Al-Jazeera ni TV ya ovyo, kwenye vita ya Israel vs Hamas hawasemi athari zinazotokea upande wa Hamas

Al-Jazeera ni TV ya ovyo, kwenye vita ya Israel vs Hamas hawasemi athari zinazotokea upande wa Hamas

Aljazeera wanatoa data kutoka hospital za Gaza ambazo zipo chini ya utawala wa Hamas.Ambazo kwenye hizo hospitali magaidi wa Hamas wanajificha unategemea nini hapo?

Na UN jinsi walivyo mapoyoyo facilities zake zinatumiwa na Hamas kujificha,kupitisha mahandaki chini na kushambulia israeli, halafu wanailaumu Israeli kushambulia hayo maeneo.

Israeli wanaijua Gaza kuliko mtu yeyote kwa hiyo wakae wakitulia wakati Israeli ikifanya yake!
We tuliza ball Hamasi ana missiles bado hajazitumia na Maelfu ya wanamgambo wake bado wanasubiri amri kuimaliza Tela Avivi.

Kaa mkao wa kula


View: https://youtu.be/F27T-D6p2oU?si=9111HWajjlo01aZF
 
WaIsrael walikuwa wakimbizi miaka mingi wakafocus kwenye elimu na biashara wakashikana mpaka wakarudi Nyumbani. Mpango wa kizayuni ulianzishwa na Tajiri mmoja mkubwa sana anaitwa Lionel Walter Rothschild. Wapalestina wanatakiwa watumie fursa ya ukimbizi wazamie ulaya na nchi nyingine zilizoendelea na kufocus kwenye elimu na biashara. Baada ya hapo ndo waje kuidaiardhi yao kwa Israel, ila ubaya wake huku Ulaya waarabu ni kama maniggers wa marekani. Ni wavivu na wana deal na biashara haramu. Waislamu wamefocus na dini iliyojaa unafiki badala ya kufocus na Elimu na Maendeleo. Jiulize kwa nini wakimbizi wengi wanakimbilia Europe na sio Saudia Arabia na ni nchi ambayo Quran inaheshimiwa. Sio kama Ulaya wanakochoma Quran.
Waarabu wanauza sana bangi na unga pale Malmo!!!!
Wamepagawa
 
Nilitazama siku moja tu nikaachana nao!

Tunaoneshwa tutoto tunatoatoa kamasi muda wote hospitalini as if Israel inalenga Day care centers pekee huko Gaza!
 
WAARABU NA WAISLAMU UPANDE WA HAMAS KATIKA MEDIA.
WAYAHUDI NA WAKRSTO UPANDE WA IDF KATIKA MEDIA
NGOMA NANGWA 🤣🤣😂😂
 
Nilitazama siku moja tu nikaachana nao!

Tunaoneshwa tutoto tunatoatoa kamasi muda wote hospitalini as if Israel inalenga Day care centers pekee huko Gaza!
UKIANGALIA AL JAZEERA NA BBC UTAONA UTOFAUTI WA KURIPOTI HII VITA..
ANGALAU BBC WANABALANCE PANDE ZOTE ILA SIO AL JAZEERA
 
Ukiwa muongo, pia uwe makini. Kwa muda wote vita hii imepiganwa hajafa wala kutangazwa wangapi wa Hamas wamekufa! Picha zinazorushwa ni za vitoto tuu na kidogo wanawake.

Cha ajabu ukiangalia TV hiyo hiyo, miili mingi ya maiti zilizokufa GAZA na iliyofunikwa kwenda kuzikwa ni ya watu wazima.

Propaganda zingine itumike na akili kidogo basi.
mkuu unawalaumu bure hao AJ hata hao IDF wenyewe sijui kama washawahi kutana na hao wazee wa kazi Hamas ndo maana wenyewe wanajipigia tu yeyote likimkuta ewala,Israel wamevurugwa matokeo yake wanakamata wasio na hatia na kusingizia ndio Hamas,wacha AJ waripoti wanachokiona kama IDF jeshi bora kabisa duniani kwa mujibu wenu hawawaoni Hamas AJ watawezaje kuwaona..
 
Sasa kama wasipoingia huko wataiangamizaje hamas wanayotaka kuiangamiza
Ili uiangamize hamas basi unatakiwa uifate huko pangoni laa sivyo usahau kuimaliza
Nakuingia huko mapangoni mnaogopa mnategemea nn
Kumbe kama magaidi wa idf wanaogopa kufa basi hamas ipo sana
Kufutika hamas nikwamapenzi na uwezo wa Muumba pekee magaidi wa kizayuni kwaushirikiano wa mashoga zake hawatakaa wafanikiwe
Sheikh vita mbinu ikiwa ni pamoja na ku calculate hasara ya vita( loss of trained individuals) huwezi ukasokomeza kwenye mashimo askari uliofundisha kwa garama kwenda kwenye operation ya kumfata Hamas mashimoni. Hakuna jeshi chini ya jua linaweza kuingia humo mashimoni zaidi ya kutumia mbinu mbadala ndo maana Israel ilizuia supply ya necessities ( mafuta,chakula na maji) zisiwafikie Hamas mapangoni hiyo ni mbinu ya kivita. Hata Hamas wanao surrender sasa hivi wanakimbia mafuliko ya maji yasije wapata huko mapangoni kumbuka Israel imeanza kuyajaza maji mapango.
 
mkuu unawalaumu bure hao AJ hata hao IDF wenyewe sijui kama washawahi kutana na hao wazee wa kazi Hamas ndo maana wenyewe wanajipigia tu yeyote likimkuta ewala,Israel wamevurugwa matokeo yake wanakamata wasio na hatia na kusingizia ndio Hamas,wacha AJ waripoti wanachokiona kama IDF jeshi bora kabisa duniani kwa mujibu wenu hawawaoni Hamas AJ watawezaje kuwaona..
Mkuu IDF wamepigana na waarabu miaka 60 na hakuna jpya waarabu wamefanya zaidi ya kulia lia tu
Umesahau vita ya PLO NA IDF 1982 mjini beirut.
Tatizo la waarabu na waislamu ngonjera nyingiiiiii.
 
Ukiwa muongo, pia uwe makini. Kwa muda wote vita hii imepiganwa hajafa wala kutangazwa wangapi wa Hamas wamekufa! Picha zinazorushwa ni za vitoto tuu na kidogo wanawake.

Cha ajabu ukiangalia TV hiyo hiyo, miili mingi ya maiti zilizokufa GAZA na iliyofunikwa kwenda kuzikwa ni ya watu wazima.

Propaganda zingine itumike na akili kidogo basi.
Kwani BBC, CNN Sky News nk nk wanatangazaga kichapo wanachokitoa Hamas? Kama Aljezeela hawatanagazi waambie BBC watangaze
 
Ukiwa muongo, pia uwe makini. Kwa muda wote vita hii imepiganwa hajafa wala kutangazwa wangapi wa Hamas wamekufa! Picha zinazorushwa ni za vitoto tuu na kidogo wanawake.

Cha ajabu ukiangalia TV hiyo hiyo, miili mingi ya maiti zilizokufa GAZA na iliyofunikwa kwenda kuzikwa ni ya watu wazima.

Propaganda zingine itumike na akili kidogo basi.
Ivi wewe unajua kuangalia Televishen? Aljazeera ndio TV pekee inayoleta kila kinachojiri hayo majengo ya raia waliyoangusha Israel pia ni habari za upande ule lakini bado zipo live muda wote, injured, waliokufa nk wako wazi sana kuliko BBC na CNN
 
Sheikh vita mbinu ikiwa ni pamoja na ku calculate hasara ya vita( loss of trained individuals) huwezi ukasokomeza kwenye mashimo askari uliofundisha kwa garama kwenda kwenye operation ya kumfata Hamas mashimoni. Hakuna jeshi chini ya jua linaweza kuingia humo mashimoni zaidi ya kutumia mbinu mbadala ndo maana Israel ilizuia supply ya necessities ( mafuta,chakula na maji) zisiwafikie Hamas mapangoni hiyo ni mbinu ya kivita. Hata Hamas wanao surrender sasa hivi wanakimbia mafuliko ya maji yasije wapata huko mapangoni kumbuka Israel imeanza kuyajaza maji mapango.
Kwahio baada ya muda gani hamas haitasikika tena
Sio mujaze maji tu yaani jazeni hata na mafuta
Suala la kuifuta hamas mulisahau kabisaaa
 
Punguzeni kuandika kwa mihemko!Wapiganaji wa Hamas wako wangapi? Kama Hata75% ya waliokufa wangekuwa Hamas basi Hamas wote wangekuwa wamekwisha.

Ila ndio kwanza mapigano yanazidi kuwa makali!
Mpaka sasa hakuna huo ushahidi kuwa Hamas anajificha kwenye mahospitali na kambi za UN!

Wewe huo ushahidi umeuona wapi zaidi ya video za Israel ambazo nazo zimebuma vibaya baada ya kuonekana kuwa zimetengenezwa!

Watu inajulikana wako kwenye mahandaki,Wewe unashusha majengo ya kiraia!Anachofanya Israel ni collective punishment!

Biden leo mwenyewe kaseme Israel inapoteza international support kutokana na "indiscriminate bombing of Gaza"!Umeelewa hapo?

Yaani Israel anapiga mabomu hovyo hovyo bila umakini wa anacholenga Huko Gaza!

Sasa Wewe uko wapi sijui unakuja na porojo zako hapa!
Umejitia ufahamu.Umeingea kishabiki sana.
 
Back
Top Bottom