Akiwa hajamaliza saa 24 tangu apewe uhamasishaji Simba SC, tayari Mwijaku ameanza 'kumchefua' Murtaza Mangungu

Akiwa hajamaliza saa 24 tangu apewe uhamasishaji Simba SC, tayari Mwijaku ameanza 'kumchefua' Murtaza Mangungu

Mhamasishaji ambye ana fit nafasi ya Manara Simba Sc. ni yule wa Ruvu shooting pekee, wenhine wote hawana level za Manara! Tukubali Simba Sc. tumepoteza bonge la mhamasishaji
 
Mhamasishaji ambye ana fit nafasi ya Manara Simba Sc. ni yule wa Ruvu shooting pekee, wenhine wote hawana level za Manara! Tukubali Simba Sc. tumepoteza bonge la mhamasishaji
acha ujinga wewe, Bwire ni afisa habari, tumepoteza bonge la limbukeni linalopenda kusutana kama mwanamke juzi limepigwa dongo la ndoa na mwijaku hadi leo kimya amjibu sasa wakimaliza hapo waanze kutuhadithia vijiko ndani ya nyumba zao viko vingapi, na dr kumbuka yuko benchi anapasha hii ligi ya wambeya inamfaa sana lopolopo, afisa habari atakuja Gift macha
 
mwijaku anakazi maalumu simba..... sio uhamasishaji tu
 
Tabia ya kufuata mkumbo na mikumbo ni hovyo sana Kwani hiyo nafasi ya Mhamsishaji Mkuu ndio kitu gani na wa nini? Simba wanataka kutuaminisha kuwa mafanikio yao CAF yanategenea Mhamasishaji? Mbona awali hawakuwa na hiyo nafasi? Watafute msemaji sio mropokaji au mhamasishaji.

Vv
 
Ukiona akina GENTAMYCINE wanamkataa Mtu jua ya kwamba huwa hatukosei kwani wengine tumeshabarikiwa Maono ya Kifalsafa na Mwenyezi Mungu.

Wakati nikimkataa mapema tu Mhamasishaji Mkuu mpya wa Simba SC 'Samjo Samjo' Mwinjaku muda si mrefu Mwenyekiti wa Simba SC Murtaza Mangungu amekasirishwa na Kauli yake aliyonukuliwa akisema kuwa Simba SC isiposhinda Jumapili atavua Nguo zake zote.

Salim Abdallah Mhene ( Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC ), Barbara Gonzalez ( CEO Simba SC ) na Poti wangu kabisa kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) Kwetu Crecentius Magori ( Chief Advisor Simba SC ) kiukweli kwa Kumteua huyu 'Kirusi' Mwinjaku mmetukosea mno Wana Simba SC wote na tunawaomba Kwanza mtuombe Radhi na mumbadilishe upesi ndani ya Siku 3 hadi 7 zijazo kabla GENTAMYCINE 'Mizimu' yangu ya Kizanaki, Kimakuwa na Kitutsi haijanipanda na nikachafua Hali ya Hewa Klabuni na Mgogoro mkubwa kutokea na Simba SC yetu ifanye vibaya.

Kwangu Mimi wafuatao tena kwa Ushawishi wao mkubwa na Makubwa tena ya Kihistoria waliyoyafanya ndani ya Simba SC wangekuwa ndiyo Wahamasishaji wetu ningewapongeza na kuwaona mna Akili ambazo bahati mbaya kwa sasa hamna....

1. Dua Said

2. Boniface Pawassa

3. Ulimboka Mwakingwe

4. Jamhuri Kihwelo Julio

5. Mtangazaji Ibrahim Masoud Maestro

6. Mussa Hassan Mgosi

7. Mzee Mtemi Ramadhan

Upesi sana tuondoleeni mliyomteua jana vinginevyo tunaojua vyema Siri za ndani za Simba SC ( GENTAMYCINE ) nikijiamini kabisa nikiwa ni Mmoja wao nitawaanika na Kuwaacheni Uchi ( Watupu ) kabisa.

Acheni na Komeni kabisa 'Kutuhanithi' Wana Simba SC wote. Binafsi na hata Watu wa CMG mpaka Wasanii akina wa Maigizo akina Cheni, JB na Ray tunamjua tokea huko nyuma kuwa Mwinjaku ni Yanga SC lia lia halafu leo mnamkaribisha tena Sebuleni kabisa Klabuni Kwetu.

Nimeshawaonyeni mapema msilaumu.
Mi nashangaa mtu ambae anarekodi movie za X leo anaruhusiwa kuwa mhamasishaji wa Simba!!
 
Kwa hiyo Simba kuna madudu ya viongozi ila unakubali yaemdelee kudumu kisa tu huwataki K MZIWANDA na Mwijaku huu sasa ni ujinga brother na tena umeonesha ni kwa namna gani wewe si mzalendo ,mtu timamu atasema mabaya ili mageuzi yafanyike sio kuwaomba wale anaoona wanakosea wafanye jambo fulani kuuridhisha tu moyo wake ila uchafu uendelee ,

UNAJISHUSHA MNO

Mimi nimewakubali so nashangaa unaposema mashabiki wote wa Simba hawajafurahishwa K Mziwanda na Mwijaku kuwa wahamasishaji.
Tickets 15,000 zilifanikiwa zote kuuzwa?
 
Dua Said , Pawassa Na Mgosi wote mashabiki wa Yanga Lia Lia.

Dua Said tupo nae group ofmoja la WhatsApp la tawi la Yanga yeye ndo admin
 
Wewe jamaa kumbe kichwa boga hivi? Hiyo tabia ya kuzilazimisha fikra zako hafifu zikubaliwe na kila mtu umeitoa wapi? Mwanamme mzima unakomalia petty issue kama hiyo. Hebu eleza mchango wa Mwijaku katika kipigo cha leo ndio tukuelewe. Vinginevyo ni uendelezo wa ubwatukaji wako usio na mantiki. Sasa hivi umeacha ID yako ya Mightier na kurudia ya Gentamycine ili uendelee kutukana watu wasiokubaliana na vihoja vyako dhaifu. Acha!!!
 
Dua Said , Pawassa Na Mgosi wote mashabiki wa Yanga Lia Lia.

Dua Said tupo nae group ofmoja la WhatsApp la tawi la Yanga yeye ndo admin
Huwa nashindwa kuwaelewa kama huna hata upeo wa kujuwa kwamba Simba na Yanga mmiliki wake ni mmoja.
 
Julio anafaa kuwa kocha wa Simba na siyo mhamasishaji.

Julio ni kama Maximo makocha wahamasishaji au kama alivyokuwa marehemu Diego Maradona.
Kwenda huko huna Akili kwani akiwa Mhamasishaji Mkuu wa Timu kuna tatizo gani? Mbona Charles Boniface Mkwasa ni Kocha Mkubwa tu Tanzania ila ameshawahi kuwa Katibu Mkuu wa Yanga SC na hakukuwa na tatizo lolote?
 
Huwa nashindwa kuwaelewa kama huna hata upeo wa kujuwa kwamba Simba na Yanga mmiliki wake ni mmoja.
Angalia unavyozidi tu Kujianika Kwetu jinsi ulivyo 'Damn Fool' na kumbe huwa ninavyokudharau 24/7 hapa JamiiiForums huwa sikosei.

Eti Simba na Yanga Mmiliki ni Mmoja.
 
Back
Top Bottom