Alichofanya Tundu Lissu, ndicho alichofanya Zitto Kabwe, kwa Rais Samia

Alichofanya Tundu Lissu, ndicho alichofanya Zitto Kabwe, kwa Rais Samia

Chadema wana matatizo sana ,zitto alipotoa ombi kwa raisi ili Mbowe asamehewe walishupaza shingo .

Na kusema hawahitaji huruma wala hawakumtuma zitto,leo hii Lissu nae kaomba kwa raisi Mbowe asamehewe na achiwe wamekaa na kweli wanakenua.kana kwamba Lissu kasema la maana na tofauti kumzidi zitto .

Hatuoni tofaufi labda Lissu kaomba akiwa ulaya na zitto yupo bongo.

Chadema wacheni unaa mpeni zitto sifa zake za kiongozi amewazidi sana!
 
Lissu AMEOMBA kukutana na Mama Samia. Zitto didn’t. Sio Lissu huyu huyu aliyesema hamtokutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe bila masharti? Mnapokuwa waongo basi muwe na kumbukumbu 🤣

Cc Jasusi
Hauoni maelezo ya lissu na ya zitto yana utofauti mkubwa sana??

Zitto alisema mbowe asamehewe as if Mbowe ana makosa anaomba huruma ya mama. Ndio maana chadema walimzodoa

Lissu amemwambia rais hii kesi ni ya mchongo, jamuburi imeshindwa kutoa ushaidi mahakamani, haina maslahi yoyote kwa taifa zaidi ya kuligawa taifa na kuongeza chuki. Aitupilie mbali ili kuliweka taifa paamoja.

Sisi chadema tunajielewa sana. Lissu aliomba kukutana na mama kabla hata mbowe kukamatwa na kubambikiwa kesi ya michongo. Hilo nalo hulikumbuki?
 
Amemwambia aachiwe na hajamuombea msamaha
Chadema wana matatizo sana ,zitto alipotoa ombi kwa raisi ili Mbowe asamehewe walishupaza shingo .

Na kusema hawahitaji huruma wala hawakumtuma zitto,leo hii Lissu nae kaomba kwa raisi Mbowe asamehewe na achiwe wamekaa na kweli wanakenua.kana kwamba Lissu kasema la maana na tofauti kumzidi zitto .

Hatuoni tofaufi labda Lissu kaomba akiwa ulaya na zitto yupo bongo.

Chadema wacheni unaa mpeni zitto sifa zake za kiongozi amewazidi sana!
h
 
Nchi hii hakujawahi na chama Chenye watu wenye mtindio wa ubongo kama wa Chaggadema.

Wamejaaa chukiiii kaliiiiiiiiii kama Koboko, UNAFIKI, na UBINAFSI ULIOOTA MIZIZI.
 
Wanaukumbi.

Tundu Lissu, ameomba kukutana na Raia Samia moja ya ombi ilikuwa ni suala la Freeman Mbowe, alimalise Mbowe atoke jela, ombi hilo ndiyo aliomba Zitto Kabwe, kwa Rais Samia lakini alishambuliwa na wafuasi wa Chadema utadhani kafanya kosa la jinai.

Tundu Lissu, huyu huyu aliyesema Chadema hamtokutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe bila masharti.

Wafuasi wa Chadema walivyokuwa wanafiki wanamsifia Tundu Lissu.

Duuuh kwahiyo Rais Samia alifunga safari mpaka ubelgiji kwa kutumia kodi zetu kwenda kuitikia wito Tundu Lissu??[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15], how powerful is Tundu Lissu???
 
Chadema wana matatizo sana ,zitto alipotoa ombi kwa raisi ili Mbowe asamehewe walishupaza shingo .

Na kusema hawahitaji huruma wala hawakumtuma zitto,leo hii Lissu nae kaomba kwa raisi Mbowe asamehewe na achiwe wamekaa na kweli wanakenua.kana kwamba Lissu kasema la maana na tofauti kumzidi zitto .

Hatuoni tofaufi labda Lissu kaomba akiwa ulaya na zitto yupo bongo.

Chadema wacheni unaa mpeni zitto sifa zake za kiongozi amewazidi sana!
Kama umeshindwa kungamua tofauti basi unashida kubwa kwenye thinking capacity
 
Chadema wana matatizo sana ,zitto alipotoa ombi kwa raisi ili Mbowe asamehewe walishupaza shingo .

Na kusema hawahitaji huruma wala hawakumtuma zitto,leo hii Lissu nae kaomba kwa raisi Mbowe asamehewe na achiwe wamekaa na kweli wanakenua.kana kwamba Lissu kasema la maana na tofauti kumzidi zitto .

Hatuoni tofaufi labda Lissu kaomba akiwa ulaya na zitto yupo bongo.

Chadema wacheni unaa mpeni zitto sifa zake za kiongozi amewazidi sana!
Naunga mkono hoja.
P
 
Wanaukumbi.

Tundu Lissu, ameomba kukutana na Raia Samia moja ya ombi ilikuwa ni suala la Freeman Mbowe, alimalise Mbowe atoke jela, ombi hilo ndiyo aliomba Zitto Kabwe, kwa Rais Samia lakini alishambuliwa na wafuasi wa Chadema utadhani kafanya kosa la jinai.

Tundu Lissu, huyu huyu aliyesema Chadema hamtokutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe bila masharti.

Wafuasi wa Chadema walivyokuwa wanafiki wanamsifia Tundu Lissu.
Naunga mkono hoja
P
 
Wanaukumbi.

Tundu Lissu, ameomba kukutana na Raia Samia moja ya ombi ilikuwa ni suala la Freeman Mbowe, alimalise Mbowe atoke jela, ombi hilo ndiyo aliomba Zitto Kabwe, kwa Rais Samia lakini alishambuliwa na wafuasi wa Chadema utadhani kafanya kosa la jinai.

Tundu Lissu, huyu huyu aliyesema Chadema hamtokutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe bila masharti.

Wafuasi wa Chadema walivyokuwa wanafiki wanamsifia Tundu Lissu.
Kwani alimfuata mwenzake ni nani kati yao
 
Wanaukumbi.

Tundu Lissu, ameomba kukutana na Raia Samia moja ya ombi ilikuwa ni suala la Freeman Mbowe, alimalise Mbowe atoke jela, ombi hilo ndiyo aliomba Zitto Kabwe, kwa Rais Samia lakini alishambuliwa na wafuasi wa Chadema utadhani kafanya kosa la jinai.

Tundu Lissu, huyu huyu aliyesema Chadema hamtokutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe bila masharti.

Wafuasi wa Chadema walivyokuwa wanafiki wanamsifia Tundu Lissu.

Hutakuwa umejichanganya ndugu DAS?

IMG_20220216_212136_442.jpg
 
Freeman Mbowe, alimalise Mbowe atoke jela, ombi hilo ndiyo aliomba Zitto Kabwe
Kuna tofauti kati ya kusema;

“mwenzetu hayupo hapa kwa sababu ana changamoto za kisheria, itafutwe namna, ASAMEHEWE” - Zitto Kabwe

“kesi ya mwenyekiti Mbowe ni 'ubatili mtupu na ushahidi ni wa uongo' na hailisaidiu taifa kwa lolote, IONDOLEWE
- Tundu Lissu

----👇
 
Anyways hata Professor atakapokuja kujua alichangiwa na wewe pia atashangaa.

Wakati wa shida we appreciate kwa kila jema.
 
Hutakuwa umejichanganya ndugu DAS?

View attachment 2121683
Huyu das hajitambui. Hili swala na Rais kwenda kumwona lilikuwa halikwepeki.

Umoja wa ulaya wanajua lissu yuko ubelgiji kama mkimbizi wa kisiasa na ziara Rais aliyoenda huko angarudi bila kumwona lissu huenda umoja wa ulaya wangemshangaa sana.

Kitendo cha mama kumtembelea lissu ni boonge la goli kwa serikali ya tanzania yaani mama ameonyesha kuwa serikali anayoiongoza yeye hakuna ugomvi nao.
 
Wakati chadema wamekazia Sana hawatafanya mazungumzo yoyote na serikali ya Samia na kumshutumu zitto kumtakia msamaha mwenyekiti wa CHADEMA.

Hatimaye tundu lisu makamu mwenyekiti CHADEMA amekula matapishi yake baada kwa KUOMBA KIKAO MAALUM NA RAIS SAMIA" Na kumtakia msamaha mwenyekiti.

Lisu alimsema vibaya Sana zitto kwa kukaa na Rais kumuombea mbowe Leo hata arobaini hazijaisha lisu naye makamu mwenyekiti mzima amemtafuta na kumuombea rais waongelee msamaha kwa kushiñdwa, ni Jambo jema.

Busara imechukua nafasi tangu mwanzo rais aliomba mjadara na vyama pinzani chadema wakashupaza shingo Sasa imevunjika , aliyeshika mpini muachie...

Lisu aliomba appointments na rais na alikaribishwa huko ubeligiji katika Jambo jema alioliomba NI kuachiwa kwa mbowe.
Tuna mtaka mbowe kuliko wakati WOWOTE kwa ustawi wa nchi.
 
Huyu das hajitambui. Hili swala na Rais kwenda kumwona lilikuwa halikwepeki. Umoja wa ulaya wanajua lissu yuko ubelgiji kama mkimbizi wa kisiasa na ziara Rais aliyoenda huko angarudi bila kumwona lissu huenda umoja wa ulaya wangemshangaa sana...
Uvccm lazima waugulie maumivu makali mno kuliko maelezo.

Na bado!
 
Back
Top Bottom