Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
Kabisa mkuu hta kumtakia resting in peace ni dhambi huyu ni kumtakia makazi ya milele motoninikiwa kama katibu wa watoa pole nchini nimeshangazwa sana na hoja zako
R.I.P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuu hta kumtakia resting in peace ni dhambi huyu ni kumtakia makazi ya milele motoninikiwa kama katibu wa watoa pole nchini nimeshangazwa sana na hoja zako
R.I.P
😆 😆 😆 😆 nimecheka kifwalaaaTunawaza mbinu mpya za kukimbia madeni🤣🤣🤣
kuna watu wanapita mapito ya kutisha mno......Hayo mawazo yenu siku hizi sio sifa mjuee...mnakimbilia wapi? Majukumu yenu mnamwachia nani? Hujamaliza kazi zako hapa duniani unalazimisha kwenda ukikataliwa huko urudishwe duniani kama kuku utamlaumu nani?.
AiseeNimekuja kuamini pesa sio kila kitu kabisa kwenye haya maisha jamani nahisi kukata tamaa ya kuishi althrough i have money japo si nyingi ila inaniwezesha kupata chochote kile gari, nyumba nzuri na vitu vyote ambavyo mwanadamu ana wish kuvipata lakini roho ya kukata tamaa ya kuishi inaninyemelea
After death of lovely mother 2017 nikiwa kijana sana mdogo sijakaa sawa, post traumatic stress kwangu ni shida nakosa mtu wa kumuambia what my heart feel about only mother alikuwa mtu pekee aambaye nilikuwa naweza kumuambia kitu chochote kile
Jamii forum member mkiona kimya wala mshishangae napitia changamoto kubwa mno( post traumatic stress)/inaniadhiri mno japo nina pesa ya kufanyia au kupata chochote ila nakosa peace of mind najikiluta
" bye bye"
Kipenzi tararibu basi ukiongea mambo ya kudaiwa vikoba na bank unanikumbusha kwamba nina madeni nikiingia jf nasahau kabisa kama nina madeni nikitoka hapa yanaanza upya [emoji1787]Umeona eee tupo busy JF tuna relaaaaax..tuna ups and downs kibaoo..yeye anasema ana hela ila sisi wengine tuna daiwa vikoba.. tunadaiwa bank... saccos..etc ila wala hatuwazi kufa... [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Pole sana kwa changamoto, uhai ni zawadi na si zawadi yako tu ni kwaajili ya wengine pia. Kuwa na matumaini zaidi kuliko kukata tamaa. Mwaka juzi nimepoteza Mama na Baba ndani ya wiki mbili, nashukuru MUNGU ametushika mimi na ndugu zangu na maisha yanaendelea.Nimekuja kuamini pesa sio kila kitu kabisa kwenye haya maisha jamani nahisi kukata tamaa ya kuishi althrough i have money japo si nyingi ila inaniwezesha kupata chochote kile gari, nyumba nzuri na vitu vyote ambavyo mwanadamu ana wish kuvipata lakini roho ya kukata tamaa ya kuishi inaninyemelea
After death of lovely mother 2017 nikiwa kijana sana mdogo sijakaa sawa, post traumatic stress kwangu ni shida nakosa mtu wa kumuambia what my heart feel about only mother alikuwa mtu pekee aambaye nilikuwa naweza kumuambia kitu chochote kile
Jamii forum member mkiona kimya wala mshishangae napitia changamoto kubwa mno( post traumatic stress)/inaniadhiri mno japo nina pesa ya kufanyia au kupata chochote ila nakosa peace of mind najikiluta
" bye bye"
Pole sana, wewe ni Ke/Me? Baba yako yupo Hai? Kama yupo hai je mna mahusiano mazuri? Samahani kwa kukuuliza yote hayo sababu kama Baba yako yupo hai basi hutakiwi kuwa na hali hiyo labda tu kama mahusiano yenu si mazuri, na kama si mazuri hakikisha unayaweka sawa. Asante.Nimekuja kuamini pesa sio kila kitu kabisa kwenye haya maisha jamani nahisi kukata tamaa ya kuishi althrough i have money japo si nyingi ila inaniwezesha kupata chochote kile gari, nyumba nzuri na vitu vyote ambavyo mwanadamu ana wish kuvipata lakini roho ya kukata tamaa ya kuishi inaninyemelea
After death of lovely mother 2017 nikiwa kijana sana mdogo sijakaa sawa, post traumatic stress kwangu ni shida nakosa mtu wa kumuambia what my heart feel about only mother alikuwa mtu pekee aambaye nilikuwa naweza kumuambia kitu chochote kile
Jamii forum member mkiona kimya wala mshishangae napitia changamoto kubwa mno( post traumatic stress)/inaniadhiri mno japo nina pesa ya kufanyia au kupata chochote ila nakosa peace of mind najikiluta
" bye bye"
Dear yani acha tuu...juzi kuna mtu ananidai anapiga simu balaaa nikamwambia nipo msibani nitakutumia nikitoka hapa ila hasikii alipigaaa mpk nikazima simu nikasema sasa unanikera na hela ninayo mimi sikutumii leo...Kipenzi tararibu basi ukiongea mambo ya kudaiwa vikoba na bank unanikumbusha kwamba nina madeni nikiingia jf nasahau kabisa kama nina madeni nikitoka hapa yanaanza upya [emoji1787]
Aisee , serious?Mi binafsi hali kama iyo umekua ikinisumbua sana j4 nikifikia mungu mkubwa
Drama Hakuna mtu anaeweza kukusaidia unapokuwa kwenye hiyo hali; you need to change the way you think;and everything will changeNikupatie namba ya mtaalamu wa therapy umuelezee akusaiidie?
Hao wenyewe wanamatatizo ya akiliKuna jamaa mmoja alizungumza hivi wa iringa tukaja kupewa taarifa ameRIP,
Hudhuria hospitali kubwa uonane na wataalamu wa afya ya akili.
Hiyo post traumatic disorder/stress inatibika,ni kumpata sycologist,ikiwezekana tafuta hata hospitali zinazo wahuduma wanajeshi wale wanaoenda zile mission kama za darfur,wapo kwani wanayokutana nayo ni mara 100,000 pengine ya iliyokutana nayo wewe😂Nimekuja kuamini pesa sio kila kitu kabisa kwenye haya maisha jamani nahisi kukata tamaa ya kuishi althrough i have money japo si nyingi ila inaniwezesha kupata chochote kile gari, nyumba nzuri na vitu vyote ambavyo mwanadamu ana wish kuvipata lakini roho ya kukata tamaa ya kuishi inaninyemelea
After death of lovely mother 2017 nikiwa kijana sana mdogo sijakaa sawa, post traumatic stress kwangu ni shida nakosa mtu wa kumuambia what my heart feel about only mother alikuwa mtu pekee aambaye nilikuwa naweza kumuambia kitu chochote kile
Jamii forum member mkiona kimya wala mshishangae napitia changamoto kubwa mno( post traumatic stress)/inaniadhiri mno japo nina pesa ya kufanyia au kupata chochote ila nakosa peace of mind najikiluta
" bye bye"
Even though...hapaswi kuwaza kufa..labda atuelezee ni nini kikubwa sana hivyokuna watu wanapita mapito ya kutisha mno......
HA ha ha, umenikumbusha proffessor mmoja huwa anakuwa na mambo ya ajabu ajabu lkn anatibu.Hao wenyewe wanamatatizo ya akili