote kile gari, nyumba nzuri na vitu vyote ambavyo mwanadamu ana wish kuvipata lakini roho ya kukata tamaa ya kuishi inaninyemelea
After death of lovely mother 2017 nikiwa kijana sana mdogo sijakaa sawa, post traumatic stress kwangu ni shida nakosa mtu wa kumuambia what my heart feel about only mother alikuwa mtu pekee aambaye nilikuwa naweza kumuambia kitu chochote kile
Jamii forum member mkiona kimya wala mshishangae napitia changamoto kubwa mno( post traumatic stress)/inaniadhiri mno japo nina pesa ya kufanyia au kupata chochote ila nakosa peace of mind najikiluta
" bye bye"
nenda hospital au nunua pes 😂Hayo sio maradhi za kuwa single...ni magonjwa ya akili