Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Hata mm ni mtaalam wa therapy counceler mbobevu kama unaweza ni pmNikupatie namba ya mtaalamu wa therapy umuelezee akusaiidie?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mm ni mtaalam wa therapy counceler mbobevu kama unaweza ni pmNikupatie namba ya mtaalamu wa therapy umuelezee akusaiidie?
Zero Kilometer au sio?Kitoto kidogo dogo kizuri kibichi kabisa 🤣 ukiniomba picha tu umenipoteza
Okay,ila isiwe kanisani tu ambako hakuna maombi .Nina enda sana church
Basi atakua kaachwa huyu ☺️Mwambie Hudson na Elizabeth wa Uingereza ulikokwenda mapumziko wakufariji lakini pia si ulioa demu wa Kisukuma Mnyamtuzu? Vipi yule demu wako ulimkuta home anamegwa na Mbena taka? Vipi kuhusu maisha ya ughaibuni?
Wewe jamaa ni muongo na unatatizo la kisaikolojia muone Dr wa Saikolojia, mathead yako ni ya uongo uwongo tu.
Hayo yote Pasipo Imani ni bure kabisaOkay,ila isiwe kanisani tu ambako hakuna maombi .
Inatakiwa uende ukaonane na mchungaji/mtumishi umweleze unachopitia Ili akusaidie, msicheze na roho za mauti, yaani Huwa inatafuta mlango wa kuhakikisha inatimiza ilichoamriwa!
Kwa kuanza,omba Toba...zaburi 51 yote, Tubu dhambi zako ,halafu kataa na kemea roho ya mauti....isaya 7:7,zab 33:10...malizia na zaburi 35 yote.
Do it kabla hujalala
Kesho njoo na mrejesho hapa
Mungu atamusaidiaHayo yote Pasipo Imani ni bure kabisa
NakaziaGet a Bible, read it,
Call on Jesus. Anakusikia.
Ukimruhusu Yesu aingie moyoni mwako, Amani,Upendo, furaha vitaingia ndani,
HOFU, hasira, kukata tamaa, chuki, na Kila aina ya dhambi vitatokomea kusikojulikana.
Amen
Mkuu....!!Niachie chaja yako ya simu nimekuwahi
Mungu hayupo hivyoMungu atamusaidia
KUFAMbona mimi nimekisoma...lakini bado nataka kufa tu
Huwa nawaoneaga huruma sana 😂Huyu Mwamba kaishi maisha ya kudekezwa sana na inaelekea alikuwa ni mtu wa kujitenga na watu na aliyekuwa anampa hicho kiburi hayupo tena. Akubali kujishusha na aanze kushirikiana na watu wanaomzunguka. The beauty of life grows through our personalities na sio kwenye materials stuffs. Nakuona sana kwenye threads za kuwapa watu faraja 😂😂😂😂
Sijui shida huwa inakuwa ni nini?Huwa nawaoneaga huruma sana 😂
Uhai ni zawadi na kama unajua kuna Mungu muumba wa vitu vyote ukiwemo wewe. Utaacha kuwaza huu ujinga. Sasa unataka kufa unapajua unakoenda ? Acha ujinga yawezekana unakoenda kuna shida kuliko hapa dunianiMbona mimi nimekisoma...lakini bado nataka kufa tu
Mungu akusamehe hujui unalolitenda.Mi wiki ijayo nakufa
🤣🤣 nacheka japo si pa kucheka..Uhai ni zawadi na kama unajua kuna Mungu muumba wa vitu vyote ukiwemo wewe. Utaacha kuwaza huu ujinga. Sasa unataka kufa unapajua unakoenda ? Acha ujinga yawezekana unakoenda kuna shida kuliko hapa duniani
Mithali 6:2 Fahamu nguvu ya maneno. Jamaa anajitabiria vibaya sanaMungu akusamehe hujui unalolitenda.
Jinsia ya tofauti inasaidia kuondoa stress, kwa kuongea tu, kabla hata hamja jadili tatizo.Akiwa wa jinsia yake itakuwaje??
Pole yake anayewaza kujiua huyo kuna watu tumepitia magumu na tukatengwa na watu wote mpaka Wazazi wetu lakini tuliamua kuwa na imani na kusimama na Mungu. Mpaka sasa nimekuwa imara na simuogopi wala kumnyenyekea mtu yeyote na heshima ipo. Maumivu yapo kwa ajili ya kutujenga na kutufanya kuwa imara.