Akiwa hajamaliza saa 24 tangu apewe uhamasishaji Simba SC, tayari Mwijaku ameanza 'kumchefua' Murtaza Mangungu

Umewahi kulaumu..Ungeyasema haya baada ya mchezo kuisha na matokea yake yakajulikana, kama ikitokea simba imeshinda hauna hoja tena
 
Umewahi kulaumu..Ungeyasema haya baada ya mchezo kuisha na matokea yake yakajulikana, kama ikitokea simba imeshinda hauna hoja tena
 
Nakuomba kuanzia Leo anza Kutonikubali sawa? Na Yeye aliyeanza Kunichokoza umemwambia na Kumshauri nini? Pumbavu na Mnafiki mkubwa Wewe.

Okay nisha jua we ni mtu wa aina gani.
Nishakudharau...kuanzia sasaaa.
 
Kwa hiyo Simba kuna madudu ya viongozi ila unakubali yaemdelee kudumu kisa tu huwataki K MZIWANDA na Mwijaku huu sasa ni ujinga brother na tena umeonesha ni kwa namna gani wewe si mzalendo ,mtu timamu atasema mabaya ili mageuzi yafanyike sio kuwaomba wale anaoona wanakosea wafanye jambo fulani kuuridhisha tu moyo wake ila uchafu uendelee ,

UNAJISHUSHA MNO

Mimi nimewakubali so nashangaa unaposema mashabiki wote wa Simba hawajafurahishwa K Mziwanda na Mwijaku kuwa wahamasishaji.
 
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Akina Herbert wengi 'naturally' huwa ni 'Morons' hivyo baada ya kuona Jina lako ( ID yako ) wala sijapata sana Shida nawe.
 
Upesi sana tuondoleeni mliyomteua jana vinginevyo tunaojua vyema Siri za ndani za Simba SC ( GENTAMYCINE ) nikijiamini kabisa nikiwa ni Mmoja wao nitawaanika na Kuwaacheni Uchi ( Watupu ) kabisa.
Hivi vyeo uchwara ndio vinafanya tuonekane hatuna akili. Brand inajengwa na matokeo ya uwanjani hizi blah blah za hawa wapuuzi hazitotufikisha popote.
Hivi uhamasishaji nao mnautolea macho kiasi hicho? Mbona mtu yeyote tu mwenye anaenjoy kuongea ongea mi naoana sawa tu? Si kuna afisa habari juu yake? Acheni kushikia bango vijimambo vidogo vidogo kama hivi vya mhamasishaji
 
Hivi uhamasishaji nao mnautolea macho kiasi hicho? Mbona mtu yeyote tu mwenye anaenjoy kuongea ongea mi naoana sawa tu? Si kuna afisa habari juu yake? Acheni kushikia bango vijimambo vidogo vidogo kama hivi vya mhamasishaji
Cretin.
 
Tatizo la mwandishi tushalijua akifikiria video ya Mwijagu Akili zinamruka kama hivi! 😁😁
 
Hivi uhamasishaji nao mnautolea macho kiasi hicho? Mbona mtu yeyote tu mwenye anaenjoy kuongea ongea mi naoana sawa tu? Si kuna afisa habari juu yake? Acheni kushikia bango vijimambo vidogo vidogo kama hivi vya mhamasishaji
Ukiwa na upeo mdogo wa kufikiri huwezi kuona madhara ya kuwa na watu type ya Mwijaku. Ila kuna siku tutarudi hapa kujadili hii mada upya.
 
huyo akipewa nafasi hata ya upishi simba ataanza kuingilia majukumu ya makocha na majungu kwa wachezaji
Nakubaliana nawe tena 100% Mkuu na Heko pia hili ndilo limekuwa tatizo Kubwa la Kocha Jamhuri Kihwelo ndiyo maana hata kwa sasa Simba SC haaminiki katika kupewa Nafasi ya Kiufundi.

Ila kama akipewa hiyo Nafasi na kuambiwa mipaka yake ya Kiutendaji kama 'Mhamasishaji' huku akiwa 'Monitored' na 'Well Managed' Kwangu Mimi bado naona Jamhuri Kihwelo ndiyo 'Competent Candidate' wa hiyo Nafasi.
 
Mimi binafsi naamimini mwijaku kakaaa pale sababu ya konekesheni yake na vunja bei ila ushafikiria the other side of the coin?????kuna jitu lile sukule kwa sasa litakuwa linatukanana na mwijaku? yaani karudishwa kwenye level yake anayostahili siyo kama alivyokuwa anajikweza kwamba yeye ni wa kubishana na kina Barbra ndiyo mana juzi dongo la ndoa hajalijibu hadi leo ila ingekuwa imesemwa na kina Mangungu ungeona moto wake

Faida ya mwijaku itakuwa moja , yeye na sukule ni kama nguruwe wachafu acha wacheze kwenye matope huko wakati simba inatafuta afisa habari atakayefanya kiuweledi na kama dozi ya mwijaku haitotosha iongezwe ya dk kumbuka warushiane maneno na kusutana na sukule 24/7 maana ni majitu yanayoishi mjini kwa majungu na kusutana tu
 
Ni kweli mwijaku hajui kitu kuhusu soka lakini yeye Ni muhamasishaji tu wala sio afisa habari wa timu..Ni Yale Yale ya manara..kwasasa hivi Ni vyeo vya wahuni wenye mdomo tu .wasio na staha..
Kuanzia Sasa Manara akiitukana Simba atatukanwa Mara 10 Hadi atafungua kesi maana mwijaku Ni fyatu kuliko Manara..
Mimi naona wako sawa Sasa Ni mwendo wa matusi..Manara akiropoka..Mwijaku anamnyea!
 
Bora nafasi ya uhamasishaji mngempa Dokta Kumbuka kuliko Mwijaku
 
Bora nafasi ya uhamasishaji mngempa Dokta Kumbuka kuliko Mwijaku
hapohapo patamu tunasubiri afisa habari mwenye uweledi huyu acha abaki kutukanana na lopolopo 24/7 ilifika hatua lopolopo akadhani yeye level zake ni ni za Mo dewji, kumbuka yuko sub ataingia tu na upande wa pili nao waweke baba levo ziwe ligi za kusutana kabisa na lile kubwa lao sukule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…