daa! mkuu huyu jamaa gendamycyne sijui..anajifanya anaijua simba kuliko mtu yoyote yule! hadi anaboa.Acha kimbelembele kwenye mambo ya Simba ,Anzisha timu yako uwaajiri hao unaowataka wewe,unataka mawazo yako tu ndio yawe sahihi wewe kama nani Simba???? Simba sc Tanzania sio kampuni ya ukoo wenu.
Daah kwakweli tumekosewa heshima, naomba isiwe kweli kabsaa, wanawaza nini hawa viongozi wetuUkiona akina GENTAMYCINE wanamkataa Mtu jua ya kwamba huwa hatukosei kwani wengine tumeshabarikiwa Maono ya Kifalsafa na Mwenyezi Mungu.
Wakati nikimkataa mapema tu Mhamasishaji Mkuu mpya wa Simba SC 'Samjo Samjo' Mwinjaku muda si mrefu Mwenyekiti wa Simba SC Murtaza Mangungu amekasirishwa na Kauli yake aliyonukuliwa akisema kuwa Simba SC isiposhinda Jumapili atavua Nguo zake zote.
Salim Abdallah Mhene ( Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC ), Barbara Gonzalez ( CEO Simba SC ) na Poti wangu kabisa kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) Kwetu Crecentius Magori ( Chief Advisor Simba SC ) kiukweli kwa Kumteua huyu 'Kirusi' Mwinjaku mmetukosea mno Wana Simba SC wote na tunawaomba Kwanza mtuombe Radhi na mumbadilishe upesi ndani ya Siku 3 hadi 7 zijazo kabla GENTAMYCINE 'Mizimu' yangu ya Kizanaki, Kimakuwa na Kitutsi haijanipanda na nikachafua Hali ya Hewa Klabuni na Mgogoro mkubwa kutokea na Simba SC yetu ifanye vibaya.
Kwangu Mimi wafuatao tena kwa Ushawishi wao mkubwa na Makubwa tena ya Kihistoria waliyoyafanya ndani ya Simba SC wangekuwa ndiyo Wahamasishaji wetu ningewapongeza na kuwaona mna Akili ambazo bahati mbaya kwa sasa hamna....
1. Dua Said
2. Boniface Pawassa
3. Ulimboka Mwakingwe
4. Jamhuri Kihwelo Julio
5. Mtangazaji Ibrahim Masoud Maestro
6. Mussa Hassan Mgosi
7. Mzee Mtemi Ramadhan
Upesi sana tuondoleeni mliyomteua jana vinginevyo tunaojua vyema Siri za ndani za Simba SC ( GENTAMYCINE ) nikijiamini kabisa nikiwa ni Mmoja wao nitawaanika na Kuwaacheni Uchi ( Watupu ) kabisa.
Acheni na Komeni kabisa 'Kutuhanithi' Wana Simba SC wote. Binafsi na hata Watu wa CMG mpaka Wasanii akina wa Maigizo akina Cheni, JB na Ray tunamjua tokea huko nyuma kuwa Mwinjaku ni Yanga SC lia lia halafu leo mnamkaribisha tena Sebuleni kabisa Klabuni Kwetu.
Nimeshawaonyeni mapema msilaumu.
Ndugu wakigombana,chukua jembe ukalime.Acha kimbelembele kwenye mambo ya Simba ,Anzisha timu yako uwaajiri hao unaowataka wewe,unataka mawazo yako tu ndio yawe sahihi wewe kama nani Simba???? Simba sc Tanzania sio kampuni ya ukoo wenu.
Huyo number 4 yupo vizuri sana.Ukiona akina GENTAMYCINE wanamkataa Mtu jua ya kwamba huwa hatukosei kwani wengine tumeshabarikiwa Maono ya Kifalsafa na Mwenyezi Mungu.
Wakati nikimkataa mapema tu Mhamasishaji Mkuu mpya wa Simba SC 'Samjo Samjo' Mwinjaku muda si mrefu Mwenyekiti wa Simba SC Murtaza Mangungu amekasirishwa na Kauli yake aliyonukuliwa akisema kuwa Simba SC isiposhinda Jumapili atavua Nguo zake zote.
Salim Abdallah Mhene ( Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC ), Barbara Gonzalez ( CEO Simba SC ) na Poti wangu kabisa kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) Kwetu Crecentius Magori ( Chief Advisor Simba SC ) kiukweli kwa Kumteua huyu 'Kirusi' Mwinjaku mmetukosea mno Wana Simba SC wote na tunawaomba Kwanza mtuombe Radhi na mumbadilishe upesi ndani ya Siku 3 hadi 7 zijazo kabla GENTAMYCINE 'Mizimu' yangu ya Kizanaki, Kimakuwa na Kitutsi haijanipanda na nikachafua Hali ya Hewa Klabuni na Mgogoro mkubwa kutokea na Simba SC yetu ifanye vibaya.
Kwangu Mimi wafuatao tena kwa Ushawishi wao mkubwa na Makubwa tena ya Kihistoria waliyoyafanya ndani ya Simba SC wangekuwa ndiyo Wahamasishaji wetu ningewapongeza na kuwaona mna Akili ambazo bahati mbaya kwa sasa hamna....
1. Dua Said
2. Boniface Pawassa
3. Ulimboka Mwakingwe
4. Jamhuri Kihwelo Julio
5. Mtangazaji Ibrahim Masoud Maestro
6. Mussa Hassan Mgosi
7. Mzee Mtemi Ramadhan
Upesi sana tuondoleeni mliyomteua jana vinginevyo tunaojua vyema Siri za ndani za Simba SC ( GENTAMYCINE ) nikijiamini kabisa nikiwa ni Mmoja wao nitawaanika na Kuwaacheni Uchi ( Watupu ) kabisa.
Acheni na Komeni kabisa 'Kutuhanithi' Wana Simba SC wote. Binafsi na hata Watu wa CMG mpaka Wasanii akina wa Maigizo akina Cheni, JB na Ray tunamjua tokea huko nyuma kuwa Mwinjaku ni Yanga SC lia lia halafu leo mnamkaribisha tena Sebuleni kabisa Klabuni Kwetu.
Nimeshawaonyeni mapema msilaumu.
Bro navyo kukubali sikutegemea kama kuna siku utaandika hivi🥱Unaenda Saa ngapi Kumpanulia huyo?
Nakuomba kuanzia Leo anza Kutonikubali sawa? Na Yeye aliyeanza Kunichokoza umemwambia na Kumshauri nini? Pumbavu na Mnafiki mkubwa Wewe.Bro navyo kukubali sikutegemea kama kuna siku utaandika hivi🥱
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Utakuwa una vurugu za maono kwa kutopewa wewe huo usemajiNakuomba kuanzia Leo anza Kutonikubali sawa? Na Yeye aliyeanza Kunichokoza umemwambia na Kumshauri nini? Pumbavu na Mnafiki mkubwa Wewe.
Hapo nimewakubali huyu kenge albino alikuwa anajikuta yeye ndo anajua kuongeaMwijaku kawekwa pale kimkakati
Manara akiachiwa uhuru anatamba sana na mbaya zaidi anawatukana watu personal
So kwa kuwa ndio soka letu lilivo bora akae huyo huyo mwijaku ili waende sawa maana ata kipindi kile muro yupo yanga alikua anamzidia manara ichoicho
Akimtukana Mo au Barbara Jamaa aruke nae juu kwa juu maana sai Haji ni kama anatamba sana anavotaka kama vile nchi zima yeye ndo anamdomo kuliko wote
Kwa sababu hiyo basi uongozi umuache huyo huyo mwijaku apambane na watu kama haji wanaojisikia mud wowote kudhalilisha viongozi wa team
Sent from my VFD 300 using JamiiForums mobile app
Hamia utopolo, au kaa kimya , unachohitaji ni burudani na furaha tu uwanjani hamna jingine lonalokuhusu ktk klabu ya SimbaUkiona akina GENTAMYCINE wanamkataa Mtu jua ya kwamba huwa hatukosei kwani wengine tumeshabarikiwa Maono ya Kifalsafa na Mwenyezi Mungu.
Wakati nikimkataa mapema tu Mhamasishaji Mkuu mpya wa Simba SC 'Samjo Samjo' Mwinjaku muda si mrefu Mwenyekiti wa Simba SC Murtaza Mangungu amekasirishwa na Kauli yake aliyonukuliwa akisema kuwa Simba SC isiposhinda Jumapili atavua Nguo zake zote.
Salim Abdallah Mhene ( Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC ), Barbara Gonzalez ( CEO Simba SC ) na Poti wangu kabisa kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) Kwetu Crecentius Magori ( Chief Advisor Simba SC ) kiukweli kwa Kumteua huyu 'Kirusi' Mwinjaku mmetukosea mno Wana Simba SC wote na tunawaomba Kwanza mtuombe Radhi na mumbadilishe upesi ndani ya Siku 3 hadi 7 zijazo kabla GENTAMYCINE 'Mizimu' yangu ya Kizanaki, Kimakuwa na Kitutsi haijanipanda na nikachafua Hali ya Hewa Klabuni na Mgogoro mkubwa kutokea na Simba SC yetu ifanye vibaya.
Kwangu Mimi wafuatao tena kwa Ushawishi wao mkubwa na Makubwa tena ya Kihistoria waliyoyafanya ndani ya Simba SC wangekuwa ndiyo Wahamasishaji wetu ningewapongeza na kuwaona mna Akili ambazo bahati mbaya kwa sasa hamna....
1. Dua Said
2. Boniface Pawassa
3. Ulimboka Mwakingwe
4. Jamhuri Kihwelo Julio
5. Mtangazaji Ibrahim Masoud Maestro
6. Mussa Hassan Mgosi
7. Mzee Mtemi Ramadhan
Upesi sana tuondoleeni mliyomteua jana vinginevyo tunaojua vyema Siri za ndani za Simba SC ( GENTAMYCINE ) nikijiamini kabisa nikiwa ni Mmoja wao nitawaanika na Kuwaacheni Uchi ( Watupu ) kabisa.
Acheni na Komeni kabisa 'Kutuhanithi' Wana Simba SC wote. Binafsi na hata Watu wa CMG mpaka Wasanii akina wa Maigizo akina Cheni, JB na Ray tunamjua tokea huko nyuma kuwa Mwinjaku ni Yanga SC lia lia halafu leo mnamkaribisha tena Sebuleni kabisa Klabuni Kwetu.
Nimeshawaonyeni mapema msilaumu.
Unaweza kuta hata hati ya kusafiria huna.Tanzania ndio nchi pekee ambayo kitu mtu anajifanya ni mjuaji na anajua kulaumu wengine. ...