Alicho kipost Julius Mtatiro kuhusu wazazi wenye watoto wanaosoma shule za English Mediums

Alicho kipost Julius Mtatiro kuhusu wazazi wenye watoto wanaosoma shule za English Mediums

Asome Uingereza, Tanzania, English medium au Kayumba.
Kama mtoto hana akili ni hana tuu.
Wapo waliosoma Marekani from Vidudu mpaka chuo ninawajua wapo hapahapa Tanzania na hakuna lolote la maana walilofanya.

Somesha kwa uwezo wako.
Na sio ukope mtoto asome.
ur the true son of ur father. Baba ako wala hajasingiziwa. Big up sana mkuu
 
Hili ni dongo la kiutu uzima mjue? Linasadifu uhalisia kwenye jamii yetu..

Halafu ndugu zangu wabongo mbona mnapenda kujistress sana aisee???

Wabongo tunakuwaga na ujinga mwingi sana.


Kuna wabongo huwaga wana amini mtu mzima lazima uwe na mawazo mawazo hivi na stress ndio maana wanapenda kujistress kwa sababu ambazo hazina kichwa wala miguu.

Ishi na kanuni hii👇

If your money is not bigger enough to buy you a house, then you have to eat that money.

English Medium ambayo at least unatakiwa kumpeleka mtoto wako ni ile inayo toza ada ya kuanzia at least sh.milioni kumi kwa mwaka na iwe chini ya taasisi. Lakini hizi za kulipa milioni moja na nusu mpaka 3 kwa mwaka au laki tatu kila baada ya miezi mitatu ma zenye kumilikiwa na kina Mr. And Mrs. MUGETTA , ni Kayumba zilizo changamka.. Yani nilipe hela mtoto wangu asomeshwe kiingereza na mtu ambae anaongea kiswahili kama lugha yake ya mawasiliano + kiingereza sio lugha yake ya kwanza? 🤣🤣🤣

Mwisho wa siku unaishia kumsumbua mtoto wako to atakapofika chuo kikuu. Atanyimwa mkopo na wewe hautokuwa na uwezo wa kulipa hayo mamilioni ya chuo..

To be honest, Hizi English Mediums ni kama brands tu na kumsomesha mtoto wako hasa mtoto wa kike kwenye shule hizo ni sawa na " ku mbrand tu" 🤣🤣🤣


Kwa wewe baba ambae bado hujasanuka let me remind you of one thing 👇

The most biggest challenge of being a father is that everyone want it NOW.

The children want to eat now. The children need to go to the hospital now. Their mother want to saloon Now. Their mother want you to have sex with her now. Etc.

Everything about a father is revolving around the word NOW.


And NOW

1. The schools are opened now.

2. Your children want to go to school now.

3. Your wife want to call her friends now boosting yo them ,that you have finished paid for the school fees.

4. And the teachers need the money now.

5. If you don't pay the money now.

6. Your children won't be allowed to go school now.

WHAT ARE YOU WAITING NOW GO AND PAY THE SCHOOL FEES NOW
Andikankiswahili tu English siyo lugha yako! To go to the hospital? Yaani Kiingereza chako kimajaa ma "the"
 
Hili ni dongo la kiutu uzima mjue? Linasadifu uhalisia kwenye jamii yetu..

Halafu ndugu zangu wabongo mbona mnapenda kujistress sana aisee???

Wabongo tunakuwaga na ujinga mwingi sana.


Kuna wabongo huwaga wana amini mtu mzima lazima uwe na mawazo mawazo hivi na stress ndio maana wanapenda kujistress kwa sababu ambazo hazina kichwa wala miguu.

Ishi na kanuni hii[emoji116]

If your money is not bigger enough to buy you a house, then you have to eat that money.

English Medium ambayo at least unatakiwa kumpeleka mtoto wako ni ile inayo toza ada ya kuanzia at least sh.milioni kumi kwa mwaka na iwe chini ya taasisi. Lakini hizi za kulipa milioni moja na nusu mpaka 3 kwa mwaka au laki tatu kila baada ya miezi mitatu ma zenye kumilikiwa na kina Mr. And Mrs. MUGETTA , ni Kayumba zilizo changamka.. Yani nilipe hela mtoto wangu asomeshwe kiingereza na mtu ambae anaongea kiswahili kama lugha yake ya mawasiliano + kiingereza sio lugha yake ya kwanza? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mwisho wa siku unaishia kumsumbua mtoto wako to atakapofika chuo kikuu. Atanyimwa mkopo na wewe hautokuwa na uwezo wa kulipa hayo mamilioni ya chuo..

To be honest, Hizi English Mediums ni kama brands tu na kumsomesha mtoto wako hasa mtoto wa kike kwenye shule hizo ni sawa na " ku mbrand tu" [emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Kwa wewe baba ambae bado hujasanuka let me remind you of one thing [emoji116]

The most biggest challenge of being a father is that everyone want it NOW.

The children want to eat now. The children need to go to the hospital now. Their mother want to saloon Now. Their mother want you to have sex with her now. Etc.

Everything about a father is revolving around the word NOW.


And NOW

1. The schools are opened now.

2. Your children want to go to school now.

3. Your wife want to call her friends now boosting yo them ,that you have finished paid for the school fees.

4. And the teachers need the money now.

5. If you don't pay the money now.

6. Your children won't be allowed to go school now.

WHAT ARE YOU WAITING NOW GO AND PAY THE SCHOOL FEES NOW
Tuwekee post

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Hili ni dongo la kiutu uzima mjue? Linasadifu uhalisia kwenye jamii yetu..

Halafu ndugu zangu wabongo mbona mnapenda kujistress sana aisee???

Wabongo tunakuwaga na ujinga mwingi sana.


Kuna wabongo huwaga wana amini mtu mzima lazima uwe na mawazo mawazo hivi na stress ndio maana wanapenda kujistress kwa sababu ambazo hazina kichwa wala miguu.

Ishi na kanuni hii[emoji116]

If your money is not bigger enough to buy you a house, then you have to eat that money.

English Medium ambayo at least unatakiwa kumpeleka mtoto wako ni ile inayo toza ada ya kuanzia at least sh.milioni kumi kwa mwaka na iwe chini ya taasisi. Lakini hizi za kulipa milioni moja na nusu mpaka 3 kwa mwaka au laki tatu kila baada ya miezi mitatu ma zenye kumilikiwa na kina Mr. And Mrs. MUGETTA , ni Kayumba zilizo changamka.. Yani nilipe hela mtoto wangu asomeshwe kiingereza na mtu ambae anaongea kiswahili kama lugha yake ya mawasiliano + kiingereza sio lugha yake ya kwanza? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mwisho wa siku unaishia kumsumbua mtoto wako to atakapofika chuo kikuu. Atanyimwa mkopo na wewe hautokuwa na uwezo wa kulipa hayo mamilioni ya chuo..

To be honest, Hizi English Mediums ni kama brands tu na kumsomesha mtoto wako hasa mtoto wa kike kwenye shule hizo ni sawa na " ku mbrand tu" [emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Kwa wewe baba ambae bado hujasanuka let me remind you of one thing [emoji116]

The most biggest challenge of being a father is that everyone want it NOW.

The children want to eat now. The children need to go to the hospital now. Their mother want to saloon Now. Their mother want you to have sex with her now. Etc.

Everything about a father is revolving around the word NOW.


And NOW

1. The schools are opened now.

2. Your children want to go to school now.

3. Your wife want to call her friends now boosting yo them ,that you have finished paid for the school fees.

4. And the teachers need the money now.

5. If you don't pay the money now.

6. Your children won't be allowed to go school now.

WHAT ARE YOU WAITING NOW GO AND PAY THE SCHOOL FEES NOW
Akili hz, tuliosoma st kayumba, zenye watoto 100 darasani, tunajua tofsuti na hizi unazoziita, st kayumba zilizochangamka, yaani kwenda kwa miguu shuleni,na Kidumu na fagio, ni sawa na kupanda basi? We jamaa utakuwa na msongo sana, tofauti ipo kubwa tu, sie huko kwenye st kayumba zilizochangamka, tunafata miundombinu iliyo Bora zaidi ya hizo st kayumba,
Kuhusu mikopo ya elimu ya juu, bodi haina uwezo wa kutoa asilimia 100 kwa wote walioomba, usijipe moyo kwamba mtoto wako akisoma jalalani ni kigezo cha kupata mkopo,watu walikosa mkopo 2002! Wat apata kesho, na idsdi ya watoto inazidi kuongezeka!
Kusema tusomeshe shule za milioni 10 kwa mwaka,bro we utakuwa unaishi kwenye tamthilia za ki Filipino, unajua vipato vya m Tanzania, kima cha Chini 300K! Pato kwa siku Chini ya 2500,utapata wapi hizo, milionj?
"When the best is not available, what is available is the best" Usiishi kwa kukalili,
 
Ni ajabu mtoto niwe na uwezo wa kumlipia 20mil. kama ada then mwishoni akafanye interview!

Mkopo ni nini kama 20mil. anaimudu?

Si bora aje kufanya nnachofanya naipata hiyo 20mil kuliko akaajiriwe labda kama mzazi ni politician ila bado kuajiriwa sio my option kwake

Linalo wezekana sasa hivi lifanyike kesho itajisumbukia yenyewe, bora msingi uimarike kuliko msingi uwe lege lege afu ukuta uwe imara!

Lakini pia wao mbona watoto wao hawapo huko Kayumba? Mambo yafanyike kulingana na uwezo

Lakini pia hawa wanachuo wa miaka hii sijui ni kwa nini sio tishio kama zamani uwezo wao wa kupambanua mambo kama wasomi unatia shaka sana sijui elimu kwa sasa imekuweje?

Wasomi wa sasa sijui ni siasa ya Tanzania hawaonekani kabisa po pote pale utakapo muweka kujitofautisha kama msomi hakuna!

Hata hiyo serikali shule zake za kayumba hazitoshelezi mahitaji ya st. Kayumba sasa wanachi wote wahamishie watoto huko itawezekana kweli kisa mkopo mbeleni?

Kama umeandikiwa shida zitakuandama tu

Linalowezekana leo lisingoje kesho
 
Akili hz, tuliosoma st kayumba, zenye watoto 100 darasani, tunajua tofsuti na hizi unazoziita, st kayumba zilizochangamka, yaani kwenda kwa miguu shuleni,na Kidumu na fagio, ni sawa na kupanda basi? We jamaa utakuwa na msongo sana, tofauti ipo kubwa tu, sie huko kwenye st kayumba zilizochangamka, tunafata miundombinu iliyo Bora zaidi ya hizo st kayumba,
Kuhusu mikopo ya elimu ya juu, bodi haina uwezo wa kutoa asilimia 100 kwa wote walioomba, usijipe moyo kwamba mtoto wako akisoma jalalani ni kigezo cha kupata mkopo,watu walikosa mkopo 2002! Wat apata kesho, na idsdi ya watoto inazidi kuongezeka!
Kusema tusomeshe shule za milioni 10 kwa mwaka,bro we utakuwa unaishi kwenye tamthilia za ki Filipino, unajua vipato vya m Tanzania, kima cha Chini 300K! Pato kwa siku Chini ya 2500,utapata wapi hizo, milionj?
"When the best is not available, what is available is the best" Usiishi kwa kukalili,
When the best is not available what is available is the best. Very powerful.

Hayo mengine kuhusu kulipa mamilioni sikubaliani na wewe mkuu
 
Shule zetu za serikali msiziite Kayumba nyie mabwege, km hmna uzalendo ondokeni ktk ardhi yetu. Mbona UDSM, UDOM, SUA, MZUMBE IFM, IAA n.k hamziiti Kayumba? Mapumbavu sn nyie makenge
Nimekosa Mimi nimekosa Mimi nimekosa sana
 
Utajiri ni kusoma kutumia lugha ya waingereza? We bado uko kwenye ukoloni wa mwingereza. Hata vichaa waingereza wanaongea kiingereza. Wanaosomesha watoto wao English medium ni malimbukeni na watumwa ambao bado wanataliwa mwingereza. Elimu siyo lugha. Mtapigwa na wajanja mpaka akili ziwakae mtakuwa mchelewa sana.
Napigilia nyundo comment yako
 
watoto wangu wote 4 wamesoma shule za serikali na wamefaulu vzr. 2 vyuo vikuu. 1 yupo form 5. wa mwisho binti yangu kipenzi January hii anaanza form 1. sina stress.. huko private mtaugua ugonjwa wa moyo
Ur the true son of your father. Watoto wako ni wa miaka ya elfu 2?
 
Back
Top Bottom