Hatutaki "msaliti"Zitto apate credit kupitia kwa M/kiti wa chama chetu.Lissu AMEOMBA kukutana na Mama Samia. Zitto didn’t. Sio Lissu huyu huyu aliyesema hamtokutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe bila masharti? Mnapokuwa waongo basi muwe na kumbukumbu [emoji1787]
Cc Jasusi
Kwa hiyo nawe unataka kusema Mbowe ametenda kosa kwa maana kuwa ni gaidi, hivyo basi gaidi anapaswa kuomba msamaha.Naunga mkono hoja.
P
Lissu kawapiga changa la macho. Kwenye spesi anawaambia hakuna kukutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe, kumbe faraghani anaomba poo.mmeingizwa choo cha kike daaahKwa hiyo nawe unataka kusema Mbowe ametenda kosa kwa maana kuwa ni gaidi, hivyo basi gaidi anapaswa kuomba msamaha.
Very very technical ati ehee. Mimi ni CCM damu damu, narudia tena na tena, fitina kwangu ni mwiko, ukweli ni huu: CHADEMA mkikiri kosa automatically chama chenu ni chama cha magaidi.
Ikiwa mko hivyo, hima kaombeni msamaha
Hapo kijani ndio nyumbani kwa fitina.Kwa hiyo nawe unataka kusema Mbowe ametenda kosa kwa maana kuwa ni gaidi, hivyo basi gaidi anapaswa kuomba msamaha.
Very very technical ati ehee. Mimi ni CCM damu damu, narudia tena na tena, fitina kwangu ni mwiko, ukweli ni huu: CHADEMA mkikiri kosa automatically chama chenu ni chama cha magaidi.
Ikiwa mko hivyo, hima kaombeni msamaha
Mama anaelewa faida za kukutana na Lissu na Lissu anaelewa faida za kukutana na Mama. Faida hiyo ni kwa ajili yao na kwa taifa. Na sasa wamekutana na umuhimu tutauona.Wanaukumbi.
Tundu Lissu, ameomba kukutana na Raia Samia moja ya ombi ilikuwa ni suala la Freeman Mbowe, alimalise Mbowe atoke jela, ombi hilo ndiyo aliomba Zitto Kabwe, kwa Rais Samia lakini alishambuliwa na wafuasi wa Chadema utadhani kafanya kosa la jinai.
Tundu Lissu, huyu huyu aliyesema Chadema hamtokutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe bila masharti.
Wafuasi wa Chadema walivyokuwa wanafiki wanamsifia Tundu Lissu.
Wakati wenzenu wanaenda shule nyie mlikua mnaendesha magari ya maboksi mitaani... Kuna mahali umeona wameandika Lissu amemuombea msamaha Mh Mbowe?Wanaukumbi.
Tundu Lissu, ameomba kukutana na Raia Samia moja ya ombi ilikuwa ni suala la Freeman Mbowe, alimalise Mbowe atoke jela, ombi hilo ndiyo aliomba Zitto Kabwe, kwa Rais Samia lakini alishambuliwa na wafuasi wa Chadema utadhani kafanya kosa la jinai.
Tundu Lissu, huyu huyu aliyesema Chadema hamtokutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe bila masharti.
Wafuasi wa Chadema walivyokuwa wanafiki wanamsifia Tundu Lissu.
Lissu kawapiga changa la macho wenzake Kwenye spesi anawaambia hakuna kukutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe, kumbe faraghani anaomba poo. Lissu kafanya maamuzi peke yake bila kuwashirikisha wenzake.
Kama huoni tofauti ya hizo hoja za hao watu wawili utakua na matatizo yakufikiri.Maana hakuitaji kua na degree kujua tofauti kati ya kuomba au kuombewa msamaha na kesi kufutwa bila masharti.hizi siasa uchwara zisitutoe akili.Bavicha hawakupenda aseme Zitto hakuna tofauti ya Zitto na lLissu wote wamemshauri Rais amuachie Mbowe.
Usiwe punguani wewe unashikiwa akili na Bavicha weka ushahidi wa video vlip Zitto akimuombea msamaha Mbowe ukiweka najitoa JF.Wakati wenzenu wanaenda shule nyie mlikua mnaendesha magari ya maboksi mitaani... Kuna mahali umeona wameandika Lissu amemuombea msamaha Mh Mbowe?
Ndugu,Wakati chadema wamekazia Sana hawatafanya mazungumzo yoyote na serikali ya Samia na kumshutumu zitto kumtakia msamaha mwenyekiti wa CDM.
Hatimaye tundu lisu makamu mwenyekiti cdm amekula matapishi yake baada kwa KUOMBA KIKAO MAALUM NA RAIS SAMIA" Na kumtakia msamaha mwenyekiti.
Lisu alimsema vibaya Sana zitto kwa kukaa na Rais kumuombea mbowe Leo hata arobaini hazijaisha lisu naye makamu mwenyekiti mzima amemtafuta na kumuombea rais waongelee msamaha kwa kushiñdwa, ni Jambo jema.
Busara imechukua nafasi tangu mwanzo rais aliomba mjadara na vyama pinzani chadema wakashupaza shingo Sasa imevunjika , aliyeshika mpini muachie...
Lisu aliomba appointments na rais na alikaribishwa huko ubeligiji katika Jambo jema alioliomba NI kuachiwa kwa mbowe.
Tuna mtaka mbowe kuliko wakati WOWOTE kwa ustawi wa nchi.
Wanaukumbi.
Tundu Lissu, ameomba kukutana na Raia Samia moja ya ombi ilikuwa ni suala la Freeman Mbowe, alimalise Mbowe atoke jela, ombi hilo ndiyo aliomba Zitto Kabwe, kwa Rais Samia lakini alishambuliwa na wafuasi wa Chadema utadhani kafanya kosa la jinai...
ushahidi huu hapaUsiwe punguani wewe unashikiwa akili na Bavicha weka ushahidi wa video vlip Zitto akimuombea msamaha Mbowe ukiweka najitoa JF.
Magari ya maboksi inahitaji akili kuyatengeneza na kunakuza akili, walioendesha maringi ambayo tayari yalisha andaliwa ndio shida zaidi😃Wakati wenzenu wanaenda shule nyie mlikua mnaendesha magari ya maboksi mitaani... Kuna mahali umeona wameandika Lissu amemuombea msamaha Mh Mbowe?
Kwanza una uhakika kuwa Lissu aliomba kukutana na Maza au kwa vile Zuhura kasema hivyo ...!!Wanaukumbi.
Tundu Lissu, ameomba kukutana na Raia Samia moja ya ombi ilikuwa ni suala la Freeman Mbowe, alimalise Mbowe atoke jela, ombi hilo ndiyo aliomba Zitto Kabwe, kwa Rais Samia lakini alishambuliwa na wafuasi wa Chadema utadhani kafanya kosa la jinai...