Al Jazeera inamilikiwa na Hamas? Mbona wanawatetea sana Magaidi kiasi cha kupindisha ukweli ili kujenga chuki kwa Israel

Kuna video mbili tofauti,video ambayo Israel ilitoa ndio ambayo Aljazeera walionyesha walipokua live wakati makombora yanarushwa.
 
La Bda hamas ni magaidi kwa mtazamo wako
 
Hamna video iliyofutwa na kama hujui kuna baadhi ya mataifa kwa incident ya Jana waomba Satellite Footage.

Msemaji wa IDF baada ya hilo tukio alitweet na akaifuta mda mfupi baada ya kuipost.
 
Najua huna hata bando la kucheki video ndio maana unaongea kwa makadirio
Lile bomu limechunguzwa limetengenezwa marekani na limetupwa kutoka kwenye ndege, hamas ana ndege? Na mkutano aliyoitisha biden jordan waarabu wamegoma kushiriki badala la kugundua ukweli huu , acha utoto muwe mnajielimisha kwanza kabla ya kupayuka
 
Kumbe najenga hoja kwa Robot?
Nifikirie kadiri upendavyo that will not change who I'm.

BTW, Who am I?
Of cause, I'm your enlightenment.
Nakufunua akili yako uliyo lishwa uongo wa karne nyingi ili uwe mtumwa wa walio kuletea dini.
 
Nifikirie kadiri upendavyo that will not change who I'm.

BTW, Who am I?
Of cause, I'm your enlightment.
Nakufunua akili yako uliyo lishwa uongo wa karne nyingi ili uwe mtumwa wa walio kuletea dini.
Uongo?tena? Dah kweli wewe ni Robot tena made in Telaviv
 
Ndio tuseheme akili yako ni butu kiasi cha kushindwq kujua propaganda na ukweli, au ndio Mapenzi kwa Waisraeli yamekuzidi. Waisraeli sio watu wa kiwachekea hao wamelaaniwa, hao ndio waliopiga mijeledi Yesu we bado unawatetea.
 
Uongo?tena? Dah kweli wewe ni Robot tena made in Telaviv
Kama ukiniita robot inakupa faraja naomba urudie kuniita hivyo mara 1000.
Labda nitapata dhawabu kama mnvyo amini wafia dini.
 
Kama ukiniita robot inakupa faraja naomba urudie kuniita hivyo mara 1000.
Labda nitapata dhawabu kama mnvyo amini wafia dini.
Wewe unachuki binafsi ktk moyo na jamii ya kiislam. Sio bure
 
Hamdanganyi watu. Dunia nzima inajua Isreal. Wewe MKTT wa Mbagala unapiga porojo. Unafaidika na nini kuuliwa waislam?
Wameuana wao wenyewe!! Hivi mafundisho yenu mbona ni vurugu tu? Mtaishia motoni
 
We jamaa unazidi kujishushia heshima humu, video ushaambiwa ya zamani kila uzi unaipost, hivi unajua kama hio video inaonesha hadi tarehe na muda? Hebu nisomee kwenye hio video inaonesha muda ni saa ngap na tukio lilitokea saa ngap
 
Kuna video mbili tofauti,video ambayo Israel ilitoa ndio ambayo Aljazeera walionyesha walipokua live wakati makombora yanarushwa.
Hio video ya Al jazeera ina Tarehe sio ya Jana na ile ya mwanzo ni ya 2022 video zote mbili ni fake
 
Buddhism Religion believes has really brainwashed your thinking capacity, though the life after living organisms death is upon yourself to choose which way you gonna take it deeply.
 
Hamdanganyi watu. Dunia nzima inajua Isreal. Wewe MKTT wa Mbagala unapiga porojo. Unafaidika na nini kuuliwa waislam?
Mbwa wewe unambiwa hilo bomu lahamas limejam likapiga hospital yakanisa nawakristo kibao wamekufa unakuja kusema waislam cjui nin unazan gaza wote waislam.... Narudia tena mbwa mmoja ww
 
Al Jazeera ni ya waarabu lazima wasapoti waarabu wenzao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…