joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Ipo wapi ?Ishu sio kiingereza ishu ni kuelewa, unaweza ukaambiwa hata kiswahili na bado usielewe na tatizo hakiwezi kuwa lugha.
Kwani hujaona nimeweka screenshot hapo?
Pale sio Morroco ni Algeriakwa mpira ule wamecheza morocco, yanga siwaamini tena kwa waarabu. naamini kesho wanaweza kupigwa mengi tu. ila nitaenda uwanjani kuwashangilia hivyohivyo.
😂😂😂Hiyo ni baada ya Kaizer Chiefs kusema Tanzania timu wanayoijua ni Simba hatimaye leo nao watani zetu Al Ahly wamekuja kutoa recognition kwa mnyama.
Mwandishi alipomuuliza kuhusu Yanga akasema anaijua Yanga ni timu kubwa Tanzania ila ni namba 2 kwasababu namba moja ni Simba
View attachment 2830249
Hiyo miaka kipindi ambacho Yanga ina nguvu ya kiserikali
Kiasili Yanga ni timu ya chama na kwa kipindi hicho hakukua na mfumo wa vyama vingi kwa hiyo Yanga ilikuwa ina identity za CCM
Hata saizi bado hizo chembechembe
Mbona visingizio Vingi mbumbumbu, Kwa taarifa Yako Toka 1992 baada ya vyama Vingi bado mbumbumbu wamekandwa mara nyingi zaidi na yanga kabeba ubingwa wa nchi mara 17 huku mbumbumbu wakiambulia mara 12Hiyo miaka kipindi ambacho Yanga ina nguvu ya kiserikali
Kiasili Yanga ni timu ya chama na kwa kipindi hicho hakukua na mfumo wa vyama vingi kwa hiyo Yanga ilikuwa ina identity za CCM
Hata saizi bado hizo chembechembe zipo
Mjinga msifie ili avimbe kichwa. Hongereni sana. Kilichobaki ni UJIKO TUUto watabisha 😂😂
Kati ya kasoro tulizopata katika umoja wa makabila yetu ni pamoja na kuwa na watu wajingawajinga tu. Yaani yeye Msifie tu na kumuambia wewe ni zaidi ya fulani yaani atavimba kichwa na hatajali hata timu yake ikishuka daraja.Hapo vip!
Leo ilikuwa nawasikiliza waandishi wa habari walijaribu kuwahoji wachezaji wa Alhaly Ally dhini ya kujuaa ukubwa wa Simba cl na yanga.
Wachezaji wa Alihy Ally wamesea hawajawahi kukutana na yanga kwasababu ni timu ndogo ila kwa tanzania ni maarufu,wakasema timu kubwa wanaoijua Tanzania na namba moja kwa ubora ni Simba.
Kama muarabu aliyeandikwa kwenye vitabu vyote vya dini amekiri Simba ndio timu bora na namba one Tanzania..wewe ngozi nyeusi mwenye ukurutu mpaka kwenye akili ni nani?maana ake huna akili na medula oblangata na ubongo wa mbele itakuwa na ugonjwa wa ubishi na upumbavu.
Kwamba al ahly hajawahi kukutana na yanga?Hapo vip!
Leo ilikuwa nawasikiliza waandishi wa habari walijaribu kuwahoji wachezaji wa Alhaly Ally dhini ya kujuaa ukubwa wa Simba cl na yanga.
Wachezaji wa Alihy Ally wamesea hawajawahi kukutana na yanga kwasababu ni timu ndogo ila kwa tanzania ni maarufu,wakasema timu kubwa wanaoijua Tanzania na namba moja kwa ubora ni Simba.
Kama muarabu aliyeandikwa kwenye vitabu vyote vya dini amekiri Simba ndio timu bora na namba one Tanzania..wewe ngozi nyeusi mwenye ukurutu mpaka kwenye akili ni nani?maana ake huna akili na medula oblangata na ubongo wa mbele itakuwa na ugonjwa wa ubishi na upumbavu.
Jivunieni mpira mnaocheza uwanjani kwa sasa sio huu ujinga ulioandika hapa.Yanga inabidi wakubali tu kuwa wao bado ni immature hata Al Ahly kwenye mechi ya Yanga hajawa na maandalizi makubwa kama aliyofanya kwetu sisi
Kipindi anajiandaa kucheza na sisi walikaa almost wiki na nusu bila mechi yeyote na katika hizo siku wachezaji walizuiwa kushika simu zao.
Lakini mechi ya kesho ni kama Al Ahly wamestukizwa tu katikati ya ratiba zao.
Baada ya Al Ahly kucheza mechi yao ya kwanza ya group stage tarehe 25, juzi tarehe 28 kaingia kupiga mechi ya ligi kuu
Lakini ratiba ingekuwa inamkutanisha Al Ahly na timu kubwa basi hii mechi ya juzi tarehe 28 ingesogezwa mbele ili kujipa muda wa kujiandaa zaidi.
Al Ahly katika mechi zake dhidi ya Simba mpaka sasa hakuna bingwa, tumefungana mara tatu na sare zipo 3
Wakati katika mechi nne walizokutana Yanga na Al Ahly, Yanga kashinda mechi moja na sare moja zilizobaki ni vipigo.
Halafu bado Gongowazi wanakuja kumvalia Al Ahly misuli
Baada ya uhuru bado watu wengi walikuwa na mahaba na CCMMbona visingizio Vingi mbumbumbu, Kwa taarifa Yako Toka 1992 baada ya vyama Vingi bado mbumbumbu wamekandwa mara nyingi zaidi na yanga kabeba ubingwa wa nchi mara 17 huku mbumbumbu wakiambulia mara 12
Ukifanya vizuri wewe sio wakujipa pongezi bali watu wanaokuona ndio wanapaswa kukupa pongezi.Jivunieni mpira mnaocheza uwanjani kwa sasa sio huu ujinga ulioandika hapa.
Beba mazima kabisaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naondoka na hii Quote
Kwahiyo nyie Yanga ndo mko level na Mamelodi Sundowns? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mfano wa Mamelodi Sundowns uliuelewa vizuri lakini Chifu.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Km la Losers mmeshindwa kuleta, mtaleta lipi sasa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nitapata uungwaji mkono uwanjani kama nisipocheza mind game kwa kumsifia mpinzani wa ninayeenda kucheza naye kesho? Ukiitwa mbumbumbu kuna sababu. Wamewaweka kwenye mfumo mmejaa mmeona ni point mnakuja kutuletea hapa na sisi hatuna shida nyie kuweni tu namba 1 siku likija kombe hapa tutaelewana vizuri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mda mwingne kubali ukweli dyadyaa.Zote ni mind games, akisema wewe ni bora ni kukujaza ujae akupige vizuri.
Kwani hamfuatilii mpira wa huko duniani jamani? Hiki ni kitu kidogo sana kupeana maelezo.
Sasa kwann hivyo Vigezo na bado Yanga hajakidhii.Unajua vigezo vilivyotumika kuchagua timu za kushiriki African football league? Acha propaganda mfu wewe unajivua nguo bure hapa, Kama kigezo kingekuwa ubora wa timu basi yanga angekuwa hapo bila wasi wasi usijitoe ufahamu
Simba iz bigHiyo ni baada ya Kaizer Chiefs kusema Tanzania timu wanayoijua ni Simba hatimaye leo nao watani zetu Al Ahly wamekuja kutoa recognition kwa mnyama.
Mwandishi alipomuuliza kuhusu Yanga akasema anaijua Yanga ni timu kubwa Tanzania ila ni namba 2 kwasababu namba moja ni Simba
View attachment 2830249