Alichofanya Tundu Lissu, ndicho alichofanya Zitto Kabwe, kwa Rais Samia

Alichofanya Tundu Lissu, ndicho alichofanya Zitto Kabwe, kwa Rais Samia

Wanaukumbi.

Tundu Lissu, ameomba kukutana na Raia Samia moja ya ombi ilikuwa ni suala la Freeman Mbowe, alimalise Mbowe atoke jela, ombi hilo ndiyo aliomba Zitto Kabwe, kwa Rais Samia lakini alishambuliwa na wafuasi wa Chadema utadhani kafanya kosa la jinai...
Huu mkutano wa lissu na hangaya unawatesa sana uvccm, wafia chama na wale jamaa zetu wa zambarau
 
Mheshimiwa Zitto, aliposema haya mlimtukana.Hivi kuna definition nyingine ya UNAFIKI zaidi ya hii?
 
Huu mkutano wa lissu na hangaya unawatesa sana uvccm, wafia chama na wale jamaa zetu wa zambarau
Hahaha Bavicha bana si mlisema hamtokutana Rais Samia mpaka Mbowe aachiwe.
 
Wanaukumbi.

Tundu Lissu, ameomba kukutana na Raia Samia moja ya ombi ilikuwa ni suala la Freeman Mbowe, alimalise Mbowe atoke jela, ombi hilo ndiyo aliomba Zitto Kabwe, kwa Rais Samia lakini alishambuliwa na wafuasi wa Chadema utadhani kafanya kosa la jinai...
ZZK - Zana Za Kilimo (Mbeya). Tunajivunia matunda ya Mwl. J. K. Nyerere. Tungeweza kusimamia viwanda alivyoanzisha Nyerere, Tanzania ingekuwa mbali sana.

Sasa, leo tuna ZZK mwanasiasa machachari na msomi, lakini analaumiwa kuwa kuwadi wa siasa, tena siasa zinazolenga kudidimiza initiatives zinazoendana na falsafa ya Nyerere ya kuwa nchi ya kujitegemea.

Amejiunga nanyi, kama kuwadi wa "wawekezaji wakubwa na miradi mikubwa". Enzi zile tuliambiwa gesi ya mtwara itatutoa, leo tunaambiwa iko mikononi mwa wengine na bei yake haishikiki...sawa hamna shida maana hatuujui ukweli wote...twendeni na bandari ya Bagamoyo...twendeni na ngorongoro. Baada ya miongo kadhaa tutajua ukweli, shujaa ni nani na msaliti ni nani!!

Time will tell, kwa sasa binafsi sijui.
 
Wanaukumbi.

Tundu Lissu, ameomba kukutana na Raia Samia moja ya ombi ilikuwa ni suala la Freeman Mbowe, alimalise Mbowe atoke jela, ombi hilo ndiyo aliomba Zitto Kabwe, kwa Rais Samia lakini alishambuliwa na wafuasi wa Chadema utadhani kafanya kosa la jinai.

Tundu Lissu, huyu huyu aliyesema Chadema hamtokutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe bila masharti.

Wafuasi wa Chadema walivyokuwa wanafiki wanamsifia Tundu Lissu.
... wakati Zitto anamtaka Mbowe aombe msamaha ili asamehewe; Lissu anataka Mbowe aachiwe bila masharti! Kwa akili zako huoni tofauti ya approach hizo mbili? Dah; binadamu tunatofautiana!
 
KWA mtazamo wangu,kosa la Zito ni
1:kusema Chadema hawajafika Dodoma kwenye kikao na SSH KWA sababu zao wenyewe,akijua Chadema wanataka katiba mpya na si tumehuru ndani ya katiba chakavu.
2:Kuacha kuzungumzia maada za kikao na kumuombea Mbowe msamaha na ingawa kesi inaendlea mahakamani.
3:Kutafuta kiki KWA kesi ya Mbowe ionekane yeye ndo ka play part kubwa kumfanya Mbowe awe huru,ingawa Chadema wanamsimamo wao kuhusu kesi hiyo.
4:Kujifanya front line wa Chadema na ingawa Chadema wenyewe wapo.
Ila KWA Lisu kuzungumzia jambo hilo kama n kweli wamezungumzia,ni sahihi KWA kuwa yeye ni makamu Mwenyekiti wa Chadema, na tangu hapo inaweza kuwa fursa muhimu KWA Chadema kuzungumza na serikali maana vyama vingine wamezungumza na serikali
Ahsante SANA ndugu ila yafaa tusichoke kuendelea kutoa elimu kwa ndugu wa kijani.
Uwezo wao wa kuelewa mambo ya msingi ni duni mno kama wa mawakala wao mapolisi AMBAO bado wanaishi kwa kung'angania na kuendeleza upotoshaji kwa staili ileile waliorithishwa na aliyekuwa mungu wao; Babeli mkuu.
Wanahitaji kuokolewa kutoka kwenye ugonjwa wa MAGUFULEGACY. AMEN
 
... wakati Zitto anamtaka Mbowe aombe msamaha ili asamehewe; Lissu anataka Mbowe aachiwe bila masharti! Kwa akili zako huoni tofauti ya approach hizo mbili? Dah; binadamu tunatofautiana!
Usipende kushikiwa akili hamna sehemu Zitto kasema Mbowe aombe msamaha Bavicha bana.
 
Jibu swali hapo siyo kujichekelesha kama malaya.
Pamoja na umalya wangu lakini Bi mkubwa wako kafa kaoza najua unamuonea wivu unaona anafaidi sana.
 
Ritz,
Pamoja na umalya wangu lakini Bi mkubwa wako kafa kaoza najua unamuonea wivu unaona anafaidi sana.
Narudia tena jibu swali mbona unalikwepa, Nani aliyefuatwa?
 
Nimemuambia Rais Samia kwamba kesi ya Mbowe haikisaidii Chama chake Rais (CCM), haikisaidii Chama chetu (CHADEMA), inamuumiza Mwenyekiti wetu Mbowe na Chama chake, inawaumiza Walinzi wake na Familia zao na inazidi kutugawa Watanzania"
 
Chadema wana matatizo sana ,zitto alipotoa ombi kwa raisi ili Mbowe asamehewe walishupaza shingo .

Na kusema hawahitaji huruma wala hawakumtuma zitto,leo hii Lissu nae kaomba kwa raisi Mbowe asamehewe na achiwe wamekaa na kweli wanakenua.kana kwamba Lissu kasema la maana na tofauti kumzidi zitto .

Hatuoni tofaufi labda Lissu kaomba akiwa ulaya na zitto yupo bongo.

Chadema wacheni unaa mpeni zitto sifa zake za kiongozi amewazidi sana!
Baki na kabwela wako, dalali wa wanaccm, asiyeaminika palipo na maslahi upande wake.
 
Lissu AMEOMBA kukutana na Mama Samia. Zitto didn’t. Sio Lissu huyu huyu aliyesema hamtokutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe bila masharti? Mnapokuwa waongo basi muwe na kumbukumbu [emoji1787]

Cc Jasusi
Si mshabiki wa siasa au wanasiasa lakin kwangu sioni kosa kuomba kuonana na kiongozi wa nchi. Unless ww una maana nyingine lakin hamna ishu ya maana hapo
 
Mtu anasamehewa pale anapokiri kosa au mkosewa anapoingiwa na huruma na kumuona mkosaji alitenda bila ya kujua afanyalo.

Mbowe hajakiri kosa na Huruma hutoka ndani ya mtu mtu mwenyewe siyo kwa kuombwa na mtu mwingine.

Mtu anaachiliwa pale inapoonekana hajatenda kosa lolote.

Baada ya ushahidi wa Urio na Swilla ni wazi msamaha wa Zitto Kabwe ulilenga kumuangamiza Freeman Mbowe katika ulimwengu wa siasa kwani siku zote angeonekana ni gaidi aliyesamehewa.

Lakini hoja ya Tundu Lissu imejikita kisheria zaidi na kiimani vile vile kwamba Freeman Mbowe aachiliwe kwa kuwa hajatenda dhambi na kwa maana hiyo hakuna dhambi za kusamehe na kuzifuta kwenye kitabu cha hukumu.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!

Maendeleo hayana vyama.
 
Nimemuambia Rais Samia kwamba kesi ya Mbowe haikisaidii Chama chake Rais (CCM), haikisaidii Chama chetu (CHADEMA), inamuumiza Mwenyekiti wetu Mbowe na Chama chake, inawaumiza Walinzi wake na Familia zao na inazidi kutugawa Watanzania"
Umenuna au, nngoja nikutafutie dawa🧵
 
Ritz,

Narudia tena jibu swali mbona unalikwepa, Nani aliyefuatwa?
Nijibu nini kwako umendika neno malaya wapuuzi kama nyie majibu yetu kama hayo.
 
Back
Top Bottom