Akiwa hajamaliza saa 24 tangu apewe uhamasishaji Simba SC, tayari Mwijaku ameanza 'kumchefua' Murtaza Mangungu

Akiwa hajamaliza saa 24 tangu apewe uhamasishaji Simba SC, tayari Mwijaku ameanza 'kumchefua' Murtaza Mangungu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ukiona akina GENTAMYCINE wanamkataa Mtu jua ya kwamba huwa hatukosei kwani wengine tumeshabarikiwa Maono ya Kifalsafa na Mwenyezi Mungu.

Wakati nikimkataa mapema tu Mhamasishaji Mkuu mpya wa Simba SC 'Samjo Samjo' Mwinjaku muda si mrefu Mwenyekiti wa Simba SC Murtaza Mangungu amekasirishwa na Kauli yake aliyonukuliwa akisema kuwa Simba SC isiposhinda Jumapili atavua Nguo zake zote.

Salim Abdallah Mhene ( Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC ), Barbara Gonzalez ( CEO Simba SC ) na Poti wangu kabisa kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) Kwetu Crecentius Magori ( Chief Advisor Simba SC ) kiukweli kwa Kumteua huyu 'Kirusi' Mwinjaku mmetukosea mno Wana Simba SC wote na tunawaomba Kwanza mtuombe Radhi na mumbadilishe upesi ndani ya Siku 3 hadi 7 zijazo kabla GENTAMYCINE 'Mizimu' yangu ya Kizanaki, Kimakuwa na Kitutsi haijanipanda na nikachafua Hali ya Hewa Klabuni na Mgogoro mkubwa kutokea na Simba SC yetu ifanye vibaya.

Kwangu Mimi wafuatao tena kwa Ushawishi wao mkubwa na Makubwa tena ya Kihistoria waliyoyafanya ndani ya Simba SC wangekuwa ndiyo Wahamasishaji wetu ningewapongeza na kuwaona mna Akili ambazo bahati mbaya kwa sasa hamna....

1. Dua Said

2. Boniface Pawassa

3. Ulimboka Mwakingwe

4. Jamhuri Kihwelo Julio

5. Mtangazaji Ibrahim Masoud Maestro

6. Mussa Hassan Mgosi

7. Mzee Mtemi Ramadhan

Upesi sana tuondoleeni mliyomteua jana vinginevyo tunaojua vyema Siri za ndani za Simba SC ( GENTAMYCINE ) nikijiamini kabisa nikiwa ni Mmoja wao nitawaanika na Kuwaacheni Uchi ( Watupu ) kabisa.

Acheni na Komeni kabisa 'Kutuhanithi' Wana Simba SC wote. Binafsi na hata Watu wa CMG mpaka Wasanii akina wa Maigizo akina Cheni, JB na Ray tunamjua tokea huko nyuma kuwa Mwinjaku ni Yanga SC lia lia halafu leo mnamkaribisha tena Sebuleni kabisa Klabuni Kwetu.

Nimeshawaonyeni mapema msilaumu.
 
Sio kila mtu atapendwa na kila mtu. Hata huyo Side unaemtaka anapewa hiyo nafasi basi mpuuzi yeyote naweza akaandika nyuzi hapa za kumkataa kuhisi zaidi kama vile yeye ndie nabii. Tumhukumu mtu accordingly na sio kuangalia mambo yake ya nyuma. Watu wote wanakasoro tofauti ni ile tu siri iliyofichika na ulivyo wazi. Mungu awe lazima basi mda wote.
 
Hicho cheo huwa wanapewa watu waropokaji...

Sasa hao umewataja hawana hizo sifa...
 
Sijui wamewaza nini kumweka Mwijaku hapo,kweli Simba imekosa mtu makini kiasi hicho Tanzania yote watuletee Mwijaku?. Kwanza Mwijaku kaanza kuwa Simba wakati Manara kaondoka ,Mwijaku hafai na hafahamu lolote kuhusu Simba au mpira wa Tanzania zaidi ya uchawa
 
Wakuyumba,Acha wivu tafuta pesa ,Acha wivu wa maisha nenda kamlaumu Baba yako huko.
 
Naaam!

Hapo kwa Jamhuri Kihwelo ni mtu sahihi sana kwa sababu pamoja na kuwa mchezaji wa zamani wa Simba, pia amewahi kuwa kocha na anajua sana kuhamasisha wachezaji na wapenzi wa soka.

Anamzidi sana yule mtalikiwa wa Uto
 
We jamaa bwege kweli! sometimes uwe unatumia akili yako sio kukopi ya redioni halafu unatuletea hapa. yote uliyoandika hapa umekopi kutoka sportsheadquater maoni ya wachambuzi.. halafu unapendekeza watu ambao hawaendani kabisa na kazi za uhamasishaji.

Na unafikiri uliowapedekeza ndo watapendwa na watu wote wa simba? acha mungu amemfungulia njia mwijaku huwezi kuzuia. sasahiv badili upepo anza kusakua maeneo mengine japo tunajua uliwekeza sana kuhakikisha nawewe wanakuteua Kwenye hii position lkn mungu hakupenda kampa mwijaku.
 
Naaam
Hapo kwa Jamhuri Kihwelo ni mtu sahihi sana kwa sababu pamoja na kuwa mchezaji wa zamani wa Simba, pia amewahi kuwa kocha na anajua sana kuhamasisha wachezaji na wapenzi wa soka.

Anamzidi sana yule mtalikiwa wa Uto
Na huyu Jamhuri Kihwelo Julio ndiyo naona anafaa na angetufaa zaidi kwani licha ya kuichezea Simba SC kwa Mafanikio makubwa lakini pia ni Mfia Timu na siyo Mnafiki wala Ndumilakuwili kama hiyo Takataka iliyoteuliwa Jana.
 
We jamaa bwege kweli! sometimes uwe unatumia akili yako sio kukopi ya redioni halafu unatuletea hapa. yote uliyoandika hapa umekopi kutoka sportsheadquater maoni ya wachambuzi.. halafu unapendekeza watu ambao hawaendani kabisa na kazi za uhamasishaji. na unafikiri uliowapedekeza ndo watapendwa na watu wote wa simba? acha mungu amemfungulia njia mwijaku huwezi kuzuia. sasahiv badili upepo anza kusakua maeneo mengine japo tunajua uliwekeza sana kuhakikisha nawewe wanakuteua Kwenye hii position lkn mungu hakupenda kampa mwijaku.
Unaenda Saa ngapi Kumpanulia huyo?
 
Unaenda Saa ngapi Kumpanulia huyo?
mchovu wewe huna hoja. wivu tu umewajaa!! mwacheni mwijaku afanye kazi yake then wanasimba tutamsapot. mara ngapi manara kaongea la mnivue nguo lkn hamku-react. yaani mmekaa kutafuta makosa akosee ndo mpate pa kusemea. mnafiki wewe
 
Tanzania ndio nchi pekee ambayo kitu mtu anajifanya ni mjuaji na anajua kulaumu wengine. ...
 
Unaenda Saa ngapi Kumpanulia huyo?
Acha kimbelembele kwenye mambo ya Simba ,Anzisha timu yako uwaajiri hao unaowataka wewe,unataka mawazo yako tu ndio yawe sahihi wewe kama nani Simba???? Simba sc Tanzania sio kampuni ya ukoo wenu.
 
Back
Top Bottom