joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Fox,CNN,BBC ,Sky news zote hazipo upande wa Palestine na hicho anacho ripoti Al Jazeera ni robo tu yanayo tokea Palestina, zaidi ya robo tatu yanayo tokea Palestina haya ripotiwi na uzuri dunia imejua ukweli,kura UN zimepigwa mara tatu zaidi ya asilimia themanini wana msupport Mpalestina,mpaka kura za juzi Canada,Spain,Ireland nk kutoka Europe wanamsupport Palestina.Ukiwa muongo, pia uwe makini. Kwa muda wote vita hii imepiganwa hajafa wala kutangazwa wangapi wa Hamas wamekufa! Picha zinazorushwa ni za vitoto tuu na kidogo wanawake.
Cha ajabu ukiangalia TV hiyo hiyo, miili mingi ya maiti zilizokufa GAZA na iliyofunikwa kwenda kuzikwa ni ya watu wazima.
Propaganda zingine itumike na akili kidogo basi.