Mwijaku kawekwa pale kimkakati
Manara akiachiwa uhuru anatamba sana na mbaya zaidi anawatukana watu personal
So kwa kuwa ndio soka letu lilivo bora akae huyo huyo mwijaku ili waende sawa maana ata kipindi kile muro yupo yanga alikua anamzidia manara ichoicho
Akimtukana Mo au Barbara Jamaa aruke nae juu kwa juu maana sai Haji ni kama anatamba sana anavotaka kama vile nchi zima yeye ndo anamdomo kuliko wote
Kwa sababu hiyo basi uongozi umuache huyo huyo mwijaku apambane na watu kama haji wanaojisikia mud wowote kudhalilisha viongozi wa team
Sent from my VFD 300 using
JamiiForums mobile app