Alichokifanya leo Makonda ndo Jambo analoweza zaidi. Naionea huruma Tanzania

Makonda ni Sokoine wa Karne hii πŸ’

Sokoine hakupendwa na wavivu hata kidogo, alikua hafurahishi mtu...

alisema na kutenda.
kwa sababu ya utendaji wake wa wazi hakupendwa mpaka alipo kufa πŸ’

Makonda na Sokoine ni twins πŸ’
Nani kakuambia makonda ni mpigaji kama wapigaji wengine
Anacheza na skili zenu nyie wanyonge

Ova
 
Nani kakuambia makonda ni mpigaji kama wapigaji wengine
Anacheza na skili zenu nyie wanyonge

Ova
hakuna haja ya kuambiwa kitu na mtu πŸ’

vitu viko bayana vinafanyika mchana kweupe mbonaπŸ’
 
Mkuu nondo ya Uchina na "Provinces" umeichambua vyema sana.
Nimepata kitu kwenye huu uchambuzi.
Kuhusu Makonda ni kweli unaloongea.
 
Narudia tena, Makonda akimaliza miezi 6 kwenye uRC nakunya kwenye daladala.
 
Kiongozi apatikane kwa utaratibu wa kugombea zaidi kuliko kuteuliwa.
Kama ikibidi kuteua, wawe watu wazima wenye uzoefu wa maisha katika nyanja mbalimbali badala ya sarakasi za siku hizi za kutafuta uteuzi.
 
Kuna mzee mmoja alifanikiwa kumwoza binti yake.
Siku ya sendoff alipewa mic akasema; binti yangu sasa umeolewa naomba uachane na Emanuel atakuharibia ndoa yako.

alimwacha?
 
Mtatajwa wote.
Endeleeni kumsimanga rais ohooo πŸ˜€
 
Na hii ni kansa ambayo sasaivi ina mature kila siku.

Watu hawapewi nafasi kwa sababu ya merit ila kujipendekeza, kujuana na kufitiana.

We are dead!
Wewe hizo merit unazo ? Zaidi ya uchawa kwa Samia
 
Mkuu upo sahihi sana.Nashauri,hawa wanaompiga vita Makonda,wajutathimini,maana wananchi wengi wanamkubali sana huyu mtu kwa utendaji wake [namna anavyotatua changamoto zao].Waelekeze nguvu zao kwenye mambo mengine ya msingi,ila kwa Makonda hawatafanikiwa.
 
Makonda ni Sokoine wa Karne hii [emoji205]

Sokoine hakupendwa na wavivu hata kidogo, alikua hafurahishi mtu...

alisema na kutenda.
kwa sababu ya utendaji wake wa wazi hakupendwa mpaka alipo kufa [emoji205]

Makonda na Sokoine ni twins [emoji205]
Acha kupayuka na kumsingizia Sokoine wakati humjui na hujawahi kufanya naye kazi.
Unatenda kosa kubwa sana kumfananisha Sokoine na huyu muhuni mshamba na asiye na elimu wala weledi.
Makonda ni wa kufananisha na kina Steve Nyerere au Mwijaku sio Sokoine ambaye aliogopwa sio kuchukiwa na wale wote wasio wajibika na hakuwa mtu wa drama hata kidogo.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…