Akili hz, tuliosoma st kayumba, zenye watoto 100 darasani, tunajua tofsuti na hizi unazoziita, st kayumba zilizochangamka, yaani kwenda kwa miguu shuleni,na Kidumu na fagio, ni sawa na kupanda basi? We jamaa utakuwa na msongo sana, tofauti ipo kubwa tu, sie huko kwenye st kayumba zilizochangamka, tunafata miundombinu iliyo Bora zaidi ya hizo st kayumba,
Kuhusu mikopo ya elimu ya juu, bodi haina uwezo wa kutoa asilimia 100 kwa wote walioomba, usijipe moyo kwamba mtoto wako akisoma jalalani ni kigezo cha kupata mkopo,watu walikosa mkopo 2002! Wat apata kesho, na idsdi ya watoto inazidi kuongezeka!
Kusema tusomeshe shule za milioni 10 kwa mwaka,bro we utakuwa unaishi kwenye tamthilia za ki Filipino, unajua vipato vya m Tanzania, kima cha Chini 300K! Pato kwa siku Chini ya 2500,utapata wapi hizo, milionj?
"When the best is not available, what is available is the best" Usiishi kwa kukalili,