Alichofanya Tundu Lissu, ndicho alichofanya Zitto Kabwe, kwa Rais Samia

Alichofanya Tundu Lissu, ndicho alichofanya Zitto Kabwe, kwa Rais Samia

Lissu amefanya kama kiongozi wa chama, zitto alifanya kama nani?.

Yaani Manara aende TFF akaiombee msamaha SIMBA?. Wewe sheikh umekula kitimoto eeee....
 
Wanaukumbi.

Tundu Lissu, ameomba kukutana na Raia Samia moja ya ombi ilikuwa ni suala la Freeman Mbowe, alimalise Mbowe atoke jela, ombi hilo ndiyo aliomba Zitto Kabwe, kwa Rais Samia lakini alishambuliwa na wafuasi wa Chadema utadhani kafanya kosa la jinai.

Tundu Lissu, huyu huyu aliyesema Chadema hamtokutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe bila masharti.

Wafuasi wa Chadema walivyokuwa wanafiki wanamsifia Tundu Lissu.
Ambacho haufahamu ama kwa makusudi au kwa ujinga wa kutokuwa na taarifa...
Lissu tangu mwaka jana mwanzoni aliomba kikao na Rais Samia na lengo ni mazungumzo ya kutafuta muafaka,huyo Zitto kadandia treni kwa mbele kwa ajili tu ya maslahi binafsi,hili ulisemi !
 
Wanaukumbi.

Tundu Lissu, ameomba kukutana na Raia Samia moja ya ombi ilikuwa ni suala la Freeman Mbowe, alimalise Mbowe atoke jela, ombi hilo ndiyo aliomba Zitto Kabwe, kwa Rais Samia lakini alishambuliwa na wafuasi wa Chadema utadhani kafanya kosa la jinai.

Tundu Lissu, huyu huyu aliyesema Chadema hamtokutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe bila masharti.

Wafuasi wa Chadema walivyokuwa wanafiki wanamsifia Tundu Lissu.
Salaam Wakuu,
Samia na Lissu walijikita hapa;

1.Kesi ya Mbowe-iondolewe

2.Zuio la vyama vya siasa kufanya mikutano na shughuli za kisiasa

3.Katiba mpya na Chaguzi huru

4.Usalama wake na wenzake waliopo uhamishoni,Haki zake za matibabu na mafao nk

Rais atoe kauli ya kumkaribisha nyumbani na kumpatia passport mpya baada ya kuibiwa ujerumani

Assurance kwa Lema na Wenje

5.Wabunge wa Covid-19

Rais aponye makovu ya nchi,ana jukumu la kuongoza chi kwa kurejesha mshikamano,atekeleze ahadi aliyotoa bungeni na kwenye barua kuwa atakutana na viongozi wa vyama vya siasa.

Raisi ameyapokea na Lissu ameshukuru kwa jambo hili.

Kuwa tayari kuondoa masuala yanayotatiza nchi na kuwe na nia ya DHATI Kujenga upya nchi kisheria,haki na maendeleo.
 
Rais Samia alikuwa na furaha Sana kukutana na Lissu, ameutua mzigo mkubwa uliokuwa moyoni
 
Speculations nyingiiii
All in all ' We must all be proud.....Tz ni yetu sote
Hongera kwa hata kitendo cha kukutana na kuzungumza bila msuluhishi ' hii ndio Tz aliyoiacha Mwl' Umoja Ushiriako zaidi Upendo
Wawili wale walijawa na nyuso za furaha
 
Lissu AMEOMBA kukutana na Mama Samia. Zitto didn’t. Sio Lissu huyu huyu aliyesema hamtokutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe bila masharti? Mnapokuwa waongo basi muwe na kumbukumbu 🤣

Cc Jasusi

Lete ushahidi wa hicho ukinenacho ili nasi tuchambue pumba na mchele
 
Wanaukumbi.

Tundu Lissu, ameomba kukutana na Raia Samia moja ya ombi ilikuwa ni suala la Freeman Mbowe, alimalise Mbowe atoke jela, ombi hilo ndiyo aliomba Zitto Kabwe, kwa Rais Samia lakini alishambuliwa na wafuasi wa Chadema utadhani kafanya kosa la jinai.

Tundu Lissu, huyu huyu aliyesema Chadema hamtokutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe bila masharti.

Wafuasi wa Chadema walivyokuwa wanafiki wanamsifia Tundu Lissu.
Unauhakika kuwa ndiyo ilo ombi,, nani alienda ubeligiji?
 
USIWAAMINI WANASIASA NDUGU ZANGU, MI TOKA KIPINDI KILE CHADEMA WAMPOKEE LOWASA NDANI YA CHAMA NA KUMPA NAFASI YA KUGOMBEA URAISI NILIAMUA KUKAA KANDO NA MAMBO YA POLTICS.
 
Wanaukumbi.

Tundu Lissu, ameomba kukutana na Raia Samia moja ya ombi ilikuwa ni suala la Freeman Mbowe, alimalise Mbowe atoke jela, ombi hilo ndiyo aliomba Zitto Kabwe, kwa Rais Samia lakini alishambuliwa na wafuasi wa Chadema utadhani kafanya kosa la jinai.

Tundu Lissu, huyu huyu aliyesema Chadema hamtokutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe bila masharti.

Wafuasi wa Chadema walivyokuwa wanafiki wanamsifia Tundu Lissu.
Haya nenda kaswali
 
Hayo ni maono yako, mimi pia naweza kusema baada ya mama kuona kuna aibu inakuja kwani dalili zote kuwa Freeman anashinda kesi zipo na itakuwa aibu kwake akaona yeye ndio akaombe msaada kwa Tundu Lisu ili aibu hii ya dunia imuepuke?
 
Acha kupotosha uma.Tuna kumbukumbu vizuri sana.

Kuna tofauti kati ya kusema;

“Mwenzetu hayupo hapa kwa sababu ana changamoto za kisheria, itafutwe namna, ASAMEHEWE” - Zitto Kabwe

na

“Kesi ya mwenyekiti Mbowe ni ubatili mtupu na ushahidi ni wa uongo na hailisaidii taifa kwa lolote, IONDOLEWE” - Tundu Lissu
 
Wanaukumbi.

Tundu Lissu, ameomba kukutana na Raia Samia moja ya ombi ilikuwa ni suala la Freeman Mbowe, alimalise Mbowe atoke jela, ombi hilo ndiyo aliomba Zitto Kabwe, kwa Rais Samia lakini alishambuliwa na wafuasi wa Chadema utadhani kafanya kosa la jinai.

Tundu Lissu, huyu huyu aliyesema Chadema hamtokutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe bila masharti.

Wafuasi wa Chadema walivyokuwa wanafiki wanamsifia Tundu Lissu.
Hawawezi kuacha kumsifia Kwa sababu wafuasi wote wa CHADEMA wanajua kinachoendelea mahakamani. Wanajua alichoongea Makamu Mwenyekiti wao Hakuna neno tunaomba umsamehe Mbowe. Kama Zitto angemweleza Samia ukweli kama aliomweleza Tundu Lissu Hakuna ambaye angemlaumu. Samia aliombwa na Zitto amsamehe Mbowe Kwa kosa gani alilotenda Mbowe?
 
Lissu amekutana na mama Samia, ajabu ni kuwa walioumia ni CCM na ACT. Sijui hii imekaaje?
 
Acha kupotosha uma.Tuna kumbukumbu vizuri sana.

Kuna tofauti kati ya kusema;

“Mwenzetu hayupo hapa kwa sababu ana changamoto za kisheria, itafutwe namna, ASAMEHEWE” - Zitto Kabwe

na

“Kesi ya mwenyekiti Mbowe ni ubatili mtupu na ushahidi ni wa uongo na hailisaidii taifa kwa lolote, IONDOLEWE” - Tundu Lissu
Hiyo nukuu ya pili LISSU alikuwa anamwambia Rais au MARIA SARUNGI??
 
Jibu ni kwamba Tundu Lissu ni mwanafamilia wa Mbowe so anaweza kupresent msimamo wa familia kuliko mamluki kama Zitto kuingilia suala hilo lisilomuhusu,hatujuhi msimamo wa CHADEMA inside kuhusu suala hili ni nini lakini inamake sense mwanafamilia akiongelea jambo linalohusu familia kuliko stranger from nowhere ambaye hachelewi kubadilika...
Unachekesha sana!!


Hili ndio tatizo kubwa sana kwa siasa za bongo, watu kuwa ndumila kuwili na ubinafsi.

Kisa aliongea Zitto ikawa nongwa leo kaongea Lissu amekuwa mwanafamilia.

Tujifunze kupunguza ujinga kwenye baadhi ya mambo haijalishi matokeo yake. Inaumiza mtu yule yule anabadilika kama kinyonga.
 
Nafikiri tatizo lilikuwa maneno tu ya kusema tunamwombea msamaha Mbowe na wengi wa Chadema wakasema msamaha kivipi wakati hana kosa! Ni tofauti sana na Lissu ambaye kasema kesi ya mbowe ni ya kutunga. Kumuombea mtu msamaha kisheria ni sawa na kukubali makosa na hapo ndiyo ilikuwa tatizo kwa mawazo yangu

Unafikiri hajui tofauti ya Great Lissu na Mnafiki Zitto!.Anajua sana sema anajaribu kupima upepo.
 
Wanaukumbi.

Tundu Lissu, ameomba kukutana na Raia Samia moja ya ombi ilikuwa ni suala la Freeman Mbowe, alimalise Mbowe atoke jela, ombi hilo ndiyo aliomba Zitto Kabwe, kwa Rais Samia lakini alishambuliwa na wafuasi wa Chadema utadhani kafanya kosa la jinai.

Tundu Lissu, huyu huyu aliyesema Chadema hamtokutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe bila masharti.

Wafuasi wa Chadema walivyokuwa wanafiki wanamsifia Tundu Lissu.
Acha KUPOTOSHA
 
Back
Top Bottom