Al Ahly waweka wazi Simba ni Club namba moja Tanzania, Yanga ni ya pili

Al Ahly waweka wazi Simba ni Club namba moja Tanzania, Yanga ni ya pili

Ishu sio kiingereza ishu ni kuelewa, unaweza ukaambiwa hata kiswahili na bado usielewe na tatizo hakiwezi kuwa lugha.

Kwani hujaona nimeweka screenshot hapo?
Ipo wapi ?

Na hiyo screenshot nipatie refence yake haya sasa twende kisomi tuache maneno.....

Kama Kingereza kime kuwa kama neno la kwenye vitabu vya dini labda kwa upande wako, huyu commentator anaongea Kingereza chepesi.

Halafu CAF kipindi kile mnahangaika kuingia nusu wakapost kwenye page yao ya twitter kwamba unatafuta nafasi ya kufika fainali kwa mara ya kwanza.
 
kwa mpira ule wamecheza morocco, yanga siwaamini tena kwa waarabu. naamini kesho wanaweza kupigwa mengi tu. ila nitaenda uwanjani kuwashangilia hivyohivyo.
Pale sio Morroco ni Algeria

Walifungwa hapa nyumbani na USM Algier ambao kwa sasa ni ya 13 kwenye msimamo wa ligi kuu

Hao Cr Belarouzidad ndio mabingwa mara 4 back to back

Maana yake ni kwamba Yanga kumfunga Cr Belarouzidad hapa Taifa yatakuwa ni maajabu ya mpira
 
Hiyo ni baada ya Kaizer Chiefs kusema Tanzania timu wanayoijua ni Simba hatimaye leo nao watani zetu Al Ahly wamekuja kutoa recognition kwa mnyama.

Mwandishi alipomuuliza kuhusu Yanga akasema anaijua Yanga ni timu kubwa Tanzania ila ni namba 2 kwasababu namba moja ni Simba
View attachment 2830249
😂😂😂
 
Hiyo miaka kipindi ambacho Yanga ina nguvu ya kiserikali

Kiasili Yanga ni timu ya chama na kwa kipindi hicho hakukua na mfumo wa vyama vingi kwa hiyo Yanga ilikuwa ina identity za CCM

Hata saizi bado hizo chembechembe

Hiyo miaka kipindi ambacho Yanga ina nguvu ya kiserikali

Kiasili Yanga ni timu ya chama na kwa kipindi hicho hakukua na mfumo wa vyama vingi kwa hiyo Yanga ilikuwa ina identity za CCM

Hata saizi bado hizo chembechembe zipo
Mbona visingizio Vingi mbumbumbu, Kwa taarifa Yako Toka 1992 baada ya vyama Vingi bado mbumbumbu wamekandwa mara nyingi zaidi na yanga kabeba ubingwa wa nchi mara 17 huku mbumbumbu wakiambulia mara 12
 
Hapo vip!

Leo ilikuwa nawasikiliza waandishi wa habari walijaribu kuwahoji wachezaji wa Alhaly Ally dhini ya kujuaa ukubwa wa Simba cl na yanga.

Wachezaji wa Alihy Ally wamesea hawajawahi kukutana na yanga kwasababu ni timu ndogo ila kwa tanzania ni maarufu,wakasema timu kubwa wanaoijua Tanzania na namba moja kwa ubora ni Simba.

Kama muarabu aliyeandikwa kwenye vitabu vyote vya dini amekiri Simba ndio timu bora na namba one Tanzania..wewe ngozi nyeusi mwenye ukurutu mpaka kwenye akili ni nani?maana ake huna akili na medula oblangata na ubongo wa mbele itakuwa na ugonjwa wa ubishi na upumbavu.
Kati ya kasoro tulizopata katika umoja wa makabila yetu ni pamoja na kuwa na watu wajingawajinga tu. Yaani yeye Msifie tu na kumuambia wewe ni zaidi ya fulani yaani atavimba kichwa na hatajali hata timu yake ikishuka daraja.
 
Hapo vip!

Leo ilikuwa nawasikiliza waandishi wa habari walijaribu kuwahoji wachezaji wa Alhaly Ally dhini ya kujuaa ukubwa wa Simba cl na yanga.

Wachezaji wa Alihy Ally wamesea hawajawahi kukutana na yanga kwasababu ni timu ndogo ila kwa tanzania ni maarufu,wakasema timu kubwa wanaoijua Tanzania na namba moja kwa ubora ni Simba.

Kama muarabu aliyeandikwa kwenye vitabu vyote vya dini amekiri Simba ndio timu bora na namba one Tanzania..wewe ngozi nyeusi mwenye ukurutu mpaka kwenye akili ni nani?maana ake huna akili na medula oblangata na ubongo wa mbele itakuwa na ugonjwa wa ubishi na upumbavu.
Kwamba al ahly hajawahi kukutana na yanga?
 
Yanga inabidi wakubali tu kuwa wao bado ni immature hata Al Ahly kwenye mechi ya Yanga hajawa na maandalizi makubwa kama aliyofanya kwetu sisi

Kipindi anajiandaa kucheza na sisi walikaa almost wiki na nusu bila mechi yeyote na katika hizo siku wachezaji walizuiwa kushika simu zao.

Lakini mechi ya kesho ni kama Al Ahly wamestukizwa tu katikati ya ratiba zao.

Baada ya Al Ahly kucheza mechi yao ya kwanza ya group stage tarehe 25, juzi tarehe 28 kaingia kupiga mechi ya ligi kuu

Lakini ratiba ingekuwa inamkutanisha Al Ahly na timu kubwa basi hii mechi ya juzi tarehe 28 ingesogezwa mbele ili kujipa muda wa kujiandaa zaidi.

Al Ahly katika mechi zake dhidi ya Simba mpaka sasa hakuna bingwa, tumefungana mara tatu na sare zipo 3

Wakati katika mechi nne walizokutana Yanga na Al Ahly, Yanga kashinda mechi moja na sare moja zilizobaki ni vipigo.

Halafu bado Gongowazi wanakuja kumvalia Al Ahly misuli
Jivunieni mpira mnaocheza uwanjani kwa sasa sio huu ujinga ulioandika hapa.
 
Mbona visingizio Vingi mbumbumbu, Kwa taarifa Yako Toka 1992 baada ya vyama Vingi bado mbumbumbu wamekandwa mara nyingi zaidi na yanga kabeba ubingwa wa nchi mara 17 huku mbumbumbu wakiambulia mara 12
Baada ya uhuru bado watu wengi walikuwa na mahaba na CCM

Na ndio maana hata chanzo cha vyama vingi hayakuwa maoni yaliyotokana na kura nyingi za watu.

Hakuna mtu aliye opt mfumo wa vyama vingi bali Nyerere mwenyewe ndio alipendekeza kuwe na vyama vingi.

Yanga ni CCM na ndio maana ime inherit kila kitu mpaka rangi.

Kama ambavyo CCM imekuwa ikishinda kwa magoli ya mkono ndio hivyo hivyo Yanga ilikuwa ikishinda miaka hiyo kwenye mechi za Derby.
 
Jivunieni mpira mnaocheza uwanjani kwa sasa sio huu ujinga ulioandika hapa.
Ukifanya vizuri wewe sio wakujipa pongezi bali watu wanaokuona ndio wanapaswa kukupa pongezi.

Al Ahly wameona juhudi zetu katika kuinua soka la Bongo na kuwa mtawala wa huu ukanda.

So you can't tell me a damn thing about minding my business
 
Nitapata uungwaji mkono uwanjani kama nisipocheza mind game kwa kumsifia mpinzani wa ninayeenda kucheza naye kesho? Ukiitwa mbumbumbu kuna sababu. Wamewaweka kwenye mfumo mmejaa mmeona ni point mnakuja kutuletea hapa na sisi hatuna shida nyie kuweni tu namba 1 siku likija kombe hapa tutaelewana vizuri.
Km la Losers mmeshindwa kuleta, mtaleta lipi sasa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Zote ni mind games, akisema wewe ni bora ni kukujaza ujae akupige vizuri.

Kwani hamfuatilii mpira wa huko duniani jamani? Hiki ni kitu kidogo sana kupeana maelezo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mda mwingne kubali ukweli dyadyaa.
 
Unajua vigezo vilivyotumika kuchagua timu za kushiriki African football league? Acha propaganda mfu wewe unajivua nguo bure hapa, Kama kigezo kingekuwa ubora wa timu basi yanga angekuwa hapo bila wasi wasi usijitoe ufahamu
Sasa kwann hivyo Vigezo na bado Yanga hajakidhii.
Hujistukii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hiyo ni baada ya Kaizer Chiefs kusema Tanzania timu wanayoijua ni Simba hatimaye leo nao watani zetu Al Ahly wamekuja kutoa recognition kwa mnyama.

Mwandishi alipomuuliza kuhusu Yanga akasema anaijua Yanga ni timu kubwa Tanzania ila ni namba 2 kwasababu namba moja ni Simba
View attachment 2830249
Simba iz big
 
Back
Top Bottom